Dadangu ana miaka 26, lakini mpaka sasa hajaolewa. Familia nzima tuna wasiwasi kuwa atazalia nyumbani. Tufanyeje?

Duh!mjomba mbona una mawazo ya ovyo kiasi hiko?ukimlengeshesha Kwa huyo mwanamme halafu Hana furaha na ndoa yake utaenda wewe?unatapaswa umshauri afanye saana maombi atapata mume,na wewe pia muombee apate mtu/mume sahihi sio kumtafutia mabwana wamkande wakimbie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…