Dada zetu bwana...!

Dada zetu bwana...!

Hii nayo mumeitoa wapi kwenye Laptop nayooo teh teh teh maana wajamaaa ni hodali wa kugusa laptop
 
somo linahitaji thread yake nzima lkn hiyo rangi inawafaa watu wenye rangi nyeupe na huo mchirizi mweusi wa wanja huko mdomoni ndo umezidi kuchafua kabisa!

halafu hii nimeiona sana, cjui kwanini mdada upake lipstick upitishe na wanja pembebi, yaani unaonekana mchafu kabisa, na hizo ragi rangi juu ya macho tena...jamani Gaijin wewe huyu dada alikuwa anatangaza biznec kweli?
 
halafu hii nimeiona sana, cjui kwanini mdada upake lipstick upitishe na wanja pembebi, yaani unaonekana mchafu kabisa, na hizo ragi rangi juu ya macho tena...jamani Gaijin wewe huyu dada alikuwa anatangaza biznec kweli?

heheh huo mstari mweusi umenikumbusha nilienda mazikoni kukawa kunatolewa mawaidha (na mwanamke mtu mzima)......basi akasema watu wanapaka lipstik na mistari ya kukozesha hawajui hata maana.....ati ukikozesha juu na chini maana yake mjane ...ukikozesha chini tu maana yake unatafuta mume! tulicheka japo mazikoni ::eyeroll2:

kweli nyamayao ..............anatangaza biashara ya hayo makorokoro nilokutajia :confused2:
 
heheh huo mstari mweusi umenikumbusha nilienda mazikoni kukawa kunatolewa mawaidha (na mwanamke mtu mzima)......basi akasema watu wanapaka lipstik na mistari ya kukozesha hawajui hata maana.....ati ukikozesha juu na chini maana yake mjane ...ukikozesha chini tu maana yake unatafuta mume! tulicheka japo mazikoni ::eyeroll2:

kweli nyamayao ..............anatangaza biashara ya hayo makorokoro nilokutajia :confused2:
kweli kila jambo lina maana yake,,sikuyajua hayo!
 
heheh huo mstari mweusi umenikumbusha nilienda mazikoni kukawa kunatolewa mawaidha (na mwanamke mtu mzima)......basi akasema watu wanapaka lipstik na mistari ya kukozesha hawajui hata maana.....ati ukikozesha juu na chini maana yake mjane ...ukikozesha chini tu maana yake unatafuta mume! tulicheka japo mazikoni ::eyeroll2:

kweli nyamayao ..............anatangaza biashara ya hayo makorokoro nilokutajia :confused2:

Gaijin ucnivunje mbavu jamani....
 
1.jpg
 

Wanapaka rangi utazani washabiki wa kombe la dunia ..........

Wananiuzi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Dem kama mkali mkali tu.

Mi nachek kishuz kwanza kabla ya uso.

Kama 'alaj' ipo na usafiri safi na face inavutia, baasi mi chali. Sihitajia hata dem aende kupaka rangi midomoni na kwenye nyusi
 
1.jpg


hivi dada zangu msipojipaka hiyo "milupostick" huko midomoni mnadhani hatutawapenda...?





sasa wewe unataka midomo ya namna gani mbona husemi nasi tukusaidie?
  • unataka midomo origino ya mate tu kama hii hapa?
how-to-get-soft-kissable-lips.jpg

  • unataka midomo yenye flavour ya strawberry kama hii hapa?
kissable-lips.jpg


  • unataka midomo sample ya mkuu mwenzetu Belindajacob kama hii hapa?
kissable-lips_s.jpg


NAKUBALIANA NAWE KWAMBA NI KWELI BAADHI YA DADA ZETU BADALA YA KUJIPAMBA WANAKANDIKA HAYO MABAKI YA MWILI WA BINADAMU KIASI KWAMBA MIDOMO YAO INAKUWA SIO KISSABLE!!!
 
Huyu dada kama namjua vile!Anakaa maeneo ya Kinondoni na ni mmoja wa wasichana wenye kutengeneza stori za magazeti ya udaku,kama ni yeye sishangai maana ndio kawaida yake kujipaka malipstick kama jini,kwa kweli inaudhi sana.
 
kina dada mmenifurahisha kwa jinsi mlivyoichakachua mada.............................!
sikuwa na nia mbaya zaidi ya kuambiana ukweli tu............................!
kama yupo aliyekwazika anisamehe..............................!
 
heheh huo mstari mweusi umenikumbusha nilienda mazikoni kukawa kunatolewa mawaidha (na mwanamke mtu mzima)......basi akasema watu wanapaka lipstik na mistari ya kukozesha hawajui hata maana.....ati ukikozesha juu na chini maana yake mjane ...ukikozesha chini tu maana yake unatafuta mume! tulicheka japo mazikoni ::eyeroll2:

kweli nyamayao ..............anatangaza biashara ya hayo makorokoro nilokutajia :confused2:

kumbe watu wanasend signal sio .........................!
 
Kachukiza sana,nimepata imagination ya lawino na clementine:becky:
 
1.jpg


hivi dada zangu msipojipaka hiyo "milupostick" huko midomoni mnadhani hatutawapenda............?
why painting urself like a clown...............?why..............?
au mpake zile lipshine za kungarisha tu lkn sio kujijaza mitakataka usoni utazani clown...............!
nawaoneaa huruma yaani unakuta demu kajipaka mirangi mingiiii utadhani mwenzie kamwambia "paka nyingi ukija unipunguzie"...............!
halafu unakuta kajipaka kama hivi halafu anakutizama kwa nyodo na mapozi huku anakukunjia mdomo kwa dharau aaah utachoka mwenyewe!
pakeni kwa kiasi...............!sawa eeeh..........!
Next time FAZA-XMASS utuwekee picha zebye hadhi ya kutundika bathroom zetu. hizi puppets zinachafua jukwaa walah.
Kwani huyu alikuwa ni hausigeli wenu mliyemtimua baada ya kufumwa akibugia chakula cha mtoto?
 
mie huko usoni tu, khaaa hata kama kutangaza biznec sio huko, lipstick gani hiyo, mbona mbaya hivyo, huo wanja khaa, ki ujumla kachukiza sana.


Mungu shuka duniani utusaidieeeeeeee
Wenye wivu wasitukaribieeeeeeeeeeee
Waambie tena wakusikieeeeeeeeeeeee
wewe ndio uliyeamua tuweeee
Tunafanya kazi kwa bidiii
Tunakuomba nawe unatukubaligiiii
Hatuelewi fitina ya niniiiiii
Tunataka sana kupata maisha eeeeeeh
Fitina yakooooo,bahati yangu,bahati yangu we,aliyepangaaaaa changu ni changu
By Jose Chameleone.
 
Jamani akina dada hivi lazima nywele za bandia? (general question to all them dadas out there)

Tanzania bila uzungu inawezekana ? Wsomi wa magharibi kama kina Samuel P. Huntington na Lawrence E. Harrison wanatuambia kwamba maendeleo si lazima yaambatane na umagharibi, lakini Tanzani hatuoni hilo.
 
too much is harmfull jamani!kazidisha hiyo mikitu bana mbona anaonekana ana natural ngozi!!!!!!!
 
Tanzania bila uzungu inawezekana ? Wsomi wa magharibi kama kina Samuel P. Huntington na Lawrence E. Harrison wanatuambia kwamba maendeleo si lazima yaambatane na umagharibi, lakini Tanzani hatuoni hilo.

ukimwambia mwanamke anaetumia nywele za bandia atakwambia sio kwa kuwa anautaka 'uzungu' ila ni vile tu nywele za kiafrika ni tabu kuzishughulikia na kuchana style haiwezikani.

hajui kuwa anapozungumzia style zisizowezekana kwa nywele za kiafrika maanake ndo kuiga wazungu kwenye styles zao.Angetaka style za kiafrika wala asingesumbuka.
 
Back
Top Bottom