Dadangu ana miaka 26, lakini mpaka sasa hajaolewa. Familia nzima tuna wasiwasi kuwa atazalia nyumbani. Tufanyeje?

28 unapaswa kuwa kwenye ndoa. Kinyume na hapo umefungwa na roho wachafu wa ukahaba na hujijui.
We jamaa akili zako ziliwekwa chini au, kwahiyo unaona mafanikio kwa mwanamke kuolewa? Una mawazo ya kizamani sana
 
Ni ushauri gani mnaweza kuipatia familia yangu juu ya wasiwasi huu?

Binafsi nilikiwa na wazo moja, kwamba nimtafute mwanaume nimlengeshe kwa sista bila ya yeye (sista) kujua halafu amuoe.
Naandika nafuta naandika nafuta...wewe ni punguani
 
Hatutaki wadangaji kwenye ukoo wetu. Miaka 26 unasema mdogo??
Miaka 26 ndio wastani wa kumaliza chuo kikuku kwa mtoto wa kike. Hapo bado hajui mengi kwa kizazi hiki. Ndio mnapelekea ndoa mfu nyie. Muache atajipanga. Mambo ya presha za familia ataangukia pabaya lazima. Na mtajuta. Muacheni bado! Wajinga kweli au we utakuwa mtoto unadhani 26 ni mingi. Ndoa za zama hizi ni tofauti acheni kiherehere na ujinga.
 
We jamaa akili zako ziliwekwa chini au, kwahiyo unaona mafanikio kwa mwanamke kuolewa? Una mawazo ya kizamani sana
Siongelei Mafanikio. Kuolewa kunaleta staha kwa mwanamke. Mwanamke akiwa hajaolewa anaishi maisha ya kishenzi/ukahaba
 
Siongelei Mafanikio. Kuolewa kunaleta staha kwa mwanamke. Mwanamke akiwa hajaolewa anaishi maisha ya kishenzi/ukahaba
Ndio akili zako zilipokomea? maisha ya Sasa ndoa sio kipaumbele Cha kila mtu ndiposa utaona vijana wengi hawaoi Sasa huyo dada ako unayemlazisha kuolewa utakuwa unachangamoto kwenye akili,,, piganieni ndoto zake na kumuinua kiuchumi kuliko kupigania aolewe
 
Miaka 26 ndio wastani wa kumaliza chuo kikuku kwa mtoto wa kike.
Miaka 26 anamaliza chuo kikuu??!!! Labda kama ameamua kuunganisha na masters. First degree ni miaka 21/22.
 
Ashadomeshwa mpk chuo kikuu, amepata mpk kazi. Anatokea home kwenda kazini, mwaka wa pili huu tangu aanze kazi. Sasa bado anadai nn toka kwa familia??

Familia inataka aolewe ili asije akaanza kutudhalilisha.
 
Ashadomeshwa mpk chuo kikuu, amepata mpk kazi. Anatokea home kwenda kazini, mwaka wa pili huu tangu aanze kazi. Sasa bado anadai nn toka kwa familia??

Familia inataka aolewe ili asije akaanza kutudhalilisha.
Kwahiyo kupata kazi ndio mafanikio ya kiuchumi na kuwa haihitaji kufanikiwa kiuchumi? Au mnataka aolewe mpate mgao wa mahari au Basi oleweni nyie Kama mnaona nirahisi
 
Kwahiyo kupata kazi ndio mafanikio ya kiuchumi na kuwa haihitaji kufanikiwa kiuchumi? Au mnataka aolewe mpate mgao wa mahari au Basi oleweni nyie Kama mnaona nirahisi
Kwahiyo unataka aanze kulipwa na familia ndiyo uridhike? Mtu kasomeshwa na kazi kapata, bado unataka tumpe Mafanikio? Mafanikio gani tena? Atatumia taaluma yake kujipatia Mafanikio yake.
 
Natafuta mdada aliye serious nimuoe.
Sifa.
1. Awe na umri usiozidi miaka 26
2. Awe hajawahi kuolewa
Haijalishi dini
Haijalishi rangi yake.

Sifa zangu
Sijaoa
Nimeajiriwa.

Aliye serious anicheki inbox
 
Natafuta mdada aliye serious nimuoe.
Sifa.
1. Awe na umri usiozidi miaka 26
2. Awe hajawahi kuolewa
Haijalishi dini
Haijalishi rangi yake.

Sifa zangu
Sijaoa
Nimeajiriwa.

Aliye serious anicheki inbox
Mcheki huyowamba akuunganishe kwa dada ake😃
 
Labda feminist ndio maan haoni umuhimu wa mme so mjipange kumbadili mentality yake
 
Mkuu yawezekana nyie ndo mnaumia lakini mwanadada wala haumii madam anapigwa paipu inatosha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…