nawashangaa sana humu watu wanaona hii kitu ya ajabu au haiwezekani...
Kuwa na theartre nyumbani na madaktari wawili wa mchongo ina gharama ya shilling ngapi..
issue hapa ni demand ya figo duniani kuwa kubwa halafu kuna watu wanazurura zurura usiku bila mpango kwa kigezo cha kudanga...huku watu wanashida ya hela...
Kwenye kumtafuta wakaenda hospitali zote kufika Amana wakaambiwa "Bwana, hapa ililetwa maiti ya mwanamke tarehe 1, baada ya kukaa sana imechukiliwa imepelekwa Muhimbili" ndugu walivyoenda Muhimbili wakautambua mwili wa Barke na walipomchunguza wakakura ametolewa figo.R.I.P[emoji24][emoji24] inasikitisha sana
Huyu msichana anaitwa Barke, ameuliwa kifo kibaya sana anaishi llala mtaa wa utete na Pangan...
Ndugu wepi waliosema kuwa alitolewa figo?Kwenye kumtafuta wakaenda hospitali zote kufika Amana wakaambiwa "Bwana, hapa ililetwa maiti ya mwanamke tarehe 1, baada ya kukaa sana imechukiliwa imepelekwa Muhimbili" ndugu walivyoenda Muhimbili wakautambua mwili wa Barke na walipomchunguza wakakura ametolewa figo.
Nimenukuu toka mada kuu c&p sijui loloteNdugu wepi waliosema kuwa alitolewa figo?
Una chanzo?????
Ndugu wa marehemu waliukagua mwili wake. Kabla ya ukaguzi huo, walielekezwa kabisa kuwa figo iko wapi.Nimenukuu toka mada kuu c&p sijui lolote
Asante kwa ufafanuziNdugu wa marehemu waliukagua mwili wake. Kabla ya ukaguzi huo, walielekezwa kabisa kuwa figo iko wapi.
Walipoukagua, hawakuona chochote kile kilichoonyesha kuwa labda huenda alinyofolewa figo...
Na wameitoa akiwa hai hao washenzy; and it's risky! May be Ana magonjwa; so inaweza kuwa waste tu!
Hizo za nguruwe bado ni utafiti, imefanimiwa moja huko Marekani, kwa sasa ni jambo ambalo halijathibitika na kuanza kutumikaRIP dear, hivi si kuna figo za kupandikiza za nguruwe? Au za binadamu zinahitajika kwenye ushirikina?
Ahojiwe nini mkuu?? Siku Hizi ukifanya uhalifu labda uwe Off network lasivyoo utashikwaa tuu kaka yani Mitandao ya simu hii balaaa.. Osama alidumu maana alikaa ofd radar yani fanya uhalifu like you are living in the past.. Otherwise umeishaaSijui kwanini natamani huyo rafiki yake walieenda nae club nae ahojiwe. Btw, uhalifu wa kishenzi sana na kizamani. Mahakama itaamua
Ahojiwe nini mkuu?? Siku Hizi ukifanya uhalifu labda uwe Off network lasivyoo utashikwaa tuu kaka yani Mitandao ya simu hii balaaa.. Osama alidumu maana alikaa ofd radar yani fanya uhalifu like you are living in the past.. Otherwise umeishaa
Watu washakamatwa na wametubu hapo ni Kupelekwa mahakamani tu na ushahidi kukamilika rafiki zake wa kike hawana ishu na tukio.Kwani kwenye crime investigation watu wanahojiwa ili iweje?
Watu washakamatwa na wametubu hapo ni Kupelekwa mahakamani tu na ushahidi kukamilika rafiki zake wa kike hawana ishu na tukio.
achana na off network hata ukihamia sayari nyingine utadakwa tu labda serikali ikulinde kama wauaji wa Ben SaananeAhojiwe nini mkuu?? Siku Hizi ukifanya uhalifu labda uwe Off network lasivyoo utashikwaa tuu kaka yani Mitandao ya simu hii balaaa.. Osama alidumu maana alikaa ofd radar yani fanya uhalifu like you are living in the past.. Otherwise umeishaa
Thanks mkuuHizo za nguruwe bado ni utafiti, imefanimiwa moja huko Marekani, kwa sasa ni jambo ambalo halijathibitika na kuanza kutumika
na wanaoruka nao wape neno wapone.Wadada tulien mpate waume wa kuwaoa