Dada zetu wengi wanapambana kuolewa na wazungu tu

Dada zetu wengi wanapambana kuolewa na wazungu tu

Waambie wakamue mafuta yote alafu waje huku chuga kwa wadudu kuna wazungu wengi mpaka weusi. Ila wakae kwa pin lasi hivyo tutawachora tatoo ya beto

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Sasa itakuaje maana wazungu wenyewe wanapenda wenye mionekanoo kazikazi yaani kwa ufupi wazungu wanapenda rejects. Hawapendi sly queens. Sly queens wapambane tu na sisi mibwana ya bongo wakazanie kuturoga.
 
Hapa mtaani kwangu napoishi Kuna jirani kajenga nyumba imekwama kwenye box Bado hajaipauwa Kwa miaka miwili Sasa. Juzi mwenye nyumba kamtuma mke wake kuwaonyesha nyumba hii dada mmoja mwenye mtoto wa kizungu akiambatana na zee la kizunguu wanataka kununua hii nyumba. Yaonekana Hawa jamaa siyo bahili kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe wazungu ndio habari ya mjini eeeh
😃😃Hivi jf kuna wazungu kweli??
 
Leo imekuaje mnasema tunawasingizia? Tushahamia kwa wazungu sasa msitutishe
mmechelewa, marasi kitambo tu wameanza kuwadenga vibibi vya kizungu.. ila no sweti😂, nasi tutahamia kwa mabinti wa xi jinping ama mfalme salman
 
tatizo wanatudhalilisha sie waafrica, wana olewa na mizee kitu ambacho kinashusha thamani yao duniani, kama kweli unaona bongo miyayusho kwanini usioe au kuolewa na kijana mwenzio? matokeo yake kuonesha unathamani ndogo unaoa au kuolewa na mzungu mzee. tungefurahi kuona dada zetu kuolewa na vijana sio mizee ambayo ishapoteza mvuto kwao.
Wazungu vijana hawana hela halaf miyeyusho kishenzi na wana mambo mengi. wengi si waoaji ndo mana wadada wanaishia kwa vibabu, [emoji23][emoji23][emoji23] Halaf mechi wanauza kwa vijana wenzao wa kiafrika
 
Kwa muda Sasa toka nihamie kufanya kazi katika bank Moja hapa Kariakoo. Katika pitapita zangu nikakutana na Dada mmoja akanialika kwenye party ya vikoba ili niwashauri namna ya kuweka pesa na kupata mikopo.

Sasa nilifika kwenye party Ile nikakuta waume wanne na wasichana umri wa Kati kama 50 hivi. Kwa haraka niliona wote wazuri sana na wengi wanafunguo za Magari.

Kadri muda wa party unavyoenda nikajitosa kupata mrembo mmoja wa kunipa company. Nikachambua wote Hatimaye nikakutana na mrembo mmoja hana kasoro.

Nikamwita akaja kwa shauku sana. Nikaropoka nimekuchagua akanijibu na Mimi nimekuchagua.
Tukacheeka sana. Baada akaleta kiti na beer zake tukaanza kupiga soga.

Ilikuwa kama zogo wadada wanabishana na kuchambana ghafla tukaingia kwenye mazungumzo mazito tukaondoka kwenye Dunia yao ya party tukawa kama wawili tu katika faraga. Tukaongea mengi sana.

Aliniambia kama tunaweza kuwa wapenzi lakini hatutaoana kwani ana date mtu mkubwa serikalini pia Hana mpango wa kuolewa na mtu mweusi anataka mzungu. Nilishangaa sana nikaona kama amajiwekea mitihani mkubwa sana. Nilini atakutana na huyo future husband wake? na ni wapi? . Hivyo Vyote hajui.
Anataka mzungu mpaka atakapokuja.
Tukamaliza party siku ile lakini bado nikawa naona kama ni dream kubwa sana kwake. Maana ni rahisi kuweka dreams ya kupata mali au nyumba lakini kukutana na mtu naona ni ngumu sana. What if wazungu wote wamkatae?

Kuna siku nilikuwa nungwi kwenye mapumziko yangu nasoma vitabu mbali mbali nilikutana na Dada mwingine tena nae aliniambia amekuja kisaka Mume mzungu.

Leo nimekutana na mwanaDada mrembo mwembamba amzuri akaniambia ametoka Mwanza Kuja Dar kusaka wazungu.

Mbona Mimi naona kama ni dreams kubwa sana kwa mtu kujiwekea kwenye Maisha?

Wewe na yeye wote mna matatizo... Nafikiri wewe zaidi maana umeenda katikati ya Kina Mama umekuwa Mbea sawa na kina Mama hao, yani hujaonekana tofauti.
 
Back
Top Bottom