Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,113
- 17,645
Sawa mkuuAndika thread mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuuAndika thread mkuu
Zidisha mara mbiliNg'ombe wa3 na mbuzi mmoja tuu
huyu anadhani amevuka mto hajatafakari kwa makini maneno yake..maisha ni mduara amesahau kwa kuwa ye mwanaume ila hajui upande wa pili piqa wanakutana na changamoto gani...ndio ilefamilia mama na nbaba wanakandia mainti wa wenzio mara hawajasoma mara hawana akili mara hawajatulia hawatolewa mara malaya tena ooh nyie mtaolewa tena na wanaume wana hadhi na kazi zao ...af mwisho wa picha wale wanaokandiwa wanakuwa na maisha na familia zao hawa wengine wanakuwa wanatanga tangaUmekosea mkuu,Omba Sana watoto wako wa kike kama utabatika wapate ndoa wasije angukia kwenye kundi ulisemalo la mbwisi au takataka.
kuwa makinini nawe unaweza kuwa mzazi wa mabintiVitajitetea hapa lakin mwanamke asipoolewa ni mbwisi kabiss..takataka
nifanyie mpango wa number yakeKama hakuna kilichopita huko chini tumuiteje?
unataka unimalaishe sasa sio..sipo ivoI get you. Can i try it sometime ?
Kweli kuna sister mmoja, nakumbuk alikuwa between 25-27, mama yake alikuwa akimshauri sana aolewe maana alikuwa amenoga na wanaume wengi wenye uwezo wa kati na wenye uwezo wa jui kidogo walikuwa wakimtafuta sana, ila akawa anaringa sana na kumuambia mama yake asubiri kwanza.
Saiv ana 40' na kaishia kuzalishwa watoto wa 3 na kuiba waume za watu + HIV.
Wadada wengi wanaringa sana kuolewa kipindi wanapotakiwa kufanya hivyo.
aisee msiwasakame wadada sio vizuri sio kwamba wanataka tuachane na hao wanaodanga hawajielewi il abado hawa wakawaida ni wengi kuna hali ya desperate ipo kiswahili chake sijui....so wanahitaji tatizo lingine mwanaume mpaka aoe anakuwa nao akama 6 anachuja taraibu so wengine wanakuwa kundi hilo wanajikuta mmoja anapata bahati ..na sio kwamba hawafai ila basi uchaguzi mgumu mtu anaamu aaoe tu au akion amdada analeta complications anaoa kwingine...angalizo kuoa hkuhusiani n akubanjuana maana watu wanabanjuana tu daily ...ila mwanaume akiamu kuo ahata leo anaoa hata kama akisem ahana hela anataka aoe il a kwa mada ni ngumu maan aye anafuatwa ndio aolewe ...
embuy angali ana idadi ya wanaume sa hivi kuna hatari hata hawa viumbe wa kiume ika wa kike wamekuwa wengi so wanaongfeza idadi ya wadada kuwa idel..kingine vita za kifamili aau ukabila unaondekezwa n audini so utakuta mtu alikuwa n abahati ya kuolewa ila inashindikana anabaki hivo hivo so kila mtu na chance zake pia
Sio kila mwanamke yupo kwajiri ya kuolewa.Dada zetu mseme ukweli hivi huwa unajiskiaje mwenzako anaolewa afu wewe huolewi?? Ulishawai kaa chini ukajiuliza why siolewi??
Unajiskiaje unaletewa card ya mwaliko afu ww miaka nenda rud unagegedwa tu huolewi
Unajiskiaje unahudhuria kwenye harusi za wenzako afu wew upo tu??? Huolewi
Au bado unaamini wakati wako wa kuolewa hujafika?? Ukiona una age 30+ na hujaolewa bhs jua kuna sehem unakosea na age hio possibility ya kuolewa ni ndogo sana.
JIMAPILI NJEMA.
Kiruuu....au tufanye ngamia kabisaa???Zidisha mara mbili
Naleta kesho
Sijamkejeli, ndivyo anavyosemaUnamkejeli tena
Ndugu zake wanacomfirm ubikira wake. Mimi ni mgeni tu hapaBackground yake ya uschana unaijua kiundani? Au umemjua tu baada ya ww kuolewa kwao?
Mi wala sikushaurinifanyie mpango wa number yake
Sio kila mwanamke yupo kwajiri ya kuolewa.
Wacha we!!Vitajitetea hapa lakin mwanamke asipoolewa ni mbwisi kabiss..takataka
Jf raha sana kuna mind readers pia, yaani anachowaza yeye anachukulia ndio uhalisia wa kila mmoja.wanatamani ku like hiii reply yako ila wanaogopa vibaya Mno...na uhakika saivi ingetakiwa iwe ishapata Likes za kutosha ila Kila mtu anajifkiria ni ki like watanijua sjaolewa [emoji23] [emoji23] [emoji23]
JF raha sana yani watu tunatumia ID fake ila kuna mambo mtu hata kama hajulikani ukimwambia afanye,aseme,aandike Bado hatoweza sjui hii watu wa saikoloji wanalisemeaje.
Ooooh!! Kumbe ile comment ilikuwa ni maumivu!!Nikuambie tu hakuna mwanamke ambae hajawahi kubahatika kupata mtu mwenye nia ya kumuoa...tatizo lipo kwenu wanawake mnachagua sana,mnataka kila kitu mkukute,tatizo linaanzia hapo...
Kumbeeeeeeee!!Kwa sasa yupo mmoja..ila ataolewa tu labda mama yake amharibu na dunia zenu za kufikirika, kutaka ndoa hadi zipeoekwe bbc,tarumbuta,watu wakeshe wakila nankunywa n.k...ila kama ni ndoa ya kawaida ataolewa na mtu wake tu na watatengeneza maisha yao pamoja bila shida yoyote