Reginald L. Ishala
JF-Expert Member
- Jun 18, 2011
- 3,810
- 6,789
Huwakuta wanaume.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inabidi tuanze kukuombea tu...Wacha nikupe list ya majina niliyopewa yote..
Kiberenge
Komamanga
Nungunungu
Embe ng'ong'o
Konokono
Kilamba mwiko
Sijui litafata lipi..[emoji28]
hameni nchiHizo ni mbwebwe ila huo niuongo
🤣🤣 Serious..?Nina 47 miaka mimi
This is jf bujibuji alijiitaga gilesi wakamshitukia kikamnukia..🤣[emoji23][emoji23][emoji23]ndugu, iyo ya LinkDIn nmechomekea tu
Nisije kuchambwa bure
Ila mim pia ni G..inategemea G gani.[emoji23][emoji23][emoji23]
Hebu shusha nondo kidogo tu..Lile penzi, lilinipitisha kwenye bonde ambalo, kupona kwake kulinifunza namna mpya ya kumpenda mtu..hata km nahitajika kumpenda kwa dhati.. Lkn nijue kumuishi
Kwa sasa, "Me first" ......
Dah!Labda una tabia za konokono
Wewe panya buku..😅
Nikajua huna wa kukuomba kumbe unakikundi Cha wamama..🤣Mkuu Pesa yenyewe ndio naitafuta kila kukicha.
Embu fikiria , kwa toka juzi mpaka leo Mademu zangu ,mmoja juzi aliomba 130K, mwingine 100K, mwingine leo, yaan bila salamu kaomba 50 K.
Hapo unazungumzia 300K.. Ivi nikisema niwe mtoaji mtoaji, Nitatoboa kweli?..
Hapana ingekua wao hawasikii Raha sawa.. Tena wao ndio wanasikia rahaa sanaa.
Mimi naweza piga nyeto, nikaridhika...wao nyeto ni kazi sanaa, lazima ahitaji Mashine.
Katika maombi usiwepo maana najua sala zako zitakuwa za tofauti utasikia "ashikwe baba! Apigwe baba,ang'olewe meno ya sebuleni baba!"🤣Inabidi tuanze kukuombea tu...
Hii story tunaisindikiza naMkuu Kazi iendelee .
Miaka kadhaa huko nyuma, yaan nilipoanza kupenda kwa dhati ya moyo na akili yangu ( achilia vile vya kulana kitotokitoto)
Niliwahi penda, nilimpenda Chotara mmoja, wazazi wake walihamia Bongo kikazi.
Yule Demu akaletwa shuleni kwetu tukiwa kidato cha Tatu( hakua mzuri kielimu, ila alikua BONGE LA PINI )
Namm nilikua Mzuri Darasan , alafu niko nadhifu sana yaan msafii , mchekeshaji ( ukikuta kuna kikundi cha madem wanacheka ,basi ujue mimi ndio nilikua nawachekesha...ukikuta wana wanabonga mastori , basi ujue mimi npo)
Basi yule Demu akakabidhiwa kwangu na Mkuu wa Taaluma ili nwe namsaidia.
( Tulikua Boardin schl).
Sure, dogo nikawa namsaidia ma fizikia, kemia, bios, georg n.k ( hesabu alikua anaweza ,kuna wakati alikua ananifundisha hesabu [emoji23]).
Tukamaliza 4 yaan hapo tumeshakua wapenzi mpaka shule nzima inajua hadi walimu wote...hadi kwao wakanijua.
Nikapata One..yeye akapata two, shule tukapangiwa mbali mbali.
Tukadanganyana tusiende, tusome shule moja.
( DEMU ALIFANYA NISIENDE SHULE YANGU NLOCHAGULIWA.)
akasoma PGM ,mimi nikasoma PCB.
Likizo moja, akaniomba kuja home, aisee alikuja kavaaa kimamtoni yaan nusu UCHI [emoji23][emoji23]
Tukiwa sebulen mzee wangu akatoka Room, aisee mzee akamfokea demu sanaaa yaan sanaaaa ,dem akaanza kulia nakuondoka.
Mimi nikatoka nimfate demu..mzee akaniambia nirudi sikusikiaaaaaa ( mapenziiii
Mwisho nikampleka mpaka kwao dem analia tu " G leave me alone ....machozi kama yoteee.
Nilirudi home nahasira, nikamwambia Mzeee, Nahamaaaa sirudi kwako tena.
Walinishauri weeeeee wapiii, mama aliongea weee wapii.
Mwisho bi mkubwa akanipa Laki tisa, baadae akaniongezea laki tatu.
KWA MARA YA KWANZA NIKATAFUTA ROOM NIKAPANGA.
so shulen nikawa nakuwepo Jtati mpaka ijumaa.
Weekend nakua na dogo geto [emoji23][emoji23]
NIKIRI ,DEMU YULE NILIMPENDA SANA, TULIPITIA CHANGAMOTO NYINGI YAAN KIASI KWAMBA TUKAWA SUGU, NYIMBAN KWAO WAKANIJUA KAMA MCHUMBA WA MWANAO.( R NILIKUPENDA SANA NA TULIPANGA KUOANA TUKIANZA CHUO)
Tukaingia SIX... Aiseee sijui demu alikutwa na PEPO GANI??..siakaniacha man, yaan aliniacha mara moja tu[emoji23][emoji23].. Kila nilivyojaribu kumrudisha kwangu wapiiiii. Kila hili wapiii yaan dem alikataaa katakataaaaa.
[emoji24]niliumia sanaa yaan nilitumia mwezi mmoja, kuumia, darasan naingia ili mradi, Nikawa sili, yaan silali, ni kulala tu ( Bahati nzuri mie ,naweza nisisome kwa usiriasi mwezi mmoja, ila siku nikiwa siriasi nasoma utadhan nilikua nasoma kila siku, yaan kuna kipindi washikaji walikuaga wanasoma kunikamia..et tutamuona G safari hiii. Mapenzi yamemkamata, Pepa likija nimepigaaaa jamaa wakawa wanashangaa nasoma saangapi.?).
Basi bana, huo mwezi mmoja ,wakujiuliza inamaana R hajaona thaman yangu, kujitoa kote kulee, kumpendaa, kwao ni wadada watatu,ivo wazee wake wakaniona kama mimi ni Kijana wao wakiume, wazee wake walinipenda sanaaa)
[emoji117][emoji2]TUKAWA TUMEACHANA HIVO MANI ILA [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] MAUMIVU, NILIKUA SILI, USIKU SILALI, NATAMAN PAKUCHE, NIKUTANE NAYE NIONGEE NAYE... NILIOMBA SANA MSAMAHA KM NMEKOSA WAPIIIII YAAN DEMU ALIKATAAA KATAKATA.
( ila baadae nilikuja gundua Rafiki yake wakike ndo alimpa sumu dem akaamini. Nayeye alikuja kujua huo ukweli, akanitafuta nikiwa chuoni, wakiwa tayari wamesharudi nchin kwao.).
Basi bana huo mwezi wa majonzi, nikawa nasoma mitandaon ,na baadhi ya vipindi vya onln ,jinsi ya kupambana upweke, najinsi gan ya master kwenye suala zima la mahusiano.
[emoji117]HUKO NDIKO NILIKOJUA MIMI NINANI NA MWANAMKE NINANI ,NA TOKEA HAPOOOOO SIJAWAH LILIA MAPENZI TENAA, SIJAWAHI UMIZWA, SIJAWAHI KOMAA NA MWANAMKE MIEZI N.K [emoji23][emoji23]
Yaan ndio sasa madem wakaanza kunishobokea Shuleni, mpaka namaliza, naanza chuo, namalizaa naingia mtaani ,ni sihangaiki mpaka leo [emoji23][emoji23]
Nakumbuka baada ya huo mwezi mmoja kupita, Nikiwa nimekaa mahali najisomea nmeianama, AKAJA BINTI WA KICHAGA alikua MZURIIIII YAAN MZURI akanigusa Bega, na maneno kama " G pole sana nasikia"....
Ndio ukawa mwanzo wa penzi langu Jipya na mchaga ( huyu ndio yule mchaga, niliwahi waambia, Madada zake watatu wakanishobokea tukiwa chuo tayari, na sikuwaacha pia [emoji23]..ulafi ulafi tu
[emoji23] nimecheka sana...! Dah..kwahiyo unanichukulia mi muuaji na sipendi uimarike kisaikolojia!Hebu shusha nondo kidogo tu..
Dah!
Wewe panya buku..[emoji28]
Nikajua huna wa kukuomba kumbe unakikundi Cha wamama..[emoji1787]
Katika maombi usiwepo maana najua sala zako zitakuwa za tofauti utasikia "ashikwe baba! Apigwe baba,ang'olewe meno ya sebuleni baba!"[emoji1787]
Wewe hapana aisee.
Mafanikio ya kwanza naomba niyaone kule..![emoji23] nimecheka sana...! Dah..kwahiyo unanichukulia mi muuaji na sipendi uimarike kisaikolojia!
Nitafunga 3 kavu kwa ajili yako, ukiona mafanikio ujue dada mkubwa katengeneza njia!
[emoji13][emoji13][emoji13] tuliaMafanikio ya kwanza naomba niyaone kule..!
Nisipoyaona naenda kuteta na yesu Ana kwa ana! Nateta nae acheze nawewe..[emoji1787]
Ujipime kabla hujasumbua watu. Kutongoza ni maruweurwe yako na huwezi mlazimisha mtu awe kwenye vipaumbele vyako. Bwana mdogo acha kuparamia.Nijipinde kukutongoza wee nitumie muda, nguvu,akili nipangilie maneno ya kukushawishi.. halafu kirahisi tu uniite mimi konokono!!! Serious Mimi konokono! mjiheshimu bhana inauma.
[emoji23][emoji23][emoji23]Tuma picha tuhakikishe kama sio konokono
So mkuu unahukumu tu! Hakuna Cha kuparamia vyengine unaandika hata haujui..Ujipime kabla hujasumbua watu. Kutongoza ni maruweurwe yako na huwezi mlazimisha mtu awe kwenye vipaumbele vyako. Bwana mdogo acha kuparamia.
Hilo la kulazimisha watu wakupe heshima unapowapotezea muda kwa mambo ambayo wengine wanayaona ni maudhi, usitegemee kujibiwa kwa heshima na kla mtu. Kwanza inaonekana wewe unaparamiaga watu bila kuwafahamu na hayo ndiyo madhara. Hili linawezekana tu kwenye nchi za kiislam ambako wanawake ni bidhaa au mifugo, na si binadamu. Labda uende kule maana huko wako hata wa kununua tu.
Nashauri auwawe huyoNijipinde kukutongoza wee nitumie muda, nguvu,akili nipangilie maneno ya kukushawishi.. halafu kirahisi tu uniite mimi konokono!!! Serious Mimi konokono! mjiheshimu bhana inauma.
Samahani kwa maneno makali. Nisamehe kijana wangu.So mkuu unahukumu tu! Hakuna Cha kuparamia vyengine unaandika hata haujui..
Sina uhakika[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Serious..?
This is jf bujibuji alijiitaga gilesi wakamshitukia kikamnukia..[emoji1787]
Be careful humu Kuna watu zao kupiga connection tu..
Shida sio mimi ni jina [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ntajibatiza lingine niachane na hii tabiaHaya tulia tulii Kama maji mtungini. Ila navyokujua huna hulka ya kutulia utaanzisha tena ligi..[emoji23]
Mara hii nakuweka yale makwenzi ya kuwa na adabu..[emoji1787]