thundercat8
Senior Member
- Nov 25, 2015
- 172
- 384
Until huyo dada wa kirangi akupige tukio ndo akili itakaa sawa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mbona issue ndogo tu unakaza mishipa!Mzee hizo mistake zipo siku zote. Kubali kukosolewa. Hakuna watu hapa Tanzania wanaitwa wambulu.
Mbulu huyu hapa
View attachment 3046846
Hakuna kabila la wambulu Tanzania.Mkuu mbona issue ndogo tu unakaza mishipa!
Mimi nawazungumzia wambulu namaanisha wanaotokea mbulu ndo hzo species nzuri nyingi zilipo. Nkisema wambulu namaanisha wairaq wanaotokea mbulu ni sawa na mtu anavosema Mmachame.
Mazingira ya kule nauelewa nayo Kwa kiasi flan
Babati Kwa sehemu kubwa Kuna mchanganyiko wa watu ila kwa sehemu kubwa wapo wafyomi (galapo, dareda na babati vijijini) warangi, wambugwe hawa wapo Magugu jirani na ziwa flan hv
Mbulu ndo wairaq(wambulu)
Ni kweli ninazo coz nina namba za wadada kadhaa na wameweka profile ila sio vizuri kuwaweka hadharani mkuu.Anazo ila anadhani tutafaidi.
Noma sana hawa viumbe mkuu. Dah...!Wanyaturu & wambulu typing....
Aaaaaah wapi flow wapi wewe wanaweza ku-flow kumshinda Noorah...?Hawafui dafu kwa Wapare!
Yes huwa hawajui kukataa. Burudani kwa wote kama Azam mzee baba.Ila ni burudani kwa wote
Sio wote ni wachawi mzee baba.hasa wakishakupigia tunguri
Aisee unachosema ni kweli coz kila nnayemgusa hakatai aisee. Nime-test kwa wadada 6 hivi na wote wakakubali bila ya kusumbua mahakama mkuu.kumbuka kuwa wamezidi dawasco kwa kutoa huduma
Wana sauti nyororo sana lazima tu utoe passwordNoma sana Wana roho nzuri sana aisee. Nipo Kondoa hapa natamani niendelee kubaki aisee.
Mbona wapo fresh tu Dada 'ake, nafkiri baadhi yao labda ndio wapo hivyo ila sio wote.Meno na miguu vipi?
Kwa wengine weupe ni tafsiri ya uzuriWazuri au weupe?
Aisee kama mdada wa Kirangi humu na yupo Kondoa hebu aje inbox please.Ngoja waje
sio nape unataniaAisee unachosema ni kweli coz kila nnayemgusa hakatai aisee. Nime-test kwa wadada 6 hivi na wote wakakubali bila ya kusumbua mahakama mkuu.
Kwa wengine weupe ni tafsiri ya uzuri