Dah, aisee Warangi wazuri sana

Dah, aisee Warangi wazuri sana

Yaaaani kama wasomali si wasomali waarabu si waarabu, juzi nilimkuta mmoja aisee ukimuangalia unaweza ukasema shombe shombe la kiarabu halafu ni Mama ntilie anasonga ugali nikasema aisee, life is not fair kwa kweli.
Hao wamekua na rangi na ushombe huo kwasababu wamezaana sana na wanyaturu na wairaqi.
Ila wenyewe kama wenyewe hawana ushombe hata kidogo.
Wapo kama wamwasi tu.
Wawashukuru wanyaturu wamewachanganyia damu.
 
Madawa hajamuachaga mtu salama na utakoma huyomuacha daima labda uwe mlokole , usioe wafuatao , wambulu general, warangi , wapare , wachagga hawa kwa uchawi au kuuwa ni rahisi tu na waluguru sasa kajichanganye , hata wadada wote wakigoma acha kabisa hawafai . Huwezi kuishi nao kama nakudanganya muoe mrangi familia yako yote watafukuzwa . Tena wewe mwenye pasipo kujua
Wambulu/wairaqi hawana shida.
Ila umpate ambaye hajakulia Manyara.
Shida yao ni wagumu kuelewa pia hawawezi kujiendesha wenyewe.
Ila sio washirikina kama ulivyosema tttt uongo.
Waluguru shida yao kuu ni kususa ila ukioa wale AISEE unafaidi sana pia wanajua kulea watoto.
Ukioa mluguru jua mwanao atalelewa vema sana na wajomba zake na mama zake wakubwa na wadogo.
Nipo hapa Morogoro ninaishi nao na pia nina ndugu waluguru(mama wadogo wa mbali).
 
Hangaika na wanawake wote ila usimpende mpare.
🤔🤔🤔🤔🤔🤔Mkuu.
Kwahiyo chuma kama hiki nisihangaike nacho AISEE!?
Mpare huyu
IMG_20240720_145109_894.jpg
 
Wambulu/wairaqi hawana shida.
Ila umpate ambaye hajakulia Manyara.
Shida yao ni wagumu kuelewa pia hawawezi kujiendesha wenyewe.
Ila sio washirikina kama ulivyosema tttt uongo.
Waluguru shida yao kuu ni kususa ila ukioa wale AISEE unafaidi sana pia wanajua kulea watoto.
Ukioa mluguru jua mwanao ataelewa vema sana na wajomba zake na mama zake wakubwa na wadogo.
Nipo hapa Morogoro ninaishi nao na pia nina ndugu waluguru(mama wadogo wa mbali).
Jichanganye tu utakuja kunikumbuka
 
Watu wema sn hao, mademu watamuu halafu mizinga ya kishkaji...ila uwe mpole maana foleni ni ndefu!.
Kuna m1 mke wa mtu nilikuwa nala kumbe anamichepuko mingine kibao nje nikaanza mambo ya wivu akanitosa...alikuwa na k tamu sijawahi kuona tena...yaani iko hapo juu juu kama imeegeshwa vile!.
 
Jichanganye tu utakuja kunikumbuka
Naongea ninachokiishi.
Mkewangu baba Mbulu/muiraqwu mama mnyaturu.
Nimeoa niko nae tuna miaka miwili naaa na tunatarajia mtoto.
Sijaona unachosema na ana familia yenye dini mashaallah labda kwasababu wamekua TANGA.
Nina mama wadogo na wajomba waluguru na nipo kwa hapa sasa hivi wako too loyal and supportive.
 
Naongea ninachokiishi.
Mkewangu baba Mbulu/muiraqwu mama mnyaturu.
Nimeoa niko nae tuna miaka miwili naaa na tunatarajia mtoto.
Sijaona unachosema na ana familia yenye dini mashaallah labda kwasababu wamekua TANGA.
Nina mama wadogo na wajomba waluguru na nipo kwa hapa sasa hivi wako too loyal and supportive.
Mpaka ufe hutakaa kumuacha naatakuwa anasimamia mali zenu na pia hatopenda uwe unaleta ndugu zako hapo .
Mjomba wangu mkubwa ameoa mbulu, 1. Amehakikisha mali zao wameendesha nsugu zake.
2. Kafukuza ndugu zote upande wetu .
3. Ushirikina ulionekana hadi anaambiwa na bado haachi amemuweka mume kawa mjinga anakubaliana nayr hata kama leo alikataa kesho anakubali.
4. Wambulu nimefanya nao kazi 3 years hakuna kitu utaniambia wanaushirikina wakujenga sio kubomoa wanaakili sana na wala hujui wamekuweza unajiona sawa tu.

Wanyaturu hawapo kama wambulu wao wakaiwaida tu. Warangi sasa wamewazidi wambulu ni balaa mrangi akimuoa mrangi au mbulu aisee combination ya kutosha .

Wambulu hawajui neno hapana aliwa tu na anakula vizuri tu. Na wanaliwa hadi unasema dah huyu aliyemuoa Mungu amsaidie . Sijui katika afya zao maan mie sio daktari. Nimemaliza
 
Back
Top Bottom