Dada zetu kuweni makini na madanga mnayopata sehemu za starehe

Dada zetu kuweni makini na madanga mnayopata sehemu za starehe

Mbona ndugu wamehojiwa na Mange App wanasema siyo kweli?
Source nimeweka hapo sababu nipo jirani na mitaa hiyo na wakazi wa hapo wa hapo hata muuza nanasi atakwambia kilichotokea.

Hakuna mzazi mwenye mapenz ya dhati na mwanae atapenda kutangaza kuwa mwanae amefia bar au alikuwa na mwanaume bar akauliwa hamna
 
Figo labda ya kwenda kutambikia. Figo ya kwenda kumwekea mtu mwingine haitolewi hivyo. Inatolewa hospital kwenye chumba cha upasuaji na madaktari bingwa chini ya mazingira maalum ile isipoteze function (isife kabla ya kumwekea mtu mwingine). Na inachukuwa saa kadhaa kumaliza hilo zoezi.
Source nimeweka hapo sababu nipo jirani na mitaa hyo na wakazi wa hapo wa hapo hata muuza nanasi atakwambia kilichotokea.

Hakuna mzazi mwenye mapenz ya dhati na mwanae atapenda kutangaza kuwa mwanae amefia bar au alikuwa na mwanaume bar akauliwa hamna
 
Mkoa Mwanza imeokotwa miili ya wanawake watatu wanaokadiriwa na umri kati miaka 18, 22 na 23, uchunguzi wa awali umeonesha wameshambuliwa vibaya shingoni na bado hawajatambilka, maiti zimehifadhiwa hosoitalini.
 
Mkoa Mwanza imeokotwa miili ya wanawake watatu wanaokadiriwa na umri kati miaka 18, 22 na 23, uchunguzi wa awali umeonesha wameshambuliwa vibaya shingoni na bado hawajatambilka, maiti zimehifadhiwa hosoitalini.
Chanzo kipi??
 
Figo labda ya kwenda kutambikia. Figo ya kwenda kumwekea mtu mwingine haitolewi hivyo. Inatolewa hospital kwenye chumba cha upasuaji na madaktari bingwa chini ya mazingira maalum ile isipoteze function (isife kabla ya kumwekea mtu mwingine). Na inachukuwa saa kadhaa kumaliza hilo zoezi.

Uliona imetolewa Wapi wewe?
 
Source nimeweka hapo sababu nipo jirani na mitaa hyo na wakazi wa hapo wa hapo hata muuza nanasi atakwambia kilichotokea.

Hakuna mzazi mwenye mapenz ya dhati na mwanae atapenda kutangaza kuwa mwanae amefia bar au alikuwa na mwanaume bar akauliwa hamna
Dah kumbe unaweza ukawagegeda alafu baadae ukawaua na kichukia figo unapiga bei.
 
ebu na mimi nitumie hizo picha PM nimuone labda kuna jambo nitasema hapa
 
Figo labda ya kwenda kutambikia. Figo ya kwenda kumwekea mtu mwingine haitolewi hivyo. Inatolewa hospital kwenye chumba cha upasuaji na madaktari bingwa chini ya mazingira maalum ile isipoteze function (isife kabla ya kumwekea mtu mwingine). Na inachukuwa saa kadhaa kumaliza hilo zoezi.
Mi pia nashangaa,watu wanaongekea kutoa figo kamakukata nywele saloon,labda hizo figo wanachoma mishikaki
 
Back
Top Bottom