Warangi rangi ndio inawabeba.Hata sijui nisemeje mnielewe.
We mpare au mhaya!?Hawafui dafu kwa Wapare!
Hao wamekua na rangi na ushombe huo kwasababu wamezaana sana na wanyaturu na wairaqi.Yaaaani kama wasomali si wasomali waarabu si waarabu, juzi nilimkuta mmoja aisee ukimuangalia unaweza ukasema shombe shombe la kiarabu halafu ni Mama ntilie anasonga ugali nikasema aisee, life is not fair kwa kweli.
Hawa WAETHIOPIA MKUU.
Wambulu/wairaqi hawana shida.Madawa hajamuachaga mtu salama na utakoma huyomuacha daima labda uwe mlokole , usioe wafuatao , wambulu general, warangi , wapare , wachagga hawa kwa uchawi au kuuwa ni rahisi tu na waluguru sasa kajichanganye , hata wadada wote wakigoma acha kabisa hawafai . Huwezi kuishi nao kama nakudanganya muoe mrangi familia yako yote watafukuzwa . Tena wewe mwenye pasipo kujua
Tatizo ni wafupiHawafui dafu kwa Wapare!
π€π€π€π€π€π€Mkuu.Hangaika na wanawake wote ila usimpende mpare.
Hahahahaha nasikia hao wote ni burudani kwa woteHawafui dafu kwa Wapare!
Wapare maji mara moja hapo ukimgusa hata mkono analegea alafu wanafundishwa sana uchawiπ€π€π€π€π€π€Mkuu.
Kwahiyo chuma kama hiki nisihangaike nacho AISEE!?
Mpare huyuView attachment 3047152
Sema nimeoa wacha niachane naye huyu.Wapare maji mara moja hapo ukimgusa hata mkono analegea alafu wanafundishwa sana uchawi
Jichanganye tu utakuja kunikumbukaWambulu/wairaqi hawana shida.
Ila umpate ambaye hajakulia Manyara.
Shida yao ni wagumu kuelewa pia hawawezi kujiendesha wenyewe.
Ila sio washirikina kama ulivyosema tttt uongo.
Waluguru shida yao kuu ni kususa ila ukioa wale AISEE unafaidi sana pia wanajua kulea watoto.
Ukioa mluguru jua mwanao ataelewa vema sana na wajomba zake na mama zake wakubwa na wadogo.
Nipo hapa Morogoro ninaishi nao na pia nina ndugu waluguru(mama wadogo wa mbali).
Ngoja tukuache uteseke!!Hata sijui nisemeje mnielewe.
Naongea ninachokiishi.Jichanganye tu utakuja kunikumbuka
Kwann mkuu?? Wao hawastahili kupewa upendo ama?Hangaika na wanawake wote ila usimpende mpare.
Ananifanyia Kampeni.ππKumbe alikuwa na lake huyo jamaa...?
Mpaka ufe hutakaa kumuacha naatakuwa anasimamia mali zenu na pia hatopenda uwe unaleta ndugu zako hapo .Naongea ninachokiishi.
Mkewangu baba Mbulu/muiraqwu mama mnyaturu.
Nimeoa niko nae tuna miaka miwili naaa na tunatarajia mtoto.
Sijaona unachosema na ana familia yenye dini mashaallah labda kwasababu wamekua TANGA.
Nina mama wadogo na wajomba waluguru na nipo kwa hapa sasa hivi wako too loyal and supportive.
We bado kijana mdogo usiwe na haraka utajua kila kituKwann mkuu?? Wao hawastahili kupewa upendo ama?
π, limekukuta jambo nini mkuu..hebu funguka kidogoWe bado kijana mdogo usiwe na haraka utajua kila kitu
Mpe mpe kionjooWe bado kijana mdogo usiwe na haraka utajua kila kitu