Besty nikwambie ukweli tuu. Mie nipo single and ready to mingle. Nakusubiria wewe umalize kuchill na big boys ndio tuje tufunge ndoaKweli usimuamin yoyote Jf khaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Besty nikwambie ukweli tuu. Mie nipo single and ready to mingle. Nakusubiria wewe umalize kuchill na big boys ndio tuje tufunge ndoaKweli usimuamin yoyote Jf khaaa
Hivi kuzaa bongo ni jambo la kuhamasisha?Kijana wa kiume mwenye zaidi ya miaka 25 na una geto lako mwenyewe acha kuishi mwenyewe kama Jini, tafuta binti anzeni maisha na mpate watoto dunia ipate vijana wapya.
Ukiangalia sababu kubwa ya vijana kutokuoa ni kudai kuwa wasichana wanataka kuhongwa na hamna pesa.
Ngoja ni wambie kitu vijana wenzangu, sio wasichana wote Tanzania na duaniani wanataka kuhongwa, wapo wasichana na wanawake wengi sana wanatamani kuondoka majumbani kwao na kwenda kuishi na wanaume kwa lengo la kuanzisha maisha yao.
ili kutest zari ukioa mpange nyumba! usimpeleke nyumbani kwako anzeni yenu siku yakukushinda unarudi kwako tuliiii unamuacha huko hiyo moja pili ya kikushinda nenda kasome mbali huko mkoani......
nimeacha mjengo mara namwandika ni mali ya mama yangu..najua huyu hawezi nidhurumu kamweee! hata akidhurumu bado ni raha yangu tu! bora apone yeye!Chawa ni lazima watamwambia una mjengo sehemu [emoji28]
Wewe ni jinsia gani?nimeacha mjengo mara namwandika ni mali ya mama yangu..najua huyu hawezi nidhurumu kamweee! hata akidhurumu bado ni raha yangu tu! bora apone yeye!
ke'' sometimes nawasaidia me kuwaza manake me vilaza ni wengi mnoo! inabidi tuwasaidie kuwaza na kuwazua!Wewe ni jinsia gani?
Nyinyi subirini muanze kulipwa na pensheni mkiwa hapo hapo nyumbani.Sisi ambao tuna 40 na bado tupo nyumbani kwa wazazi tunafanyaje eti mtoa mada?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]HahahNina ghetto langu Safiii
Limekosa tu PS
Ngoja nitafute kijana nimuwoeee Lenie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanataman kuzaa au wanataman laki laki za kila mwisho wa mwezi
TUNAWAKUMBUSHA tu sio kila mwanaume anaweza kuwa baba wa watoto wako.Kijana wa kiume mwenye zaidi ya miaka 25 na una geto lako mwenyewe acha kuishi mwenyewe kama Jini, tafuta binti anzeni maisha na mpate watoto dunia ipate vijana wapya.
Ukiangalia sababu kubwa ya vijana kutokuoa ni kudai kuwa wasichana wanataka kuhongwa na hamna pesa.
Ngoja ni wambie kitu vijana wenzangu, sio wasichana wote Tanzania na duaniani wanataka kuhongwa, wapo wasichana na wanawake wengi sana wanatamani kuondoka majumbani kwao na kwenda kuishi na wanaume kwa lengo la kuanzisha maisha yao.
National Anthem kuna mwezetu hapa 🤣🤣🤣🤣Sisi ambao tuna 40 na bado tupo nyumbani kwa wazazi tunafanyaje eti mtoa mada?
Usipokuwa tall dark handsome au short but with money ujue imekula kwako.Tatizo wanatubagua sisi mafukala ila macho yao yote yapo kwa mahand some.
Mwisho siku wanaacga wakiwa wamezalishwa.
Kama ilivyokujenga