RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
...........private parts suffer the mostYanu ndo maana naona raha sana kuumbwa mwanamke.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...........private parts suffer the mostYanu ndo maana naona raha sana kuumbwa mwanamke.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] true/ falsedada wivu lazima kwa binadamu
Ahaaahaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] yna2 kibokoWalewale..kina katoto
We unalijua tusi kubwa zaidi ya hili?Kwa hiyo hilo Ndiyo tusi kubwaaa kwako???
Ewaaaaa. Huko ndio kujali sasa Mtani sababu kikawaida shida hazijawahi tosha.Hahahaha, mtani mie mvivu wa kuchangia,ila ktk usomaji kdg najitahidi
Hahahaha, Mama chanja Mzigo unaingia direct kwa akaunti yake toka kwangu ,sidhani km ana tatizo ktk hili suala
Haaahaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mbona tusi jepes Sana hilo mzee mama
Mwambie atukane yale makubwa kubwa au niwaazime??
Aaaagh!...ule mwandiko unaboa![emoji23][emoji23]
Na anajiweza hatari
Ila asishushe gazeti atatupa tabu ya kusoma na ule mwandiko
Tumemstukia hatupati[emoji23] [emoji23]Usitake kutuponza
Ban upigwe peke yako
Kweli?....ila mna sadaka nyingi hakuna mfano![emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ukuje bhana kuna fellowship nzuri sana wiki ijayo
Haaahaaaa....mbavu zangu!Tutampa na vifungu kabisa
Hatutaki ujinga
Unakua hujaloa ndo mana..Inabidi uwe na ute wa kutosha, ikizama unasikia raha tu hakuna maumivu
Nimepita kimya kimya nlikua naenda kutimiza amri.
Mimi napendaga hao wanaoomba straight baada ya kubadilishana namba,nakula nasepa,lakini ka nakupenda ntakushangaa na lazima nijiulize vimaswali kichwani.