Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Dunia yote isome tu[emoji15]
Kuna wataalum humu wanakuzoom tu! TBC ipo tutasikia tu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dunia yote isome tu[emoji15]
Kuna wataalum humu wanakuzoom tu! TBC ipo tutasikia tu..
Ni kweli, hasa wadada wa mjini, ukimtongoza tu kodi inaisha, gas, nywele mara blablaTafuta pesa. Ungekua na hela angekukataa kwa staha.
Fedha hiyo hiyo unayojua bila kuwa nayo mapenzi yatakusumbuaHata mi naelewa mapenzi bila fedha hayaendi ila Sasa fedha ipi sasa.. je,ni ile ukitongozwa tu na gesi inaisha,nywele zinafumuka,Kodi inaisha au..?
Pesa haina kijijini wala mjini mkuu. Huoni kuna wanaume huku huwa wanagomba kisa wameombwa na "my" wao 5,000.?Ni kweli, hasa wadada wa mjini, ukimtongoza tu kodi inaisha, gas, nywele mara blabla
Huo ni ufala, wat is 5k?Pesa haina kijijini wala mjini mkuu. Huoni kuna wanaume huku huwa wanagomba kisa wameombwa na "my" wao 5,000.?
Ni njaa tu zinatusumbua. Ukipata mwanamke akaanza hizo ondoka mapema sana. Kwanza anakuona mshamba ndo maana anakupiga bill za kijinga kijinga, Pili mwanamke wa hivyo ujue hajimudu hata kwa kidogo yani wewe utakua mzazi wake.Huo ni ufala, wat is 5k?
Pili.
Wanawake wapo wanajishusha sana thamani.
Mkibadilishana namba yaani akagundua una interest naye, kabla hujamtongoza anaanza kulia njaa hadi aibu.
SawaMapenzi ni hulka ya mtu mama.. hata hao wenye fedha wanachapiwa..[emoji28]
Tuma picha tuhakikishe kama sio konokono
Eeeh utaniitaje konokono kwa mfano?[emoji848]
Sijawahi kabisaWewe ishawahi kukutokea kuitwa majina mabaya?