Dadangu ana miaka 26, lakini mpaka sasa hajaolewa. Familia nzima tuna wasiwasi kuwa atazalia nyumbani. Tufanyeje?

Dadangu ana miaka 26, lakini mpaka sasa hajaolewa. Familia nzima tuna wasiwasi kuwa atazalia nyumbani. Tufanyeje?

Kumeharabika siku hizi nyie acheni mnaweza kusema ooh hana bahati oooh atazalia nyumbani kumbe mtu kwenye mapochi pochi yake ana madude ya kuwapelekea moto wenzake,.. nilishawahi kuwa na kabinti kamoja kazuri balaa miaka 25 hivi nikawa nala tunda ,
Lahaulaaa siku moja niliomba simu yake niangalie mishe flani eeenh kuwasha dat

Zikaanza kuingia sms ya magroup yake ya kusaga nafaka nilichoka ,kwenye hilo group wanachoambiana ni kukataa kuolewa tu wakazane wenyewe wakidai wanaume stress tu.

Sasa muangalie kwa kina haya mambo
 
Kiukweli haipendezi kumuona dada au binti anapuyanga na kila mwanaume. Mara unaona dada au binti ni mjamzito lkn hajawahi kuolewa. Inatia kinyaa, inatia doa na I atia laana kwenye familia au ukoo.

Kuolewa ni heshima kwa mila za kiafrika.
Point ndio hii sasa. Lazima mwanamke aolewe na mwanaume aoe zaidi ya hapo ni kuchafua jina la familia na kuendekeza uzinzi
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Kumeharabika siku hizi nyie acheni mnaweza kusema ooh hana bahati oooh atazalia nyumbani kumbe mtu kwenye mapochi pochi yake ana madude ya kuwapelekea moto wenzake,.. nilishawahi kuwa na kabinti kamoja kazuri balaa miaka 25 hivi nikawa nala tunda ,
Lahaulaaa siku moja niliomba simu yake niangalie mishe flani eeenh kuwasha dat

Zikaanza kuingia sms ya magroup yake ya kusaga nafaka nilichoka ,kwenye hilo group wanachoambiana ni kukataa kuolewa tu wakazane wenyewe wakidai wanaume stress tu.

Sasa muangalie kwa kina haya mambo
Hili nalo wakalitazame maana hawa wanawake wa siku hizi wee kidume wanakupa tunda huku pia anawapelekea moto wanawake wenzie
 
Ni ushauri gani mnaweza kuipatia familia yangu juu ya wasiwasi huu?

Binafsi nilikiwa na wazo moja, kwamba nimtafute mwanaume nimlengeshe kwa sista bila ya yeye (sista) kujua halafu amuoe.
Usihangaike mwambie aniinbox ushapata shemeji
 
Ni ushauri gani mnaweza kuipatia familia yangu juu ya wasiwasi huu?

Binafsi nilikiwa na wazo moja, kwamba nimtafute mwanaume nimlengeshe kwa sista bila ya yeye (sista) kujua halafu amuoe.
Wanaume tushakubaliana hakuna kuoa, ni kuzalisha tu.....tena tunazalisha wanawake tofauti tofauti.

Umesema dada ako yuko wapi bwashee.
 
Ni ushauri gani mnaweza kuipatia familia yangu juu ya wasiwasi huu?

Binafsi nilikiwa na wazo moja, kwamba nimtafute mwanaume nimlengeshe kwa sista bila ya yeye (sista) kujua halafu amuoe.
26 bado mdogo,acheni kumpa stress,Dada zake wana zaidi ya 35 na bado hawajaolewa
 
Msimstress,muda bado kabisa huo.
Kila mtu na wakati wake.
Me niligonga 30 mzee akaanza kununua picha za ukutani zimechorwa watoto eti wajukuu!
Na mimi nikifika home nasema waooh katoto kangu naona mzee ananikata jicho.
Muacheni wakati utafika tu.
 
Bro ndoa sio mafanikio na kuzalia nyumbani sio laana

Fungueni fikra vyema
 
Wana jiskia sana wakiwa njiani ila wana jilengesha mtandaoni sijui kwa nini
 
Back
Top Bottom