Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ndiyo tiketi ya kuletewa Mjomba hapo sebuleni.Binafsi nilikiwa na wazo moja, kwamba nimtafute mwanaume nimlengeshe kwa sista bila ya yeye (sista) kujua halafu amuoe.
Ni ushauri gani mnaweza kuipatia familia yangu juu ya wasiwasi huu?
Binafsi nilikiwa na wazo moja, kwamba nimtafute mwanaume nimlengeshe kwa sista bila ya yeye (sista) kujua halafu amuoe.
Mkuu hebu nipe namba zake ,,nijaribu kumkanya ,,Ni ushauri gani mnaweza kuipatia familia yangu juu ya wasiwasi huu?
Binafsi nilikiwa na wazo moja, kwamba nimtafute mwanaume nimlengeshe kwa sista bila ya yeye (sista) kujua halafu amuoe.
Nakuomba nimuoe,Ni ushauri gani mnaweza kuipatia familia yangu juu ya wasiwasi huu?
Binafsi nilikiwa na wazo moja, kwamba nimtafute mwanaume nimlengeshe kwa sista bila ya yeye (sista) kujua halafu amuoe.
Kiukweli haipendezi kumuona dada au binti anapuyanga na kila mwanaume. Mara unaona dada au binti ni mjamzito lkn hajawahi kuolewa. Inatia kinyaa, inatia doa na I atia laana kwenye familia au ukoo.Kwamba ni lazima Dada zenu waolewe?
Tatizo dada yako hajatulia akiona kifua tu anachojoa amenishinda.Ni ushauri gani mnaweza kuipatia familia yangu juu ya wasiwasi huu?
Binafsi nilikiwa na wazo moja, kwamba nimtafute mwanaume nimlengeshe kwa sista bila ya yeye (sista) kujua halafu amuoe.
Kwani unamfahamu? Dadangu siyo sawa na yule mwajuma ndala ndefu.Tatizo dada yako hajatulia akiona kifua tu anachojoa amenishinda.
Muwezesheni tu kiuchumi kwanza , hayo mengine yatakuja yenyeweKiukweli haipendezi kumuona dada au binti anapuyanga na kila mwanaume. Mara unaona dada au binti ni mjamzito lkn hajawahi kuolewa. Inatiw kinyaa, inatia doa na laana kwenye familia au ukoo.
Kuolewa ni heshima kwa mila za kiafrika.
Ndio unataka nikutajie na alama yake iliyopo kwenye .......Kwani unamfahamu? Dadangu siyo sawa na yule mwajuma ndala ndefu.
Mwanamke "kataa ndoa" huwa ni kituko kwenye jamiiKama yeye binafsi Hana Nia Wala pressure na ndoa msihangaike naye muacheni...
Ila kama ana Nia ya kuolewa mwambieni huo ndio umri sahihi wa kuolewa