Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Mwanamke anaweza akawa na number 200 za wanaume kwenye simu yake.. na kila mmojae akamuomba buku ya vocha assume 50 wakasema hawana 150 wakakubali 150x1,000= 150,000 kwa siku assume anaomba mara tatu kwa week 150,00x3=450,000 kwa week...

Wanaume tuzinduke
Hahahahahahahahhs
 
[emoji23][emoji23][emoji23]

Tunatafuta ugomvi na nguvu tunazo[emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]
Hatujachoka bado eboo....kama yuko gado aje hapa tuanzishe battle[emoji23] [emoji23]

Na sio matusi ni mwendo wa fact tu....
 
Tujiuze wapi kwanani mnadhani kila mtu anawaza kuliwa na malala haoi kanyie kunawadada kama sisi tunajituma nakila tulichonacho wanaume hawawezi kutununua hata waje na nini so usituweke pamoja nahao mnao wapa elfu kumi halafu mnajiona nikwakila mdada .
Dhamani yangu ndio maisha yangu.
Umenielewa naukome nahao magroup ya wenzio kunichanganya na vimada vyenu .
Mmenielewa maisha ni mwangu sijawahi uza k yangu kwamaana nasubiria mwanaume aje anioe kistaarabu so kama humu ndani kuna list ya wapumbavu wanaona wanawake ni wakujiuza kisa vihela vya mikopo mtukome na vinguo vya misaada na vigari vya mikopo na uchokaji wa maisha wenu.
Msituletee sisi .
Kazoeni hadhi zenu.
Sindano imekuingia sio kwa povu hilo,, mwanamke unayejielewa inakuwaje Unategemea k yako kwa kila jambo? Fanyeni kazi acheni kutusumbua kila mtu ana matatizo yake, [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Back
Top Bottom