Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Yaa! Biblia ipo wazi!Hivi kwa nini watu wengine wanakufa vifo vya maumivu sana, kuuliwa, Kansa etc. na wengine wanalala tu usiku unasikia wamekufa?
Kuna wanaolala na kufa!
Ni suala la kuomba Mungu,kuchagua unataka iweje!