Joowzey
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 13,166
- 13,514
Utazeeka hivo hivo unatumiwa na kuachwa tukila wazo la ndoa likija nikiwaza kubaby sit mtu mzima dah. Huwa nagairi haraka sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utazeeka hivo hivo unatumiwa na kuachwa tukila wazo la ndoa likija nikiwaza kubaby sit mtu mzima dah. Huwa nagairi haraka sana.
Natumiwa nimekua sabuni?Utazeeka hivo hivo unatumiwa na kuachwa tu
Tafuta mwanaume akuoe,utulie ndani ya ndoa yako.Natumiwa nimekua sabuni?
eti ntazeeka, mbona walioolewa ndio wanazeeka kwa spidi kuliko ambao hawajaolewa.Tafuta mwanaume akuoe,utulie ndani ya ndoa yako.
Ndo mnavojifariji maslayqueen,eti ntazeeka, mbona walioolewa ndio wanazeeka kwa spidi kuliko ambao hawajaolewa.
Marriage is just a piece of fucking paper.
(excuse my manner [emoji57])
Kuna tofauti kati ya kuishi na mtu na kuoana,
kama unazungumzia wale ambao wanaishi peke yao bila wapenzi hiyo ni another case,
Find Money and you will get your happiness.
Ndoa ingekuwa lazima kwa mwanamke basi tungekuwa tunazaliwa na vyeti vya ndoa mkononi ili ukipata ufahamu tu unamjua mme wako nani
Au papuchi zingeandikwa majina ya mmiliki toka tumboni
Unless otherwise
Ndoa sio lazima
Huo ndio ukweli mchungu.Ndo mnavojifariji maslayqueen,
Najisikia raha mno
Umri wako??
Miaka 45
Nimeusoma huu uzi tangu jana nikabaki nasikitika tu. Wakikuambia namna wanavyojisikia wewe utafanya maamuzi gani!?
Never start what you can't Finish
Ulivyokuwa na akili ndogo, ni kila anaekupinga kwa ulichokiandika ni mwanamke!? Be a manSoma uzi vzr, usikurupuke dada
Miaka 45 unahangaika kwenye majukwaa ya mapenzi?? Umeolewa??
Wapi wameandika miaka 45 hawaruhusiwa kuhangaika katika majukwaa ya mapenzi? Sijaolewa
Ulivyokuwa na akili ndogo, ni kila anaekupinga kwa ulichokiandika ni mwanamke!? Be a man
Ushazeeka ww ridhika tu
Jf raha sana kuna mind readers pia, yaani anachowaza yeye anachukulia ndio uhalisia wa kila mmoja.