Frank Hood
JF-Expert Member
- Oct 15, 2021
- 597
- 1,374
Mshukuru Mungu kwa kila jambo,huwezi jua umeepushwa na nn....hapana mkuu tulikubaliana na bei ya mali zake, akaomba apige vyombo, sikuwa na hiyana nikamruhusu apige vyombo tani yake ( mpunga mrefu ukanitoka,siri yangu) then akatangaza sound za njaa sikuwa na hiyana akaagizwa kwio mzima....mama tuondoke ooooh ngoja kidogo mama twende oooh ngoja kidogo, imefika mida mikali naambiwa nakuja babe...sikuwa nahiyana kumbe ndio naachwa....halafu nakutana naye hayo maeneo kama hanijui vile hata salamu..hahahahaha.....sasa huoni hapa amenifikisha kiwango cha juu cha tolerance yangu...halafu ananilia buyu....
Ok kumbe unazungumzia hawa mama zetu.Sii hao warembo unawapa good time bia nyama kwa wingi alafu unawagegeda baada ya hapo unawaua na kuchua figo unapiga bei maisha yanaendelea, tena mie nitachukua na mbususu niichemshe nipate supu
Mkuu Unaongea as if kupandikiza Figo ni kama kupanda nyanya.. Mamjuii nini mnaongeaaa..!! Its not simple kama mnavyofikirii
Thats why i love you. Critical thinking QnFigo walitoa hospital?
Kwahiyo mkuu uko hapa unasoma story ya OP ukitarajia ukweli. Huyu jamaa yupo humu miaka yote anatoa kamba za kufa mtu na mara zote anakuwa jirani, rafiki au mhusika. Sijawahi soma story yake critically ikawa ya kweliFigo labda ya kwenda kutambikia. Figo ya kwenda kumwekea mtu mwingine haitolewi hivyo. Inatolewa hospital kwenye chumba cha upasuaji na madaktari bingwa chini ya mazingira maalum ile isipoteze function (isife kabla ya kumwekea mtu mwingine). Na inachukuwa saa kadhaa kumaliza hilo zoezi.
Huyu msanii ni nabii au mtabiri
Nakuja next weekend shemeji mkweTafuta muda uje twende na J.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Umenichekesha sana.kuwa makini na figo yako...
Yaah ni kweli unachosema..Tatizo lako umeamua kubisha tu….hakuna sehemu nimesema kufanya hivyo ni rahisi.ni ngumu lakini kama ukijipanga kukabiliana na ugumu haitokua ngumu kwasababu utakua umejipanga tayari…by the way zipo scientific equipments za kuhifadhia viungo tafuta utaona usibishe kila kitu boss…kwamba unataka kuniambia hua huangalii hata movies boss….so far hakuna sehemu nimesema figo za huyo binti zimeenda kupandikizwa lakini kama lengo lilikua ni kupandikiza basi tambua hakuna lishindikanalo.
Ichi ikiwa chini ya Rais wa ovyo mambo kama haya yataongezeka sana hiyo ni biashara inayo ratibiwa na wakubwa "mabosi" na mahospitali ya serikali ndani yake wapo mafisadi wa chama na serikali overR.I.P[emoji24][emoji24] inasikitisha sana
Huyu msichana anaitwa Barke, ameuliwa kifo kibaya sana anaishi llala mtaa wa utete na Pangani.
Inasemekana siku ya tukio tatehe 31, walichukuana na mwenzake wakaenda Tabata (Kitambaa cheupe) kwenye starehe zao huku wanakunywa akiwa na mwenzake na mbaba waliyempata hukohuko (Danga).
Sasa yule mwenzie na marehemu Barke akaenda chooni, anarudi anakuta mwenzie hayupo pale walipokuwa wamekaa anamuangalia hamuoni, anampigia Barke simu imezimwa, siku nne mfululizo. Sasa msichana inabidi ahadithie kwao kuwa nimetoka na Barke na ninampigia simu hapatikani siku ya nne sasa simuoni na nyumbani kwake hayupo. Wakaenda police na taratibu za kumtafuta zikaanza.
Kwenye kumtafuta wakaenda hospitali zote kufika Amana wakaambiwa "Bwana, hapa ililetwa maiti ya mwanamke tarehe 1, baada ya kukaa sana imechukiliwa imepelekwa Muhimbili" ndugu walivyoenda Muhimbili wakautambua mwili wa Barke na walipomchunguza wakakura ametolewa figo.
Pumnzika kwa amani dada inauma sana hii yote inatokana na umasikini kikubwa ni umakini, mtu humjui anaanza kukunywesha pombe kwa kigezo cha danga.
NB: Nimetoa picha baada ya kupata pm za wengi kuwa nifanye hivyo nami nmetoa kulinda faragha ya marehemu ila nmeacha thread kama funzo kwa dada zetu
Nani hao waende huko hiyo ni michongo ya chama na serikaliWaende muhimbili wafatilie wagonjwa walio badilishwa figo ndani ya masaa 72 kutokea siku ya tukio..
Kwenye hao wagonjwa wote wanatakiwa waseme walipotoa hizo figo walizowekewa.
ukitaka kujua bizness hii jins ilivo mafia angalia movie inaitwaNani hao waende huko hiyo ni michongo ya chama na serikali
Wewe uliwezaje kulala na mtu usiyemjua una tofauti gani na huyo bi dada??🤔kwa kweli wanawake wadangaji ni risk takers mbaya kabisa. Siku moja nikawa club,mtoto mzuri meza ya jirani nikamwita tukae wote. Saa 6 nikaondoka naye. Namuhoji amewezaje kuwa tayari kulala na mtu hamjui hata jina wala chochote. Anasema yote namwachia Mungu
Hii kali au naye ni chademaKwahiyo mkuu uko hapa unasoma story ya OP ukitarajia ukweli. Huyu jamaa yupo humu miaka yote anatoa kamba za kufa mtu na mara zote anakuwa jirani, rafiki au mhusika. Sijawahi soma story yake critically ikawa ya kweli