Dada zetu hivi unajisikiaje wenzako wanavyoolewa wewe upo tu umebung'aa?

Dada zetu hivi unajisikiaje wenzako wanavyoolewa wewe upo tu umebung'aa?

Mkuu hudhani huu uzi utafanya wazidi kujiskia vibaya?

Kuolewa ni suala lipo nje ya control yao (mara nyingi)

Ulichofanya hapa ni sawa na kumuuliza kiwete anajiskiaje 'kuona wenzie wanatembea kila kukicha'?

Nashauri ufutilie mbali huu uzi kandamizi
Mi kama kiwete ntasimama ghafla nakuzaba bonge la bao kisha narudi chinu ukiniuliza hilo swali. Limekaa kama kejeli flani😂😂😂
 
b
Nikuambie tu hakuna mwanamke ambae hajawahi kubahatika kupata mtu mwenye nia ya kumuoa...tatizo lipo kwenu wanawake mnachagua sana,mnataka kila kitu mkukute,tatizo linaanzia hapo...
kuna wanawake wana bahati ya kupendwa haswa tena wakiwa wabichi tu na watu wa maana wale wenye uwezo wa kuoa kabisa ila huwa wanawakataa na kuwakubalia raia wasio na mipango. Too bad wanaishiaga pabaya, story ya manz mmoja alipendwa na jamaa head over heels anapewa kila anachotaka jamaa yupo serious dem akaleta mapicha picha, anapewa hela anapeleka kwa chalii yake hivi sasa yuko na hako kajamaa hakana mbele wala nyuma sahivi ana mtoto wa pili. Jamaa anamiliki saloon ya uswazi tu life limekuwa sio. Demu kujifungua tu anarudi kijiji kwa nauli ya kuunga unga
 
b

kuna wanawake wana bahati ya kupendwa haswa tena wakiwa wabichi tu na watu wa maana wale wenye uwezo wa kuoa kabisa ila huwa wanawakataa na kuwakubalia raia wasio na mipango. Too bad wanaishiaga pabaya, story ya manz mmoja alipendwa na jamaa head over heels anapewa kila anachotaka jamaa yupo serious dem akaleta mapicha picha, anapewa hela anapeleka kwa chalii yake hivi sasa yuko na hako kajamaa hakana mbele wala nyuma sahivi ana mtoto wa pili. Jamaa anamiliki saloon ya uswazi tu life limekuwa sio. Demu kujifungua tu anarudi kijiji kwa nauli ya kuunga unga
Sasa huyu aliweka pesa mbele, bibie aliweka true love hakuna kosa hapo.
 
Hivi mtu sahihi
Kuna kanuni ukitongozwa lazima ukubali halafu umri 30 kwako unauchukuliaje yaani Ukifika umri huo pasipo kuwa na ndoa ni mkosi,Ni bora kukaa bila ndoa kuliko kuolewa na mtu asiye sahihi.
anauzwa dukani, au anapatikana wapi? I believe pasipo kuwa na nia ya dhati ya kumpata mtu sahihi hutakaa umuone. Change mazingira, boresha tabia zako naimani utampata tu. Be real na maisha stop fantasies.
 
Sasa huyu aliweka pesa mbele, bibie aliweka true love hakuna kosa hapo.
Jamaa alimpenda haswa ila demu hakumpenda pamoja na vyote. Ila nadhani wanawake sometimes akili inahitajika zaidi kuliko hisia. Unapomzalia mtu ambaye hana ishu au bila mpango huyo mtoto atakula true love 😂😂😂??? Mapenzi yaendelee kuwepo ila kuwepo na mipango thabiti.
 
Hivi mtu sahihi

anauzwa dukani, au anapatikana wapi? I believe pasipo kuwa na nia ya dhati ya kumpata mtu sahihi hutakaa umuone. Change mazingira, boresha tabia zako naimani utampata tu. Be real na maisha stop fantasies.
Mtu sahihi hapatini dukani lakini umri si kigezo cha kutafuta ndoa hata na mwanaume asiye stahili kila mtu ana vigezo vyake ili aingie kwenye ndoa mimi huwa nawashangaa hali ya kuwa pande zote mbili kwa Sasa zinatatizo,Unaweza ukawa na nia ya dhati na usimpate kifupi jamii imechafuka ndoa si kitu muhimu tena kama zamani.
 
Kuna wanawake 3 tofauti niliongea nao na maongezi
1. Nyie wanaume mna raha sana maana mkiamua kuoa, mnajipanga tu hata miaka miwili mnatafuta mke mnaanza maisha.
Ila sisi wanawake unafika wakati unataka mume ila kila anayekuja anagonga na anasepa.

2. Kuna mwingine nilipita namweleza twende kwenye mahubiri; akanambia kama niko tayari kumuoa ataambatana nami.

3. Huyu aliniambia yuko tayari kubadili dini kwa kijana yeyote atakayekuwa tayari kumuoa. Hataki abadili dini then aendelee kuishi kwao. Bali anataka awe na mume naye.

Kwa nyakati tofauti na usiniulize age zao.
Mioyo yao imebeba huzuni na furaha zao ni kupata wenza wa maisha.
Huyo wa namba 3 uliyemzungumzia unaweza niunganisha nae
 
Wajinga sana... Hua wanachagua sana waume wakuwaoa.. wanakuja pata mme kimeo.. anabaki analia tu... Kuna mmoja nilikua nae kama BF and GF kwa miaka 5.. Akaja zingua kuolewa... nikambembeleza weee hataki... Nikamwacha nikaoa mtu mwingine...

Kumbe alipata jamaa mmoja hivi mke wake alikua kaenda Chuo SA... Mke karudi jamaa kampiga chini... Kwa sasa yupo anapuyanga tu....kila mtu anamkula full stress... siku moja et linatuma text kwangu miss you... vipi familia... sijamjibu... kuna siku nipo tena moro... nashangaa huyo kajaa... ila... nilipiga hadi leo hua napiga tu... mara naomba kuzaa na wewe hata mtoto mmoja ...hua nakataaa tu...

Wanawake msiwe selective sana....maisha tafuteni wote..sio unamkuta tu mwanaume ana hela zake.. utaishia kua mme wa pili au mchepuko wa jamaa na manyanyaso kibao... shauri zenu
Wengi wanaofika 28> ndio zao la kuchagua chagua chagua hovyo sio kuwa hawakuwahi kupata watu serious earlier. Unakuta ana options nyingi kuchagua ile sahihi anashindwa anataka afurahishe nafsi anafata wrong choice kisa HB au Brotherman bila kujali kuwa kuna mtu makini zaidi wa kumuoa kabisa. Lastly ndio vilio humu.
 
Mtu sahihi hapatini dukani lakini umri si kigezo cha kutafuta ndoa hata na mwanaume asiye stahili kila mtu ana vigezo vyake ili aingie kwenye ndoa mimi huwa nawashangaa hali ya kuwa pande zote mbili kwa Sasa zinatatizo,Unaweza ukawa na nia ya dhati na usimpate kifupi jamii imechafuka ndoa si kitu muhimu tena kama zamani.
Ni kitu muhimu sana tu ukizingatia tulizaliwa na inabidi tuzae kuendeleza kizazi. Sasa kama huoni umuhimu wa malezi sahihi ya watoto wako katika misingi ya familia endele kuwaza ndoa sio muhimu.
Kuna msemo mmoja naukubali sana...

"Do the right thing..not the easy!"

Tafakari hilo
 
Ni kitu muhimu sana tu ukizingatia tulizaliwa na inabidi tuzae kuendeleza kizazi. Sasa kama huoni umuhimu wa malezi sahihi ya watoto wako katika misingi ya familia endele kuwaza ndoa sio muhimu.
Kuna msemo mmoja naukubali sana...

"Do the right thing..not the easy!"

Tafakari hilo
Mkuu umenielewa vibaya nilipo andika kwa Sasa ndoa si kitu muhimu tena kama zamani nilimaanisha hata hao wanaume wengi wao sio waoaji ni Wachezeaji tukitaka kukosoa tukosoe pande zote mbili bila upendeleo.
 
Back
Top Bottom