BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Ungerudisha mapigo Mkuu konokono mimi nimemtamani konokono mwenzagu tuelewane basi kikonokono. 🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣
Mkuu nacheka lakini inauma! Dah!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣
Mkuu nacheka lakini inauma! Dah!
Weee inauma ndio.🤣🤣🤣🤣
Mkuu nacheka lakini inauma! Dah!
Kwamba wakikupa lemon make a lemonade sio.Ungerudisha mapigo Mkuu konokono mimi nimemtamani konokono mwenzagu tuelewane basi kikonokono. 🤣🤣🤣🤣🤣
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sometimes shits happen!
Nina stress hapa naomba kidogo nitulie umeshinda Espy..[emoji28]
Ila watu mnanicheka mpk natamani nijiangalie kwenye kioo nione Nini shida..🤣Kenzy kama Kenzy [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Kwamba wakikupa lemon make a lemonade sio.
Af angejikuta tu anacheka na nyavu.
Tatizo Kakata tamaa mapema.
Na kuachana na sisi huweziiii!!Dah! Sawa ndugu we ndo mchawi wao kuchapiwa sisi,kutoswa sisi, kuitwa konokono sisi dah!
Nikichoka naachana nao nafanya Mambo mengine..[emoji28]
Jichunge ndugu wanakulia timing angalia..😅Kuna yule mmoja kule kwenye uzi masihara nimeamuandika.
Yeye nilipomtongoza akaingia 18
Baada ya siku nikiwa nasubiri niwe free nmchakate, akanitumia meseji za kunitukana.
Namm nikamtukana pia.
Tukapotezeana.
Baada ya siku kadhaa ,akanitafuta huku akinutukana, kumbee alikua anatafuta gia ya kunianza[emoji23][emoji23]..
Nilivyomjib jib kidogo, akaniita kwake.
NIKAMLA KILAINIII[emoji23]!!
Ndiwoooo , wakajikuta tu hivi.
Ila KENZY ujue pengine konokono ni lugha ya ishara?
Konokono majike huwa yanapanda madume.
Sasa usikute alimaanisha anakubali
View attachment 1970452
Tusiokua na pesa tutafanya nini wala tutatenda nini mkuu wangu wakati siraha yetu pekee, Ndiyo ivo tunajikuta tunaitwa KONOKONO au DUME SULUARI.Kumbe kuna watu bado mnatongoza
Utafika ila ukiwa umeshachoka sana.Nitafika kweli..? Kwa mwendo wenyewe wa konokono ...🤣
😂😂😂😂😂😂 utaskia tu "tafuta hela" 😂😂😂 pole konokono...Nijipinde kukutongoza wee nitumie muda, nguvu,akili nipangilie maneno ya kukushawishi.. halafu kirahisi tu uniite mimi konokono!!! Serious Mimi konokono! mjiheshimu bhana inauma.