Kwahiyo hata kama mtu humpendi umkubalie kwa sababu ametangaza ndoa?? Hiyo ndoa imekua Oxygen kwamba ukiikosa utakufa?Wewe hiyo U_Afrika unaiacha wapi? Ila tuseme ukweli wadada wengi wanajiaribia wenyewe kwa kujiona bado wanalipa na muda upo upande waob; akijiona kua anatongozwa na wengi basi ata utangaze ndoa atakuambia anayo mpenzi wake wanapendana sana ..ikikaribia machuo ndo wanaanza kutabasamu ovyo ovyo tu na kila mwanaume
Limbwata za siku hizi ni vidonge na sindano za wazungu.
Kwani hao wengine wanaooa wameoa mabikra? Kama kigezo ni nisigongwe mi sio bikra kwahiyo kugonjwa kupo mpaka atakapotokea huyo Mr. right. Halafu mi hata mtu akisema chochote ambacho mi hakinisumbui ni sawa tu kwa kweli ila siwezi acha kwa maneno ya mtu. Huwezi jua anaegonga nae anaweza akanogewa na kugonga akawa mume sasa kwanini nijime utamu.Hapo Hadi umri huo ushagongwa na wangapi?au unajipa matumaini kuwa hawakusemi unavyogongwa?Kama umeamua huolewi kwa kusubiria aliye sahihi acha kugongwa!kwa sababu huwezi jua ni wangapi walikuja kea Nia ya kukupa lakini walivyoulizia wakaambiwa unagongesha wakasepa kimya kimya,and may be walikuwa na sifa uzitakazo.
Sawa malkia endelea kugongwa tu haina nongwa,nilikuwa nakushauri tu sio lazima uache kugongwa but uwe unaangalia na umri usije kuishia kuwa mwanamke wa kumpelekea mamaako wajukuu wa baba tofauti tofauti.Kwani hao wengine wanaooa wameoa mabikra? Kama kigezo ni nisigongwe mi sio bikra kwahiyo kugonjwa kupo mpaka atakapotokea huyo Mr. right. Halafu mi hata mtu akisema chochote ambacho mi hakinisumbui ni sawa tu kwa kweli ila siwezi acha kwa maneno ya mtu. Huwezi jua anaegonga nae anaweza akanogewa na kugonga akawa mume sasa kwanini nijime utamu.
Kauli mbiu yangu ni "Enjoy the journey while waiting".
Naliaga kwa uchungu nikisema ee Mola.............
Kama ni kufua, kudeki, kusafisha vyombo najua!
Kama ni kumsalimia mama mkwe, wifi na mashemeji kwa goti, nimefunzwa
Kama ni kulima na kutunza mifugo, including watoto wa kufikia pia nipo tayari; Sasa kwanini unitupe mja wako kwa kuwa sina chura[emoji2364]!
Umri gani natakiwa niwe nimeolewa mkuu?Sawa malkia endelea kugongwa tu haina nongwa,nilikuwa nakushauri tu sio lazima uache kugongwa but uwe unaangalia na umri usije kuishia kuwa mwanamke wa kumpelekea mamaako wajukuu wa baba tofauti tofauti.
Find money and you will get your happiness. Haps umedhihirisha kwamba si tu hauna hela bali hata furaha tu hauna...Marriage is just a piece of fucking paper.
(excuse my manner [emoji57])
Kuna tofauti kati ya kuishi na mtu na kuoana,
kama unazungumzia wale ambao wanaishi peke yao bila wapenzi hiyo ni another case,
Find Money and you will get your happiness.
Ni kweliKama umeongea kutoka moyoni mwako, Naomba Mungu akukumbuke na akuguse.
Ukishavuka miaka 30 anza kutafuta hata babu wa kujishikiza huku unaendelea kudanga kimya kimyaUmri gani natakiwa niwe nimeolewa mkuu?
Maana umeandika kama vile kuna mwanaume niko mapenzini nae ila sitaki anioe kwa sababu nataka kuendelea kugongana na watu wengine.
Nijibu umri ambao sitakiwi kuvuka bila ndoa ili nianze kukubali maombi ya watu hata nisiowapenda nipate ndoa nikawasumbue baada ya ndoa
Hivi unakua unacheka vipi au unafurahia vipi wakati unaona wivu hua nachekaga sana nikiangaliaga status za wadada kwenye sherehe za wenzao ambazo wao wwnyewe hawajaolewa wanajichekeshaga sana lakini daah ndo vile tenaNaona wivu sana ila siharibu harusi ya mabest zangu.
Ila roho inauma
Sasa kwanini nimtese babu wa watu afe kwa presha bure akijua wanamgongea vijana? Si bora nipate dhambi moja ya kugongwa nje kwa amani kuliko kumdanganya padri na familia kisa nifiche aibu ya wanadamu kiwa sijaolewa?Ukishavuka miaka 30 anza kutafuta hata babu wa kujishikiza huku unaendelea kudanga kimya kimya
mbona unamnanga hivyo huyo unayesema ni wifi yako au wewe ni ile jamii ya wanawake ambao huwa mnapenda kuwanyanyapaa ndugu wa mwanaume!Not at all, ana ghubu balaa anahitaji mtu wakumfuc
Mkuu mimi najua suala la kupendana haijawahi kutokea mkapendana wote wawili kwa wakati mmoja; mmoja ndo anaanza kupenda then kinachofuata mnapendana...kueni watu wa kutoa nafasi pale mtu anapokwambia anakupenda ili upime kama ndo upendo kile unachokita au laaKwahiyo hata kama mtu humpendi umkubalie kwa sababu ametangaza ndoa?? Hiyo ndoa imekua Oxygen kwamba ukiikosa utakufa?
Sio kihivyo mkuu. Huwezi kuolewa na mtu hata akikushika unahisi kinyaa halafu utegemee utakua na ndoa ya amani.Mkuu mimi najua suala la kupendana haijawahi kutokea mkapendana wote wawili kwa wakati mmoja; mmoja ndo anaanza kupenda then kinachofuata mnapendana...kueni watu wa kutoa nafasi pale mtu anapokwambia anakupenda ili upime kama ndo upendo kile unachokita au laa
Kanifundishe yeye maana ni msengenyaji sijawahi ona mlokole wa aina yake. Sina tatizo na ndugu wa mume wangu. Mi naeleza tu tabia zakembona unamnanga hivyo huyo unayesema ni wifi yako au wewe ni ile jamii ya wanawake ambao huwa mnapenda kuwanyanyapaa ndugu wa mwanaume!
nimesoma comment zako kama 3 hivi kumuhusu yeye mara umesema kakeketwa sasa sioni uhusiano wa yeye kukeketwa na yeye kutokuolewa au unamaanisha hakuolewa kwa kuwa kakeketwa?anyway mi naona hukumtendea haki mwanamke mwenzakoKanifundishe yeye maana ni msengenyaji sijawahi ona mlokole wa aina yake. Sina tatizo na ndugu wa mume wangu. Mi naeleza tu tabia zake
Sijamtaja jina Sasa sijamtendea haki kivipi au unamjua? Kukeketwa kunaweza kukawa sababu ya kutokuolewa pia, huenda anayaonea aibu maumbile yake.nimesoma comment zako kama 3 hivi kumuhusu yeye mara umesema kakeketwa sasa sioni uhusiano wa yeye kukeketwa na yeye kutokuolewa au unamaanisha hakuolewa kwa kuwa kakeketwa?anyway mi naona hukumtendea haki mwanamke mwenzako
Hapo unachotafuta ni dhambi ya kumsingizia babu watoto na sio kuwaacha kila mtoto na baba yake.unakuwa na watoto Saba na kila mtoto na baba yake na hapo utakuta unajidai mbele za watu kuwa hujawahi kufanya kazi ya uchangudoaSasa kwanini nimtese babu wa watu afe kwa presha bure akijua wanamgongea vijana? Si bora nipate dhambi moja ya kugongwa nje kwa amani kuliko kumdanganya padri na familia kisa nifiche aibu ya wanadamu kiwa sijaolewa?
Sijakuelewa.Wewe hiyo U_Afrika unaiacha wapi? Ila tuseme ukweli wadada wengi wanajiaribia wenyewe kwa kujiona bado wanalipa na muda upo upande waob; akijiona kua anatongozwa na wengi basi ata utangaze ndoa atakuambia anayo mpenzi wake wanapendana sana ..ikikaribia machuo ndo wanaanza kutabasamu ovyo ovyo tu na kila mwanaume
hapo ndio mungu aliwekaga limit zake maana alikua anawajua akili zao kama wangekua na uwezo wa kuoa humu duniani kusingekua na amani wangeleta machungu sana..Wanawake Wenye umri kuanzia miaka 28 -30 ambao Mpaka Sasa hawajaolewa wapewe course gani ili waweze kuolewa!?? Alisikika mlevi mmoja akiuliza swali