Dada zetu mnapotongozwa muwe na maneno ya staha

Dada zetu mnapotongozwa muwe na maneno ya staha

Eti konokono[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimemuwaza kono kono hapa na nilivyo siwapendi sijui ulimfanya nini dada wa watu!![emoji1787][emoji108][emoji108][emoji119]
Sikumfanya chochote kibaya mi mtu mpole Sana nashangaa mechanism ya ukonokono imetoka wapi..😅
 
Ungerudisha mapigo Mkuu konokono mimi nimemtamani konokono mwenzagu tuelewane basi kikonokono. 🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Mkuu KENZY , sijisifii... ila amini nakuambia kuna vitu ni very common kwa wanawake hapa Duniani regardless ya Asili zao za Uraia, Elimu, kipato n.k


Wanashea hivo vitu, na hapa Duniani aminini nawambia, WANAWAKE NI WATUMWA WA HISIA ZAO WENYEWE.


Ukijua kucheza na HISIA ZAO amini nakuambia 99.9% ya wanawake watahitaji kua nawewe once utakapofanya First Move.





[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] A WOMAN HAS ABSOLUTELY NO CONTROL OVER WHO TO FALL IN LOVE WITH[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]

yaan nakuambia, Muulize demu wako , ilikuaje akawa na Nawewe au Washikaji wake wa nyuma??


ATAKUJIBU..."ILITOKEA TU".


HAWAFALL KWA MTU KWA UTIMAMU WA AKILI YAO YAAN AKAE AWAZE ,AKUFIKIRIEEE, NDIO SASA AAMUE KUA NAWEWE AU LAH.


ndio maana kuna demu anaweza kukuzungusha weee Miezi mitatu..lkn kuna mchizi atampiga within 3 days za kujuana kwao.


NAMAANISHA NN??? UKIFANIKIWA KUCHEZA NA HISIA ZA MWANAMKE UNAYEMTAKA.



All the way mtakulana kimasihara na hapo ndio yeye ataanza kukupenda akishirikisha na akili yake.



ENDELEENI KUWATONGOZA KITAKATIFU .. YAAN KATOTO KANA MIAKA 20-26 UNAKATONGOZA KITAKATIFU???? WEE ULISIKIA WAPI[emoji23][emoji23]

sibora kidogoooooooooo Utakatifu uutumie kwa mwanamkd ambaye kapitia mengi ,kaumizwa, umri umeenda, hivo anahitaj mtu wa kutulia kabisaaa ,kwa lugha nyingine itakmchukua miezi karibu mitatu kukukubalia sasa kihisia???( na ukiwa mjanja bado hata huyu ndani ya siku unaouwezo wakumfanya AAMINI KUA MMEJUANA MIEZI MINGI ILIPITA)
Sawa bhana, we ndo mkuu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio adode siku akikutana na wewe aanze kaka mambo unamwambie I'm konoboy not kaka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna kamoja kamenijibu hovyo jana.Anyway kameona like mimi sijafika chuoooo kwa vile kapo huko now.Wakati watu tulikuwa huko miaka 8 ilopita.
Ngojs dunia ipo tu kwaajili yake
So wamsubiri ajilowe..😂
 
Utafika ila ukiwa umeshachoka sana.
Magoti yatakuwa yamechubuka.
Maji yamekauka mwilini.
Damu imebaki 0.02
Nywele zimenyonyoka.
Yani tu mradi safari yako itakuwa iliyojaa mateso, chuki, jasho na damu!!
Weeeeh konokono?

Hapana.
🤣🤣
Laleki Dunia mateso hii.
 
😂😂😂😂😂😂 utaskia tu "tafuta hela" 😂😂😂 pole konokono...
Niache mie nihangaikie shauri langu la talaka🚶‍♀️😂
😂😂 We nasikia Kuna mtu ulimuita chura..🤣
 
Ndio adode siku akikutana na wewe aanze kaka mambo unamwambie I'm konoboy not kaka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Ati kono Nini..?
 
Kama nakuona unavyolalamika, pole kwa kuitwa konokono
snail-angry.gif
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ati kono Nini..?
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji1787][emoji1787][emoji1787] me simo
 
Back
Top Bottom