Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
CCM hii hii au imekuja nyinginetafuta kadi ya ccm utawapa huko wakina wazee wa utani bao la mkono
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM hii hii au imekuja nyinginetafuta kadi ya ccm utawapa huko wakina wazee wa utani bao la mkono
Rangi adimu hiyoMa black mamba tujifiche wapi wajameni
Kwa niaba ya Michuzi Jr.Tukuache uteseke? au uweke picha tuteseke wote.
anzisha uzi uisifie nasisi tuchekelee basiRangi adimu hiyo
Uzuri wa mtu upo machoni mwa mtu mkuu. Kama una D zaidi ya 2 utakuwa umeelewa.Waulize wanaume wa huo mkoa uliopo Kama huo uzuri wa hao wanawake wanauona
Jibu likiwa YES ujue upo sahihi Ila likiwa NO au wakakwambia wao wanaona kawaida ujue hiyo ni issue ya AKILI inakusumbua .
bora we una D mwenzako waziri ana FUzuri wa mtu upo machoni mwa mtu mkuu. Kama una D zaidi ya 2 utakuwa umeelewa.
Uzuri sio weupe tu mzee baba demu anaweza asiwe mweupe akawa mweusi lakini bado akawa ni kisu balaa. Sijui unakubaliana na mimi...?Tatizo lako hutembei, mbona weupe wa kawaida huo, jitahid utembelee nchi hii hao bado sana
Umeonaanzisha uzi usifie nasisi tuchekele basi
Sawa.Kama hana king'amuzi chenye antena! Hilo ni shimo na sio Mbususu.
Hata sijui nisemeje mnielewe.
Niliposema nataka kuoa hayo makabila ni wapi...? Soma madam uelewe sio unakurupuka tu. Hovyoooo...!Madawa hajamuachaga mtu salama na utakoma huyomuacha daima labda uwe mlokole , usioe wafuatao , wambulu general, warangi , wapare , wachagga hawa kwa uchawi au kuuwa ni rahisi tu na waluguru sasa kajichanganye , hata wadada wote wakigoma acha kabisa hawafai . Huwezi kuishi nao kama nakudanganya muoe mrangi familia yako yote watafukuzwa . Tena wewe mwenye pasipo kujua
Nakaziauongo, huwa wana uzuri wa sura na rangi. Viguu kama spok za baiskeli.
Ila kikubwa umemuelewa mkuu.Mzee hizo mistake zipo siku zote. Kubali kukosolewa. Hakuna watu hapa Tanzania wanaitwa wambulu.
Mbulu huyu hapa
View attachment 3046846
🤣🤣🤣😂😂😂😂🤣🤣😂😂😂🤣🤣Ukijipanga fresh unaweza kula nyumba nzima kuanzia mama mpaka watoto wake.
AaaahaaaaIla ni burudani kwa wote
Hovyooo ni wewe umeshalipewa limbwaata hujioni na sura mbaya kama manati ya fundi maiko ,unalisura baya ndio maana unawaona warangi wazuri warangi wamekomaa ukiwapiga na mawe hawasikii . Jinsi walivyokomaaNiliposema nataka kuoa hayo makabila ni wapi...? Soma madam uelewe sio unakurupuka tu. Hovyoooo...!