Dadangu ana miaka 26, lakini mpaka sasa hajaolewa. Familia nzima tuna wasiwasi kuwa atazalia nyumbani. Tufanyeje?

Dadangu ana miaka 26, lakini mpaka sasa hajaolewa. Familia nzima tuna wasiwasi kuwa atazalia nyumbani. Tufanyeje?

Unavyomuona ana tabia nzuri? Huenda alishatamka kuwa anataka kuolewa na mtu mwenye uwezo, mpaka sasa anawasubiri. Kama vipi, labda katupiwa kimavi, ni cha kuondoa.
 
Ni ushauri gani mnaweza kuipatia familia yangu juu ya wasiwasi huu?

Binafsi nilikiwa na wazo moja, kwamba nimtafute mwanaume nimlengeshe kwa sista bila ya yeye (sista) kujua halafu amuoe.
Muacheni aishi maisha yake kama nyie!
Pambana na yako na yenu....
 
Ni ushauri gani mnaweza kuipatia familia yangu juu ya wasiwasi huu?

Binafsi nilikiwa na wazo moja, kwamba nimtafute mwanaume nimlengeshe kwa sista bila ya yeye (sista) kujua halafu amuoe.
Inaonekana nyie ndio mna presha zaidi kuliko mhusika. Na nyie ndionasababisha watu wafanye maamuzi ya ajabu ajabu. Kuolewa mtu ndio hadi unaandika jf? Tena 26 yrs,😬😬😬
 
Ni ushauri gani mnaweza kuipatia familia yangu juu ya wasiwasi huu?

Binafsi nilikiwa na wazo moja, kwamba nimtafute mwanaume nimlengeshe kwa sista bila ya yeye (sista) kujua halafu amuoe.
Mkuu kwa bahati mbaya nimeoa ningemstiri.
 
Rudi nyuma kidogo kwenye historia ya wazazi wenu.

Je walioana? Kama ndio angalia maza aliishije na faza? Kama maza ndio mwenye kauli ya mwisho kimaamuzi basi itachukua muda sana kwa dada ako kupata boya wa kumuoa.

Mabinti wengi huishi muda mwingi wa usichana wao wakipata attention nyingi mnooo kutoka kwa wanaume.

Unakuta binti akitoka nyumbani kwenda dukani tu, ameshatongozwa hata mara mbili, miluzi nayo Kama yoote(na kipindi hiki cha sosha network ndio imekua balaa, mara insta, mara fb huko Kote ni mitongozo na hai za kutosha)

Kwa bahati mbaya sana dada zetu wanapokutana na hali hizi hujisahau, hata wakitongozwa na wanaume siriaz wasio na vipato vinavyoeleweka huwakataa wakiamini kesho watatongozwa na wanaume bora/sahihi


Hapa ndio dada zetu huwa wanachemka coz muda wa wao kupewa attention huwa ni mfupi sana baada ya hapo kunakua na kizazi kipya na wao wanaanza kutolewa kwenye game kidogo kidogo, kuja kustuka, hakuna mwanaume wa maana maishani, inabidi ajirahisi >>> singo maza.

Men age like fine wines, bitchez ages like milk.

Kwa mwanaume huu mfumo ni vice versa coz mwanaume anapofikia 30,40 ndio anakua amejipata pata kidogo wengine wanakua wameshatoboa kabisa, sasa jiulize mwanaume kama huyu atakuja kwa dada ako?
Sasa mwanaume huna kipato Cha kueleweka unatongoza ili iweje?
 
Ni ushauri gani mnaweza kuipatia familia yangu juu ya wasiwasi huu?

Binafsi nilikiwa na wazo moja, kwamba nimtafute mwanaume nimlengeshe kwa sista bila ya yeye (sista) kujua halafu amuoe.
Njoo Pm na picha yake
 
Ni ushauri gani mnaweza kuipatia familia yangu juu ya wasiwasi huu?

Binafsi nilikiwa na wazo moja, kwamba nimtafute mwanaume nimlengeshe kwa sista bila ya yeye (sista) kujua halafu amuoe.
Mlengeshe kwangu
 
Ni ushauri gani mnaweza kuipatia familia yangu juu ya wasiwasi huu?

Binafsi nilikiwa na wazo moja, kwamba nimtafute mwanaume nimlengeshe kwa sista bila ya yeye (sista) kujua halafu amuoe.


Usimlengeshe Kwa mwanume Ila jaribu kuongea nae kuhusu swala zima la mahusiano .

Unaweza kumlengesha Ila akaishia Kuzalishwa na kuachwa .

Zipo njia ambazo unaweza kuzitumia ili apate MTU

Wakati wewe unataka aolewe pia na yeye anataka apate mume sahihi.

Then nyakati hizi kupata ndoa na MTU anaye eleweke sio Kazi nyepesi ,subra na kuwa uvumilivu ni muhimu.

We bora huyo Ana 26 yrs hajaolewa

Kuna watu wana 30 hajaolewa na mtoto hana wanaume wanamruka Kama hawamuoni.


So familia isikurupuke mtulie mumuombe Mungu na awe MTU ambaye ni approachable swala hili litamfanya apate ndoa ishallah.
 
Ni ushauri gani mnaweza kuipatia familia yangu juu ya wasiwasi huu?

Binafsi nilikiwa na wazo moja, kwamba nimtafute mwanaume nimlengeshe kwa sista bila ya yeye (sista) kujua halafu amuoe.
Mpeleke Mr Right,Startimes kwa Gara B.
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Madem wengi saiv wasenge tu ndomaana wajanja wengi hatuoi tunazalisha tu rate ya single mothers itazid kuongezeka adi vichwa viwakae saw.
 
Ni ushauri gani mnaweza kuipatia familia yangu juu ya wasiwasi huu?

Binafsi nilikiwa na wazo moja, kwamba nimtafute mwanaume nimlengeshe kwa sista bila ya yeye (sista) kujua halafu amuoe.
Nipe namba yake utanishukuru leo leo na hilo tatizo litaisha.
 
Ni ushauri gani mnaweza kuipatia familia yangu juu ya wasiwasi huu?

Binafsi nilikiwa na wazo moja, kwamba nimtafute mwanaume nimlengeshe kwa sista bila ya yeye (sista) kujua halafu amuoe.
Naweza kuuliza kabila lenu ndugu?au japo eneo mlilipo?
 
Back
Top Bottom