Dada zetu kuweni makini na madanga mnayopata sehemu za starehe

Dada zetu kuweni makini na madanga mnayopata sehemu za starehe

R.I.P[emoji24][emoji24] inasikitisha sana

Huyu msichana anaitwa Barke, ameuliwa kifo kibaya sana anaishi llala mtaa wa utete na Pangani.

Inasemekana siku ya tukio tatehe 31, walichukuana na mwenzake wakaenda Tabata (Kitambaa cheupe) kwenye starehe zao huku wanakunywa akiwa na mwenzake na mbaba waliyempata hukohuko (Danga).

Sasa yule mwenzie na marehemu Barke akaenda chooni, anarudi anakuta mwenzie hayupo pale walipokuwa wamekaa anamuangalia hamuoni, anampigia Barke simu imezimwa, Sikh nne mfululizo...... sasa msichana inabidi ahadithie kwao kuwa nimetoka na Barke na ninampigia simu hapatikani siku ya nne sasa simuoni na nyumbani kwake hayupo.... wakaenda police na taratibu za kumtafuta zikaanza.

Kwenye kumtafuta wakaenda hospitali zote kufika Amana wakaambiwa " bwana hapa ililetwa maiti ya mwanamke tarehe 1, baada ya kukaa sana imechukiliwa imepelekwa MUHIMBILI" ndugu walivyoenda Muhimbili wakautambua mwili wa Barke na walipomchunguza wakakura ametolewa figo.

PUMNZIKA kwa amani dada inauma sana hii yote inatokana na umasikini kikubwa ni umakini, mtu humjui anaanza kukunywesha pombe kwa kigezo cha danga.

NB:
NIMETOA PICHA BAADA YA KUPATA PM ZA WENGI KUWA NIFANYE HIVYO NAMI NMETOA KULINDA FARAGHA YA MAREHEMU ILA NMEACHA THREAD KAMA FUNZO KWA DADA ZETU.
Huu mji ifike mda police waanze kufanya vetting ya vijana wanachofanya to survive maana kumekuwa na watu wa ovyo wanaoshinda mabar na club bila kujulikana source ya income especially mbezi beach,sinza na tabata.
 
Hatari sana. Mambo ya kwenda kula kichwa unaenda kuliwa wewe. Ni muhimu kumjua mtu kabla ya kukaa faragha. Haya mambo ya kuokotana humjui mtu wengine serial killers. Ulimwengu unatisha sana hata nyie wanaume muwe makini. Sio kila mwanamke anatafuta mwanaume huko kwenye starehe wengine wanatafuta viungo wapeleke kwa waganga.

Apumzike kwa amani mdada mzuri
 
R.I.P[emoji24][emoji24] inasikitisha sana

Huyu msichana anaitwa Barke, ameuliwa kifo kibaya sana anaishi llala mtaa wa utete na Pangani.

Inasemekana siku ya tukio tatehe 31, walichukuana na mwenzake wakaenda Tabata (Kitambaa cheupe) kwenye starehe zao huku wanakunywa akiwa na mwenzake na mbaba waliyempata hukohuko (Danga).

Sasa yule mwenzie na marehemu Barke akaenda chooni, anarudi anakuta mwenzie hayupo pale walipokuwa wamekaa anamuangalia hamuoni, anampigia Barke simu imezimwa, Sikh nne mfululizo...... sasa msichana inabidi ahadithie kwao kuwa nimetoka na Barke na ninampigia simu hapatikani siku ya nne sasa simuoni na nyumbani kwake hayupo.... wakaenda police na taratibu za kumtafuta zikaanza.

Kwenye kumtafuta wakaenda hospitali zote kufika Amana wakaambiwa " bwana hapa ililetwa maiti ya mwanamke tarehe 1, baada ya kukaa sana imechukiliwa imepelekwa MUHIMBILI" ndugu walivyoenda Muhimbili wakautambua mwili wa Barke na walipomchunguza wakakura ametolewa figo.

PUMNZIKA kwa amani dada inauma sana hii yote inatokana na umasikini kikubwa ni umakini, mtu humjui anaanza kukunywesha pombe kwa kigezo cha danga.

NB:
NIMETOA PICHA BAADA YA KUPATA PM ZA WENGI KUWA NIFANYE HIVYO NAMI NMETOA KULINDA FARAGHA YA MAREHEMU ILA NMEACHA THREAD KAMA FUNZO KWA DADA ZETU.
Waende muhimbili wafatilie wagonjwa walio badilishwa figo ndani ya masaa 72 kutokea siku ya tukio..

Kwenye hao wagonjwa wote wanatakiwa waseme walipotoa hizo figo walizowekewa.
 
R.I.P[emoji24][emoji24] inasikitisha sana

Huyu msichana anaitwa Barke, ameuliwa kifo kibaya sana anaishi llala mtaa wa utete na Pangani.

Inasemekana siku ya tukio tatehe 31, walichukuana na mwenzake wakaenda Tabata (Kitambaa cheupe) kwenye starehe zao huku wanakunywa akiwa na mwenzake na mbaba waliyempata hukohuko (Danga).

Sasa yule mwenzie na marehemu Barke akaenda chooni, anarudi anakuta mwenzie hayupo pale walipokuwa wamekaa anamuangalia hamuoni, anampigia Barke simu imezimwa, Sikh nne mfululizo...... sasa msichana inabidi ahadithie kwao kuwa nimetoka na Barke na ninampigia simu hapatikani siku ya nne sasa simuoni na nyumbani kwake hayupo.... wakaenda police na taratibu za kumtafuta zikaanza.

Kwenye kumtafuta wakaenda hospitali zote kufika Amana wakaambiwa " bwana hapa ililetwa maiti ya mwanamke tarehe 1, baada ya kukaa sana imechukiliwa imepelekwa MUHIMBILI" ndugu walivyoenda Muhimbili wakautambua mwili wa Barke na walipomchunguza wakakura ametolewa figo.

PUMNZIKA kwa amani dada inauma sana hii yote inatokana na umasikini kikubwa ni umakini, mtu humjui anaanza kukunywesha pombe kwa kigezo cha danga.

NB:
NIMETOA PICHA BAADA YA KUPATA PM ZA WENGI KUWA NIFANYE HIVYO NAMI NMETOA KULINDA FARAGHA YA MAREHEMU ILA NMEACHA THREAD KAMA FUNZO KWA DADA ZETU.
Weka picha mkuu inaweza kuwa MTU aliona akichukuliwa n.k
 
Waende muhimbili wafatilie wagonjwa walio badilishwa figo ndani ya masaa 72 kutokea siku ya tukio..

Kwenye hao wagonjwa wote wanatakiwa waseme walipotoa hizo figo walizowekewa.
[emoji3581][emoji3581]
 
R.I.P[emoji24][emoji24] inasikitisha sana

Huyu msichana anaitwa Barke, ameuliwa kifo kibaya sana anaishi llala mtaa wa utete na Pangani.

Inasemekana siku ya tukio tatehe 31, walichukuana na mwenzake wakaenda Tabata (Kitambaa cheupe) kwenye starehe zao huku wanakunywa akiwa na mwenzake na mbaba waliyempata hukohuko (Danga).

Sasa yule mwenzie na marehemu Barke akaenda chooni, anarudi anakuta mwenzie hayupo pale walipokuwa wamekaa anamuangalia hamuoni, anampigia Barke simu imezimwa, Sikh nne mfululizo...... sasa msichana inabidi ahadithie kwao kuwa nimetoka na Barke na ninampigia simu hapatikani siku ya nne sasa simuoni na nyumbani kwake hayupo.... wakaenda police na taratibu za kumtafuta zikaanza.

Kwenye kumtafuta wakaenda hospitali zote kufika Amana wakaambiwa " bwana hapa ililetwa maiti ya mwanamke tarehe 1, baada ya kukaa sana imechukiliwa imepelekwa MUHIMBILI" ndugu walivyoenda Muhimbili wakautambua mwili wa Barke na walipomchunguza wakakura ametolewa figo.

PUMNZIKA kwa amani dada inauma sana hii yote inatokana na umasikini kikubwa ni umakini, mtu humjui anaanza kukunywesha pombe kwa kigezo cha danga.

NB:
NIMETOA PICHA BAADA YA KUPATA PM ZA WENGI KUWA NIFANYE HIVYO NAMI NMETOA KULINDA FARAGHA YA MAREHEMU ILA NMEACHA THREAD KAMA FUNZO KWA DADA ZETU.
Hizi shughuli zipo sana mjini nmeshasikia case kama hizi nying mahakamani
 
Hivi kwa nini watu wengine wanakufa vifo vya maumivu sana, kuuliwa, Kansa etc. na wengine wanalala tu usiku unasikia wamekufa?
Umeuliza swali zuri sana, watu hawawazi kuhusu kufa wanapenda Sana Mambo ya Dunia.

Ukipata muda ukatafakari kuhusu kifo hata lifestyle yako itabadilika automatically na ukiweza kutafakari kwa kina utaweza kuuona mwisho wako.

Nitakufaje by king crazy GK
 
watu wamepinda maisha magumu, juzi humu jf kuna jamaa alikuwa anaulizia dili haramu la pesa nyingi

Figo moja tuu zaidi ya milioni 72, zikiwa mbili milioni 144, kwa hapo vp

na vp kuhusu majambazi walozoea kuvunja mabenki na kuua, hii kwao mbona ni njia rahisi kabisa

wanatafuta kamchepuko huko wanakalewesha na kufanya watakavyo.
 
Hii habari inaonekana kuna hatari kubwa nchini. Biashara haramu ya viungo vya binadamu si ya kufanyia mzaha, au kusema wadada wanapenda starehe. Ni ishu hatari kwa wote.
 
Danga la kinaijeria hilo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Dah noma sana hizi issue nilizikuta China, na wahanga wakubwa wakiwa ni foregners (wageni). Tuliambiwa na wenyeji wetu tuwe makini sana especially tunapotoka usiku tuwe angalau wawili na kuendelea maana ukiwa pekeyako hueleweki eleweki utakujastuka asubuhi una mshono tumboni.
 
Back
Top Bottom