Dada zetu kuweni makini na madanga mnayopata sehemu za starehe

Dada zetu kuweni makini na madanga mnayopata sehemu za starehe

Wauaji/ organ traffickers hua wanatarget homeless na prostitutes kwakua hawawi missed imagine mtu kapotea siku ya nne ila familia haikupeleka taarifa polisi mpaka rafiki yake alipoongea.

Na rafiki yake alipomkosa pale bar akaamini mwenzake ameenda kulala na jamaa wala hakuwazia mabaya. Na hauwezi kutoa taarifa polisi kwakua unahisi labda bado yupo mawindoni.

It's high time escort service ikahalalishwa to the extent mtu akipotea tuwe na pa kuanzia. Tutadhibiti vifo, madawa na magonjwa.

para ya mwisho ni wazo zuri, these things should be official and legalized.....kuwe na apps wawe registered wanalipa kodi na hata mkikutana bar, unamuuliza jina na id no yake unaingia kwenye app unamhook na inaonekana yuko booked....kazi inaendelea very safe and smart kama uber na bolt vile....hukuipenda huduma yake humpi nyota zake.... Yeye atakuwa salama na wewe utakuwa salama...ukimalizana naye, she signed out and you signed out in app...
 
Wauaji/ organ traffickers hua wanatarget homeless na prostitutes kwakua hawawi missed imagine mtu kapotea siku ya nne ila familia haikupeleka taarifa polisi mpaka rafiki yake alipoongea.

Na rafiki yake alipomkosa pale bar akaamini mwenzake ameenda kulala na jamaa wala hakuwazia mabaya. Na hauwezi kutoa taarifa polisi kwakua unahisi labda bado yupo mawindoni.

It's high time escort service ikahalalishwa to the extent mtu akipotea tuwe na pa kuanzia. Tutadhibiti vifo, madawa na magonjwa.
Hii ni ngum sana kuidhibiti na ndo maana ukifuatilia cases za serial killers dunia nzima utakuta victims wengi ni prostitutes.
 
Wauaji/ organ traffickers hua wanatarget homeless na prostitutes kwakua hawawi missed imagine mtu kapotea siku ya nne ila familia haikupeleka taarifa polisi mpaka rafiki yake alipoongea.

Na rafiki yake alipomkosa pale bar akaamini mwenzake ameenda kulala na jamaa wala hakuwazia mabaya. Na hauwezi kutoa taarifa polisi kwakua unahisi labda bado yupo mawindoni.

It's high time escort service ikahalalishwa to the extent mtu akipotea tuwe na pa kuanzia. Tutadhibiti vifo, madawa na magonjwa.
Hakika

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Wadada badirisheni kwanza mentality zenu za maisha ndio dunia iwaonee huruma...sasa mnataka huruma mkiwa na mentality zile zile....ukiamua kuwa Malaya aka Mdangaji kubaliana na lililo mbele maana umechagua risk business kama wengine walivyochagua kuwa wezi, majambazi, na kazi nyingine za hatari...

Kazi za hatari huwa ni hatari tu, ukiwa jambazi utakutana na wananchi + polisi utakula risasi au moto, umeamua kuwa malaya au mdangaji basi wateja wako ni wa kila aina na tabia za kila aina huna budi kupambana nazo na si kuilazimisha dunia ifuate unavyotaka wewe kuishi...

wengine watakuja na mashaft marefu, wengine shaft nene, wengine wazee wa 90mins, wengine wazee wa 2 in 1, wengine wachafu, wengine wanashida na figo, wengine wazee wa rough road, wengine wanafanya research, wengine wanashida ya kuona ukivua ukoje nk....hizi zote ni risk za kazi uliyochagua...
 
Hakuna Mechanism ya Kuhifadhi kiungo cha Binadamu ili Kipandikizwe kwa Binadamu mwingine maana Figo ili iendelee kuwa Active na kufanya kazi lazima ipate Blood suppy muda wote tena yenye Chakula na Oxygen sasa kama Umaitoa ukaiweka hivyo vitu vitatoka wapi??? Ndo maana inabdi Itolewe na Kupandikizwa at Instant... Ndo maana hata mtu akifa na organ zake labda muwahi kabla hajapoa ndo itolewe otherwise inakufa nayo...
Mechanism ya kuhifadhi IPO linaweza kaa nnje ya mwili mpaka masaa 72 lakini ndani storage media.


IMG_20220120_093009.jpg
 
Wadada badirisheni kwanza mentality zenu za maisha ndio dunia iwaonee huruma...sasa mnataka huruma mkiwa na mentality zile zile....ukiamua kuwa Malaya aka Mdangaji kubaliana na lililo mbele maana umechagua risk business kama wengine walivyochagua kuwa wezi, majambazi, na kazi nyingine za hatari...

Kazi za hatari huwa ni hatari tu, ukiwa jambazi utakutana na wananchi + polisi utakula risasi au moto, umeamua kuwa malaya au mdangaji basi wateja wako ni wa kila aina na tabia za kila aina huna budi kupambana nazo na si kuilazimisha dunia ifuate unavyotaka wewe kuishi...

wengine watakuja na mashaft marefu, wengine shaft nene, wengine wazee wa 90mins, wengine wazee wa 2 in 1, wengine wachafu, wengine wanashida na figo, wengine wazee wa rough road, wengine wanafanya research, wengine wanashida ya kuona ukivua ukoje nk....hizi zote ni risk za kazi uliyochagua...
Umeandika vizuri. Akili kumkichwa
 
Hii ni ngum sana kuidhibiti na ndo maana ukifuatilia cases za serial killers dunia nzima utakuta victims wengi ni prostitutes.
Ninajua kesi nyingi za serial killers.

Niamini mimi nikikuambia kui-legalize kutapunguza mauaji.

Mfano Uholanzi wamelegalize prostitution, rate ya prostitutes kua victims ni sawa na Urusi au baadhi ya states za USA ambazo wana sheria kali towards prostitution?
 
Hatari sana. Mambo ya kwenda kula kichwa unaenda kuliwa wewe. Ni muhimu kumjua mtu kabla ya kukaa faragha. Haya mambo ya kuokotana humjui mtu wengine serial killers. Ulimwengu unatisha sana hata nyie wanaume muwe makini. Sio kila mwanamke anatafuta mwanaume huko kwenye starehe wengine wanatafuta viungo wapeleke kwa waganga.

Apumzike kwa amani mdada mzuri
Yaani nimeogopa sana!nawaza vingi sana!dunia imebadilika mnoo watu wamekua wanyama sana!
Mdada kafa na urembo wake

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
NA KWA STYLE HII YA KUWAPELEKA VIWANJA VYA STAREHE HAPO WATAWAOKOTA SANA WADADA ZETU,MAANA WAMEJAWA NA TAMAAA SANAAAAAA SAHV

ova
 
Waende muhimbili wafatilie wagonjwa walio badilishwa figo ndani ya masaa 72 kutokea siku ya tukio..

Kwenye hao wagonjwa wote wanatakiwa waseme walipotoa hizo figo walizowekewa.
Haitasaidia ashakufa tayari!kushukuru tu Mungu mmepoteza baasi

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli na mimi nilikuwepo msibani. Ila kuna baadhi ya habar kaficha ila yote aliyosema ni kweli. Kiukweli wote tunazaa na hatupaswi kumlaumu huyu dada kwa lolote kikubwa tujitahd kuwekeza kwaajili ya watoto kiroho na kimwili na tuwaombee sana watoto wetu. Kila mtu hapa ana majanga yake. Wengine tungeweza kufia gest na michepuko lakin Mungu ametupa nafasi tutubu. Ukimuona mwenzio kakutana na hili ni suala la kujitafakar na kutubu na sio kuwaona kama wakosaji sana.
Umeclear doubt maana humu wengine kujifanya wajuaji Mara uongo sijuii!!mfyyuu zao

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom