witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Nisilenge nini best?Usilenge lkini nikutafta.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nisilenge nini best?Usilenge lkini nikutafta.
GoodMimi huwa napenda kutoa bila hata kuambiwa..lakini inakera sana..unakutana na mtu siku hio hio..una exchange contacts...hata hamjafahamiana anaanza kuleta bill zake...inakera sana...hata kama ningeweza kumpatia...sitampatia
Usi ignore tu.Nisilenge nini best?
Hhhh sawa.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Walaaa
Wewe tena lazima....uko wapi?
Mama boys ni nani twin[emoji23] [emoji23] ...bado nina wewe?
Majibu yako mkuu yameenda shule.Uhudumiwe wewe hujiwezi? Huoni hata aibu kuomba uhudumiwe mahitaji madogomadogo? Kama madogo si ujihudumie.
Unakula bata sio?[emoji484] [emoji491]Nipo Maeneo ya Sinza!!
Twin nikikupa code lazima atajulikana na wengi, nitakutajia pembeni.
Achana na bebez wewe, njoo huku nikupe raha za duniaAaaah wapi....niko na mbebez hapa tunajiandaa kwenda beach tukanywe FREIXNET baridi huku tunaimalizia sunset beach[emoji483] [emoji483] [emoji483]
Duu kumbe una maneno magumu hivyo witnessj ...Hembu punguza mzuka kwanza mana kwa kasi hiyo mtu anaweza akala vibaoLinajidai mafia humu...kumbe mavi mavi na ushuzi mtupu mxchiewwww[emoji57] [emoji57] [emoji57]....we tulia namuweza mwenyewe, yaan chokoo anisumbue mimi? Thubutuuu yake
[emoji3][emoji3]Kidogo, napenda kudokoa maarifa mkuuHivi fellowship unaikubali best eeh?
Daaah Still kiswahili ni kigumu mnoTujiuze wapi kwanani mnadhani kila mtu anawaza kuliwa na malala haoi kanyie kunawadada kama sisi tunajituma nakila tulichonacho wanaume hawawezi kutununua hata waje na nini so usituweke pamoja nahao mnao wapa elfu kumi halafu mnajiona nikwakila mdada .
Dhamani yangu ndio maisha yangu.
Umenielewa naukome nahao magroup ya wenzio kunichanganya na vimada vyenu .
Mmenielewa maisha ni mwangu sijawahi uza k yangu kwamaana nasubiria mwanaume aje anioe kistaarabu so kama humu ndani kuna list ya wapumbavu wanaona wanawake ni wakujiuza kisa vihela vya mikopo mtukome na vinguo vya misaada na vigari vya mikopo na uchokaji wa maisha wenu.
Msituletee sisi .
Kazoeni hadhi zenu.
Taja bei unauza k bei gani? Hakuna ujinga wa kuibiwa kifala.Viherehere vyenu vinawaponza na ubahili wenu utakoma
Mbona maneno makali hvyo.Linajidai mafia humu...kumbe mavi mavi na ushuzi mtupu mxchiewwww[emoji57] [emoji57] [emoji57]....we tulia namuweza mwenyewe, yaan chokoo anisumbue mimi? Thubutuuu yake
Una maneno ya kihuni!!!Yeah mamen[emoji484] [emoji484]
Mawigi expensive mdau..Vijana wanakimbia invoice za mawigiSiku hizi wanaogopa kuwatokea watoto wazur kisa wanaogopa mizinga hasa wale wavaa mawigi..
Mkuu una hasira nao!!Waonee huruma kamandaUhudumiwe wewe hujiwezi? Huoni hata aibu kuomba uhudumiwe mahitaji madogomadogo? Kama madogo si ujihudumie.