Niache Nteseke
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 2,162
- 2,616
- Thread starter
-
- #61
Yaaaani kama wasomali si wasomali waarabu si waarabu, juzi nilimkuta mmoja aisee ukimuangalia unaweza ukasema shombe shombe la kiarabu halafu ni Mama ntilie anasonga ugali nikasema aisee, life is not fair kwa kweli.Yaan unamwagalia mdada mpaka unajiuliza huyu alizaliwa? Kila kitu kipo 100%
Aaaaaah wapi mi sio Msukuma aisee Mama Mzaramo Mshua Mndenge ni Pure Pwanist Dada 'ake. Ila hawa wa ukanda huu wana rangi flani hivi amazing sana.Unamuacha ateseke
Nimekuja Kondoa kutokea Chugga my dear upo huku kwani...?Sawa, ila uko wapi.....
Nafkiri kwa sababu ya antenna hakuna labda au sijui shida ni nini mkuu...?Ukijipanga fresh unaweza kula nyumba nzima kuanzia mama mpaka watoto wake.
Sio nimempata nimewapata aisee walaini sana hawa, ni kushika mkono tu twende hawajui kukataa mkuu.Kwakuwa umempta na amekupenda......?
sio nyumba mpaka kabira loteNafkiri kwa sababu ya antenna hakuna labda au sijui shida ni nini mkuu...?
Sio wote mkuu wengine wako vizuri kila idara aisee.uongo, huwa wana uzuri wa sura na rangi. Viguu kama spok za baiskeli.
Vyote vyote wanavyo mkuu.Wazuri au weupe?
Alsikika mpare akisema huku akiona wivuHawafui dafu kwa Wapare!
Hivi kwa nini hawatoshekagi mkuu...?Wazuri sana ila kuwa makini ni anaweza kuwa mkeo na akawa kahaba na ni wachawi pia
Nasikia wapare wakitoka kwao wanaacha chupi gonjaHawafui dafu kwa Wapare!
Hahahaha...!Nyie tatizo lenu mnapenda sana kukaa milimani
Upo kata gani tembelea maeneo ya kolo na Saranka ndani ndani uko up ambanie kombeNoma sana Wana roho nzuri sana aisee. Nipo Kondoa hapa natamani niendelee kubaki aisee.
Kwa kweli sijateseka mzee baba. Wamenikaribisha vyema, japo sijakutana na antenna iliyokatwa itabidi nitafute shangazi wa age kidogo nione kilivyokatwa coz hawa watoto wa siku hizi sidhani kama wanawakata.Oi Wanangu
Acha niteseke tu πππ
Kwa nini unasema hivyo mkuu...? Shusha nyama kidogo tupate darsa.Jichanganye uoe utarudi hapa kwa speed unalia
tafuta kadi ya ccm utawapa huko wakina wazee wa utani bao la mkonoMa black mamba tujifiche wapi wajameni
Pokea basi simu.....Nimekuja Kondoa kutokea Chugga my dear upo huku kwani...?
Utakufa vibayaHata sijui nisemeje mnielewe.