Dada zetu mnapotongozwa muwe na maneno ya staha

Dada zetu mnapotongozwa muwe na maneno ya staha

🤣🤣🤣🤣

Mkuu nacheka lakini inauma! Dah!
Weee inauma ndio.
Mi mwenywe hapa nimeumia.
Niko na mawazo hapa, nawaza kwann achague konokono?
Alishindwa nn kukuita jina zuri zuri hata akuite kangaroo?
Ungepata hata moyo jina la kiulaya ulaya ma uholanzi holanzi huko nn.

Sasa konokono?
Hapana.
Noti feaaa
 
Ungerudisha mapigo Mkuu konokono mimi nimemtamani konokono mwenzagu tuelewane basi kikonokono. 🤣🤣🤣🤣🤣
Kwamba wakikupa lemon make a lemonade sio.

Af angejikuta tu anacheka na nyavu.
Tatizo Kakata tamaa mapema.
 
Unaona eh! Angejichukulia konokono mwenzie KIMASIHARA hahahahahaha
Kwamba wakikupa lemon make a lemonade sio.

Af angejikuta tu anacheka na nyavu.
Tatizo Kakata tamaa mapema.
 
Kuna yule mmoja kule kwenye uzi masihara nimeamuandika.


Yeye nilipomtongoza akaingia 18

Baada ya siku nikiwa nasubiri niwe free nmchakate, akanitumia meseji za kunitukana.

Namm nikamtukana pia.

Tukapotezeana.


Baada ya siku kadhaa ,akanitafuta huku akinutukana, kumbee alikua anatafuta gia ya kunianza[emoji23][emoji23]..

Nilivyomjib jib kidogo, akaniita kwake.


NIKAMLA KILAINIII[emoji23]!!
Jichunge ndugu wanakulia timing angalia..😅
 
Eti konokono[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimemuwaza kono kono hapa na nilivyo siwapendi sijui ulimfanya nini dada wa watu!![emoji1787][emoji108][emoji108][emoji119]
 
Unaona eh! Angejichukulia konokono mwenzie KIMASIHARA hahahahahaha
Ndiwoooo , wakajikuta tu hivi.

Ila KENZY ujue pengine konokono ni lugha ya ishara?
Konokono majike huwa yanapanda madume.
Sasa usikute alimaanisha anakubali

images - 2021-10-10T204739.434.jpeg
 
Kuna kamoja kamenijibu hovyo jana.Anyway kameona like mimi sijafika chuoooo kwa vile kapo huko now.Wakati watu tulikuwa huko miaka 8 ilopita.
Ngojs dunia ipo tu kwaajili yake
 
Nitafika kweli..? Kwa mwendo wenyewe wa konokono ...🤣
Utafika ila ukiwa umeshachoka sana.
Magoti yatakuwa yamechubuka.
Maji yamekauka mwilini.
Damu imebaki 0.02
Nywele zimenyonyoka.
Yani tu mradi safari yako itakuwa iliyojaa mateso, chuki, jasho na damu!!
Weeeeh konokono?

Hapana.
 
Nijipinde kukutongoza wee nitumie muda, nguvu,akili nipangilie maneno ya kukushawishi.. halafu kirahisi tu uniite mimi konokono!!! Serious Mimi konokono! mjiheshimu bhana inauma.
😂😂😂😂😂😂 utaskia tu "tafuta hela" 😂😂😂 pole konokono...
Niache mie nihangaikie shauri langu la talaka🚶‍♀️😂
 
Back
Top Bottom