Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 14,834
- 32,522
[emoji1][emoji1]Tusiokua na pesa tutafanya nini wala tutatenda nini mkuu wangu wakati siraha yetu pekee, Ndiyo ivo tunajikuta tunaitwa KONOKONO au DUME SULUARI.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1][emoji1]Tusiokua na pesa tutafanya nini wala tutatenda nini mkuu wangu wakati siraha yetu pekee, Ndiyo ivo tunajikuta tunaitwa KONOKONO au DUME SULUARI.
Sikumfanya chochote kibaya mi mtu mpole Sana nashangaa mechanism ya ukonokono imetoka wapi..😅Eti konokono[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimemuwaza kono kono hapa na nilivyo siwapendi sijui ulimfanya nini dada wa watu!![emoji1787][emoji108][emoji108][emoji119]
Pole harafu ukute kukutukana kote huko kumbe naye kakupenda anasubil umtongoze tena[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nakuibia siriAnijibu vizuri tu hata kama hanitaki na si kuniita Mimi konokono..[emoji26]
🤣🤣 Mkuu hata Kama aisee yani konokono kabisa..😅Ndiwoooo , wakajikuta tu hivi.
Ila KENZY ujue pengine konokono ni lugha ya ishara?
Konokono majike huwa yanapanda madume.
Sasa usikute alimaanisha anakubali
View attachment 1970452
Ungeendeamoooo. Sa hiz ungeleta uzi wa "NIMEKULA KIKONOKONO KIMASIKHARA"🤣🤣 Mkuu hata Kama aisee yani konokono kabisa..😅
Sawa bhana, we ndo mkuu!Mkuu KENZY , sijisifii... ila amini nakuambia kuna vitu ni very common kwa wanawake hapa Duniani regardless ya Asili zao za Uraia, Elimu, kipato n.k
Wanashea hivo vitu, na hapa Duniani aminini nawambia, WANAWAKE NI WATUMWA WA HISIA ZAO WENYEWE.
Ukijua kucheza na HISIA ZAO amini nakuambia 99.9% ya wanawake watahitaji kua nawewe once utakapofanya First Move.
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] A WOMAN HAS ABSOLUTELY NO CONTROL OVER WHO TO FALL IN LOVE WITH[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
yaan nakuambia, Muulize demu wako , ilikuaje akawa na Nawewe au Washikaji wake wa nyuma??
ATAKUJIBU..."ILITOKEA TU".
HAWAFALL KWA MTU KWA UTIMAMU WA AKILI YAO YAAN AKAE AWAZE ,AKUFIKIRIEEE, NDIO SASA AAMUE KUA NAWEWE AU LAH.
ndio maana kuna demu anaweza kukuzungusha weee Miezi mitatu..lkn kuna mchizi atampiga within 3 days za kujuana kwao.
NAMAANISHA NN??? UKIFANIKIWA KUCHEZA NA HISIA ZA MWANAMKE UNAYEMTAKA.
All the way mtakulana kimasihara na hapo ndio yeye ataanza kukupenda akishirikisha na akili yake.
ENDELEENI KUWATONGOZA KITAKATIFU .. YAAN KATOTO KANA MIAKA 20-26 UNAKATONGOZA KITAKATIFU???? WEE ULISIKIA WAPI[emoji23][emoji23]
sibora kidogoooooooooo Utakatifu uutumie kwa mwanamkd ambaye kapitia mengi ,kaumizwa, umri umeenda, hivo anahitaj mtu wa kutulia kabisaaa ,kwa lugha nyingine itakmchukua miezi karibu mitatu kukukubalia sasa kihisia???( na ukiwa mjanja bado hata huyu ndani ya siku unaouwezo wakumfanya AAMINI KUA MMEJUANA MIEZI MINGI ILIPITA)
🤣🤣Utafika ila ukiwa umeshachoka sana.
Magoti yatakuwa yamechubuka.
Maji yamekauka mwilini.
Damu imebaki 0.02
Nywele zimenyonyoka.
Yani tu mradi safari yako itakuwa iliyojaa mateso, chuki, jasho na damu!!
Weeeeh konokono?
Hapana.
Wacha kumtania mwenzako yakheeee.Tuma picha tuhakikishe kama sio konokono
Umegomaa!!😂 Never aisee mi si konokono aisee
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji1787][emoji1787][emoji1787] me simo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ati kono Nini..?
Ahsante ndugu..Kama nakuona unavyolalamika, pole kea kuitwa konokonoView attachment 1970465