Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama kanikataza[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jiite Mrs konokono au konogirl..[emoji1787]
Kasema nusiwasikilize WANAUME wakinisemesha[emoji850][emoji850][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]Mama hawezi unatafuta kisingizio tu! But anyway mama na akukataze tu..[emoji28]
Aliniambia ukikutana na mwanaume jina linaanzia K kimbia miguu iguse kichogon KWA mbioila hakukuambia kenzy! kenzy ni mtu wa Mungu mpole na timamu..
Utajijua mwenyewe [emoji1787][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]mimi huyooooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787] We dada ushanishinda maneno sasa! Kenzy jina la utani usijali.
Yaani hapa nilete maada huko watu wanichangia bando[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]maana nina mb 5tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] We dada ushanishinda maneno sasa! Kenzy jina la utani usijali.
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji57][emoji57][emoji57][emoji375][emoji375][emoji375]Safari njema wasalimie konokono..
Sio lazima vyote uelewe vingine upitwage[emoji23][emoji23][emoji23]Sikuelewi!!!
Nijipinde kukutongoza wee nitumie muda, nguvu, akili nipangilie maneno ya kukushawishi.. halafu kirahisi tu uniite mimi konokono!!! Serious Mimi konokono! mjiheshimu bhana inauma.
Ahsante mkuuPole sana kwa changamoto za mapenzi.
🤣🤣 Bata weweMfa maji haishi kutapatapa
😥😥Mpaka amekuita konokono ujue huyo amekukataa kwa nguvu zote.
Anachojaribu kukuambia ni kwamba siyo kila mwanamke unayemtamani lazima umtongoze. Chukua muda wako, soma viashiria vyake kwanza. Wanawake wanapenda kuonyesha mapenzi kwa viashiria. Sasa wewe konokono hujishughulishi kuangalia hivyo viashiria unafikiri kila mwanamke anataka kutongozwa.?
Kisa nyie mabango .hameni nchi
Huyo akinita konokono huwa nina dawa yao, ataomba po at the endNijipinde kukutongoza wee nitumie muda, nguvu, akili nipangilie maneno ya kukushawishi.. halafu kirahisi tu uniite mimi konokono!!! Serious Mimi konokono! mjiheshimu bhana inauma.