Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Yaa! Biblia ipo wazi!Hivi kwa nini watu wengine wanakufa vifo vya maumivu sana, kuuliwa, Kansa etc. na wengine wanalala tu usiku unasikia wamekufa?
Wewe ni mmoja wao, jabali la karne[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna midubwana fulani hivi humu nchini.[emoji2][emoji2]
Ukweli ni UPI mkuu ? DadavuaNi kweli na mimi nilikuwepo msibani. Ila kuna baadhi ya habar kaficha ila yote aliyosema ni kweli. Kiukweli wote tunazaa na hatupaswi kumlaumu huyu dada kwa lolote kikubwa tujitahd kuwekeza kwaajili ya watoto kiroho na kimwili na tuwaombee sana watoto wetu. Kila mtu hapa ana majanga yake. Wengine tungeweza kufia gest na michepuko lakin Mungu ametupa nafasi tutubu. Ukimuona mwenzio kakutana na hili ni suala la kujitafakar na kutubu na sio kuwaona kama wakosaji sana.
Swali zuri hili....Wewe uliwezaje kulala na mtu usiyemjua una tofauti gani na huyo bi dada??[emoji848]
Ulifukua mtaro ??mkuu???kwa kweli wanawake wadangaji ni risk takers mbaya kabisa. Siku moja nikawa club,mtoto mzuri meza ya jirani nikamwita tukae wote. Saa 6 nikaondoka naye. Namuhoji amewezaje kuwa tayari kulala na mtu hamjui hata jina wala chochote. Anasema yote namwachia Mungu
Sasa walijuaje kama huyo dada figo zake zina ubora. Na je walijuaje kama figo za huyo dada zinaendana na mgonjwa wao? Ukitafuta figo lazima upate donor mnayeendana vinginevyo haiwezekani.Tatizo lako umeamua kubisha tu….hakuna sehemu nimesema kufanya hivyo ni rahisi.ni ngumu lakini kama ukijipanga kukabiliana na ugumu haitokua ngumu kwasababu utakua umejipanga tayari…by the way zipo scientific equipments za kuhifadhia viungo tafuta utaona usibishe kila kitu boss…kwamba unataka kuniambia hua huangalii hata movies boss….so far hakuna sehemu nimesema figo za huyo binti zimeenda kupandikizwa lakini kama lengo lilikua ni kupandikiza basi tambua hakuna lishindikanalo.
Na kuendana ni vitu vingi lasivyo Mwili unareject mapema tu..Sasa walijuaje kama huyo dada figo zake zina ubora. Na je walijuaje kama figo za huyo dada zinaendana na mgonjwa wao? Ukitafuta figo lazima upate donor mnayeendana vinginevyo haiwezekani.
Watu wanazani ni kuchukua tu figo na kupachika. Watu wanaenda na ndugu zao kuchangia figo ila wakifanyiwa vipimo haviendani hadi wanakosa ndugu mwenye figo inayoendana itakuwa mlevi baki tu wa baa ukamchukue umtoe figo hujui hata figo lenyewe linafanya kazi asimilia ngapi na mambo mengine chungu mzima.Na kuendana ni vitu vingi lasivyo Mwili unareject mapema tu..
Yaah Ndugu wa damu kabisa huwa Inareject hata akinywa Immuno depresant kiasi gani...Watu wanazani ni kuchukua tu figo na kupachika. Watu wanaenda na ndugu zao kuchangia figo ila wakifanyiwa vipimo haviendani hadi wanakosa ndugu mwenye figo inayoendana itakuwa mlevi baki tu wa baa ukamchukue umtoe figo hujui hata figo lenyewe linafanya kazi asimilia ngapi na mambo mengine chungu mzima.
wazee wa mitaro,unawaza mitaro tuUlifukua mtaro ??mkuu???
Usihukumu kitabu kwa kusoma jina tu😂Wewe ni mmoja wao, jabali la karne[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo I'd si ya kawaida[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tena nahisi Kuna mijumba special wanapanga kwa ajili ya kazi..maana Kuna mijumba Ina migeti mikubwa wanaoishi humo ndani huwa hawajulikani,..kweli tuwe Malini uwiiiiPigeni hesabu gharama ya kuwa na chumba cha upasuaji nyumbani vs bei ya figo halafu ndio muone inawezekana au haiwezekanii..
tunakoendea mbele huko jamaa wataboresha technolojia na watakuwa hawaui tena bali unatolewa figo moja unaichiwa moja unapigwa mshono wako unaenda kuachwa mahala salama ukiwa nusu kaputi....unaamka with only one figo.....utaishia kukumbuka Hainessy na savannah ulizokunywa..
Mzee wa mitaro, hivi harufu ya ushuzi haikukeri kweli?Ulifukua mtaro ??mkuu???
Thubutuuuuuuuu Jabali la Karne[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usihukumu kitabu kwa kusoma jina tu[emoji23]
Masikini. Huyo ameshakata tamaa ya kila kitukwa kweli wanawake wadangaji ni risk takers mbaya kabisa. Siku moja nikawa club,mtoto mzuri meza ya jirani nikamwita tukae wote. Saa 6 nikaondoka naye. Namuhoji amewezaje kuwa tayari kulala na mtu hamjui hata jina wala chochote. Anasema yote namwachia Mungu
🤣🤣🤣Yaaani sasa hivi tuanze kutoka bila figo