Dada zetu hivi unajisikiaje wenzako wanavyoolewa wewe upo tu umebung'aa?

Dada zetu hivi unajisikiaje wenzako wanavyoolewa wewe upo tu umebung'aa?

Dada hio probability ni 0.000000000001
Usiwakatishe wadada tamaa mkuu...
Kila kitu Mungu anakipanga kwa muda wake na makusudi yake. Hakuna ulazima wa kulazimisha kitu kwa sababu Champagnee amesema. Maisha ya ndoa ni zaidi ya umri, uzuri, pesa na vitu vingi sana ambao vijana wasio na fikra hawavitazami. Sasa kwa kuwa leo nina 23 years basi mtu wa hovyo amekuja kunitamkia ndoa nimgande. Hata nikiolewa umri hausimami. Nitazeeka. Nitachoka na kuchokwa. Hata mtu wa miaka 30 ambaye hajaolewa anaweza kuwa anavutia kuliko mie niliyeolewa na 23. Mume akaniacha mie na kumchukua yule wa 30. Mume wangu kama alinipenda kwa kuwa nilikuwa na umri mdogo basi ataniacha na kwenda kwa watoto. Maisha haya kikubwa ni kujua nini unataka katika maisha na kukubali kuwa karibu na Mungu wako. Otherwise you will be doomed.
 
Usiwakatishe wadada tamaa mkuu...
Kila kitu Mungu anakipanga kwa muda wake na makusudi yake. Hakuna ulazima wa kulazimisha kitu kwa sababu Champagnee amesema. Maisha ya ndoa ni zaidi ya umri, uzuri, pesa na vitu vingi sana ambao vijana wasio na fikra hawavitazami. Sasa kwa kuwa leo nina 23 years basi mtu wa hovyo amekuja kunitamkia ndoa nimgande. Hata nikiolewa umri hausimami. Nitazeeka. Nitachoka na kuchokwa. Hata mtu wa miaka 30 ambaye hajaolewa anaweza kuwa anavutia kuliko mie niliyeolewa na 23. Mume akaniacha mie na kumchukua yule wa 30. Mume wangu kama alinipenda kwa kuwa nilikuwa na umri mdogo basi ataniacha na kwenda kwa watoto. Maisha haya kikubwa ni kujua nini unataka katika maisha na kukubali kuwa karibu na Mungu wako. Otherwise you will be doomed.

Ok, kwa maelezo yako inaonesha huhitaj mume and you can leave without him
 
You sound ridiculous, really!

Unawezaje kuishi katika dunia hii bila pesa?
utakua homeless na omba omba.
Dude/girl I said previously happiness is whatever brings joy to you and you seemingly acquiesced with my definition. Do you even get the whole meaning of my assertion?

So anything brings you joy must includes money in the process..huh?

Your unsophisticated mind is walloping in the world of delusion.

Nimekuuliza unafahamu kisa cha Jeff Bezo alichofanywa na mkewe!? na huyu ni billionaire wa kwanza katika dunia hii.

Kuna watu huko kijijini hawajawahi kushika hata shilingi elfu moja lakini wanaishi maisha ya furaha na amani kuliko hata mafisadi na wauza unga wenye mapesa mengi hapa mjini.

kama unaamini furaha haiji bila pesa nakupa POLE KUBWA.
 
Naliaga kwa uchungu nikisema ee Mola.............
Kama ni kufua, kudeki, kusafisha vyombo najua!
Kama ni kumsalimia mama mkwe, wifi na mashemeji kwa goti, nimefunzwa
Kama ni kulima na kutunza mifugo, including watoto wa kufikia pia nipo tayari; Sasa kwanini unitupe mja wako kwa kuwa sina chura🤦🏾‍♀️!

Dada nimekupenda bure, Bwana Mungu msikie mtoto wako huyu,

maana hata yule kijana aliposema afanye nino aurithi ufalme wa Mungu alipoulizwa wazijua amri alisema nimezishika tangu angali mtoto, ,Yesu akampenda, akamwambia na mengine mengi.

Hata wewe nimekupenda sana, atakupati.
 
Hivi mtu sahihi

anauzwa dukani, au anapatikana wapi? I believe pasipo kuwa na nia ya dhati ya kumpata mtu sahihi hutakaa umuone. Change mazingira, boresha tabia zako naimani utampata tu. Be real na maisha stop fantasies.

Kuna member mmoja aliwahi sema "maisha yanaendeshwa na kanuni na taratibu, ukitoka nje ya hizo kanuni lazima yakuadhibu tu" hearly
 
Jamaa alimpenda haswa ila demu hakumpenda pamoja na vyote. Ila nadhani wanawake sometimes akili inahitajika zaidi kuliko hisia. Unapomzalia mtu ambaye hana ishu au bila mpango huyo mtoto atakula true love 😂😂😂??? Mapenzi yaendelee kuwepo ila kuwepo na mipango thabiti.

Broo hako kabinti ni kamalaya tu, upendo kwa mwanamke unatengenezwa 80%
 
acha ubishi Unazungumzia sample ndogo ya wanaume waliojikatia tamaa uzeeni ndo wanaoa vibibi

Take it from me Kama mwanaume sisi hatuoi wanawake age imeenda vizee venyewe vinaoa vibinti yaan kuna miaka ikifika sisi kama wanaume hatukuoi
Usiwakatishe wadada tamaa mkuu...
Kila kitu Mungu anakipanga kwa muda wake na makusudi yake. Hakuna ulazima wa kulazimisha kitu kwa sababu Champagnee amesema. Maisha ya ndoa ni zaidi ya umri, uzuri, pesa na vitu vingi sana ambao vijana wasio na fikra hawavitazami. Sasa kwa kuwa leo nina 23 years basi mtu wa hovyo amekuja kunitamkia ndoa nimgande. Hata nikiolewa umri hausimami. Nitazeeka. Nitachoka na kuchokwa. Hata mtu wa miaka 30 ambaye hajaolewa anaweza kuwa anavutia kuliko mie niliyeolewa na 23. Mume akaniacha mie na kumchukua yule wa 30. Mume wangu kama alinipenda kwa kuwa nilikuwa na umri mdogo basi ataniacha na kwenda kwa watoto. Maisha haya kikubwa ni kujua nini unataka katika maisha na kukubali kuwa karibu na Mungu wako. Otherwise you will be doomed.
 
Back
Top Bottom