Dada zetu kuweni makini na madanga mnayopata sehemu za starehe

Wadada sahv wamejaa tamaa
Sasa kama mtu anakwenda uza figo zaidi ya mln
200 akimpa dada 200000 tu bata fulani ana hasara gani
Kwa style ya sahv wa wadada na tamaa zao wataumizwa sana,kama hali hii inafanyika

Ova
 
Mungu fundi sana. Ingekuwa figo lolote linaingia kwa mtu yeyote hii biashara ingekuwa kubwa na mbaya sana! Ila huwezi kuchukua figo bila kujua kama ni matching donor hivyo unaleta ugumu na ndipo tunapoona hii Stori hapa kama chai.
Yani kuna watu Ndugu kabisa mimi nilikuwa nawaona wanakuja Kufanya vipimo kucheck Comparyibility ya Figo wapo waliokuwaverified zinamatch lakini bado mwili Ulizireject...!! Pia bongo **** changamoto sana yani kuna Procedure bila Guide ya wazungu nasema hakuna kimachoendaa.... Kutolewa tu biopsy inakuwa ishu
 
Madanga utakuta ni professional wana vifaa na timu nzima ya kuvuna viungo vya wadangaji

Plus wanampa dawa za kulevya wanampeleka room special

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mungu fundi sana. Ingekuwa figo lolote linaingia kwa mtu yeyote hii biashara ingekuwa kubwa na mbaya sana! Ila huwezi kuchukua figo bila kujua kama ni matching donor hivyo unaleta ugumu na ndipo tunapoona hii Stori hapa kama chai.
Happy new year mkuu
 
Kwa hiyo ukisikia chochote kuhusu mtoto wa kiume huumii? Mfumo dume unaelewa ni nini? Wewe ni feminist wa kiume?
 
Hatari sana...

Ila sijaelewa kwa nini umetoa picha, au uliweka picha ya mtu mfu?
Na Mimi nauliza hivyo. Lands kama ilikuwa picha marehemu alivokutwa kauawa,nlakini kama nl passport
Tu ya kumtambulisha marehemu, ulikuwa huna kosa lolote...
 
Waende muhimbili wafatilie wagonjwa walio badilishwa figo ndani ya masaa 72 kutokea siku ya tukio..

Kwenye hao wagonjwa wote wanatakiwa waseme walipotoa hizo figo walizowekewa.
Hawawezi wakafanyia Muhimbili. Wanafanyia hospitali za Vichochoroni
 
Ebwanae toto kali ivo hao wakaona Figo, Mungu apumzishe mahali pema anapostahili
Clip ya ndgu yake iko anasema hajanyofolewa chochote wala jeraha lolote labda hiyo figo katolea mdomoni
 
RIP dear, hivi si kuna figo za kupandikiza za nguruwe? Au za binadamu zinahitajika kwenye ushirikina?
Mjomba wa marehemu kasema hajatolewa figo maiti wameikagua,udangaji mitaa ya tabata ni mkubwa sana kwa miaka hii ya karibuni
 
Naomba picha pm mkuu
 
Yes zinaweza kukatch lakini bado mwili ukaireject baada ya miez kadhaa ikawa haifai tena. Pia inabidi mpokeaji aendelee tumuia dawa flan ili kuzuia mwili usiishambulie na hizo dawa zinadumuza kinga ya mwili kwa kiasi flani
 
Kwa wale wanaotaka kuona picha nendeni Facebook andika Barke Pesa utamuona marehemu alikuwa Cheupe flani hivi.

Kuhusu kutolewa figo ni kweli na Mimi nimeskia Kwa mtu WA karibu wa Marehemu Ila nadhani familia inaficha Tu kulinda hadhi.

Jamani dada zangu angalieni mnaoenda kulala nao hasa hasa wanaigeria sio watu wazuri tunawafahamu sana hao viumbe.
 
Waende muhimbili wafatilie wagonjwa walio badilishwa figo ndani ya masaa 72 kutokea siku ya tukio..

Kwenye hao wagonjwa wote wanatakiwa waseme walipotoa hizo figo walizowekewa.

Kwa hiyo ukienda pale Muhimbili na figo kwenye mfuko wanakufanyia procedure wanabadilisha fresh kabisa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…