- Thread starter
- #21
Thubutu yako! Dada mcha Mungu na kalelewa kisawasawa.Ndio unataka nikutajie na alama yake iliyopo kwenye .......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thubutu yako! Dada mcha Mungu na kalelewa kisawasawa.Ndio unataka nikutajie na alama yake iliyopo kwenye .......
Sijakataa ni mcha Mungu maana huwa anakuja na kunifanyia maombi marefu sana chumbani.Thubutu yako! Dada mchana Mungu na kalelewa kisawasawa.
Wenye akili tumesha ng'amua ...kumbe una miaka 26 na hauja olewa unatafuta wa kukuoa ...OKNi ushauri gani mnaweza kuipatia familia yangu juu ya wasiwasi huu?
Binafsi nilikiwa na wazo moja, kwamba nimtafute mwanaume nimlengeshe kwa sista bila ya yeye (sista) kujua halafu amuoe.
Njoo PM mkuu niko single hapa unitumie nambaNi ushauri gani mnaweza kuipatia familia yangu juu ya wasiwasi huu?
Binafsi nilikiwa na wazo moja, kwamba nimtafute mwanaume nimlengeshe kwa sista bila ya yeye (sista) kujua halafu amuoe.
Nipe mimi,naomba picha.Ni ushauri gani mnaweza kuipatia familia yangu juu ya wasiwasi huu?
Binafsi nilikiwa na wazo moja, kwamba nimtafute mwanaume nimlengeshe kwa sista bila ya yeye (sista) kujua halafu amuoe.
Hicho kichwa cha habari yako unamaanisha atazalishwa na watu wa nyumbani kwenu, kama kaka, mjomba, baba?Ni ushauri gani mnaweza kuipatia familia yangu juu ya wasiwasi huu?
Binafsi nilikiwa na wazo moja, kwamba nimtafute mwanaume nimlengeshe kwa sista bila ya yeye (sista) kujua halafu amuoe.
Inawezekana!Wenye skili tumesha ng'amua ...kumbe una miaka 26 na hauja olewa unatafuta wa kukuoa ...OK
Wakati anabalehe mlikua mnambana,mnamsakama na kumuita malaya. Katulia umri umeenda mmeamza kujishtukia aiseee
Kwani lazima aolewe?Ni ushauri gani mnaweza kuipatia familia yangu juu ya wasiwasi huu?
Binafsi nilikiwa na wazo moja, kwamba nimtafute mwanaume nimlengeshe kwa sista bila ya yeye (sista) kujua halafu amuoe.