Dadangu ana miaka 26, lakini mpaka sasa hajaolewa. Familia nzima tuna wasiwasi kuwa atazalia nyumbani. Tufanyeje?

Inaonekana nyie ndio mna presha zaidi kuliko mhusika. Na nyie ndionasababisha watu wafanye maamuzi ya ajabu ajabu. Kuolewa mtu ndio hadi unaandika jf? Tena 26 yrs,😬😬😬
Hatutaki dada yetu ageuke kuwa kahaba, awe anachezewa na kila mwanaume hapa mjini. Ni aibu kwa familia
 
Ni ushauri gani mnaweza kuipatia familia yangu juu ya wasiwasi huu?

Binafsi nilikiwa na wazo moja, kwamba nimtafute mwanaume nimlengeshe kwa sista bila ya yeye (sista) kujua halafu amuoe.
Bila picha hatutakuelewa weka picha ya dada ako tukushauri
 
Mkuu Kama unania kweli njoo pm nitamuoa Ila asuwe na Tania za kiswahili alafu usije
1 asiwe wa Kanda ya Kati or pwani kusini na nyanda za juu kusini akiwa (muhehe) ananifaa
Tabora kagera hapana?walio baki njoo pm bwashee
 
Mkuu Kama unania kweli njoo pm nitamuoa Ila asuwe na Tania za kiswahili alafu usije
1 asiwe wa Kanda ya Kati or pwani kusini na nyanda za juu kusini akiwa (muhehe) ananifaa
Tabora kagera hapana?walio baki njoo pm bwashee
Kwani wanawake wa Tabora Wana shidoo..
 
Ni ushauri gani mnaweza kuipatia familia yangu juu ya wasiwasi huu?

Binafsi nilikiwa na wazo moja, kwamba nimtafute mwanaume nimlengeshe kwa sista bila ya yeye (sista) kujua halafu amuoe.
Nipatie number zake.
 
Ni ushauri gani mnaweza kuipatia familia yangu juu ya wasiwasi huu?

Binafsi nilikiwa na wazo moja, kwamba nimtafute mwanaume nimlengeshe kwa sista bila ya yeye (sista) kujua halafu amuoe.
Mlengeshe kwangu nimuoe mkuu. Kwanini unapata taabu ya kulengesha wakati muoaji niko hapa?
 
Muoeni ninyi kama vipi, pia akitaka kuzaa mnamuwahisha hospital ili asizalie nyumbani.

Hallelujah!!!
 
Miaka 26 means kazaliwa 98 mbona mdogo sana au hajasoma mpka degree......me ni 28 halafu siwazi kuhusu ndoa.
Nashangaa agemate ana changanyikiwa na ndoa, wakati ndo kwanza kuna kucha. Na ukiona hivo ujue maisha tu yanamchanganya anatafuta wa kumfuta machozi
 
Nashangaa agemate ana changanyikiwa na ndoa, wakati ndo kwanza kuna kucha. Na ukiona hivo ujue maisha tu yanamchanganya anatafuta wa kumfuta machozi
Huu umri bado. Ingawa wapo wa 22 wanatamani kuolewa kkt umri huu. Mwanamke akifika 29 kuelekea 30 hofu huwa juu zaidi.
 
Ni ushauri gani mnaweza kuipatia familia yangu juu ya wasiwasi huu?

Binafsi nilikiwa na wazo moja, kwamba nimtafute mwanaume nimlengeshe kwa sista bila ya yeye (sista) kujua halafu amuoe.
Vichaa nyie, miaka 26 tu? Mbona bado ana muda huyo? Mtakuwa mna shida ya afya ya akili.
 
Vichaa nyie, miaka 26 tu? Mbona bado ana muda huyo? Mtakuwa mna shida ya afya ya akili.
Hatutaki wadangaji kwenye ukoo wetu. Miaka 26 unasema mdogo??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…