Dah, aisee Warangi wazuri sana

Dah, aisee Warangi wazuri sana

Mzee hizo mistake zipo siku zote. Kubali kukosolewa. Hakuna watu hapa Tanzania wanaitwa wambulu.

Mbulu huyu hapa
View attachment 3046846
Mkuu mbona issue ndogo tu unakaza mishipa!

Mimi nawazungumzia wambulu namaanisha wanaotokea mbulu ndo hzo species nzuri nyingi zilipo. Nkisema wambulu namaanisha wairaq wanaotokea mbulu ni sawa na mtu anavosema Mmachame.

Mazingira ya kule nauelewa nayo Kwa kiasi flan
Babati Kwa sehemu kubwa Kuna mchanganyiko wa watu ila kwa sehemu kubwa wapo wafyomi (galapo, dareda na babati vijijini) warangi, wambugwe hawa wapo Magugu jirani na ziwa flan hv

Mbulu ndo wairaq(wambulu)
 
Mkuu mbona issue ndogo tu unakaza mishipa!

Mimi nawazungumzia wambulu namaanisha wanaotokea mbulu ndo hzo species nzuri nyingi zilipo. Nkisema wambulu namaanisha wairaq wanaotokea mbulu ni sawa na mtu anavosema Mmachame.

Mazingira ya kule nauelewa nayo Kwa kiasi flan
Babati Kwa sehemu kubwa Kuna mchanganyiko wa watu ila kwa sehemu kubwa wapo wafyomi (galapo, dareda na babati vijijini) warangi, wambugwe hawa wapo Magugu jirani na ziwa flan hv

Mbulu ndo wairaq(wambulu)
Hakuna kabila la wambulu Tanzania.
 
Back
Top Bottom