Dah, aisee Warangi wazuri sana

Waulize wanaume wa huo mkoa uliopo Kama huo uzuri wa hao wanawake wanauona

Jibu likiwa YES ujue upo sahihi Ila likiwa NO au wakakwambia wao wanaona kawaida ujue hiyo ni issue ya AKILI inakusumbua .
Uzuri wa mtu upo machoni mwa mtu mkuu. Kama una D zaidi ya 2 utakuwa umeelewa.
 
Niliposema nataka kuoa hayo makabila ni wapi...? Soma madam uelewe sio unakurupuka tu. Hovyoooo...!
 
Niliposema nataka kuoa hayo makabila ni wapi...? Soma madam uelewe sio unakurupuka tu. Hovyoooo...!
Hovyooo ni wewe umeshalipewa limbwaata hujioni na sura mbaya kama manati ya fundi maiko ,unalisura baya ndio maana unawaona warangi wazuri warangi wamekomaa ukiwapiga na mawe hawasikii . Jinsi walivyokomaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…