Dah Ban inauma aisee! Nimempa rafiki yangu simu aperuzi JF akasababisha nipigwe ban

Dah Ban inauma aisee! Nimempa rafiki yangu simu aperuzi JF akasababisha nipigwe ban

Nima Imma

JF-Expert Member
Joined
May 14, 2015
Posts
2,473
Reaction score
3,669
Poleni na majukumu jana bwana niko kazini akatokea rafiki yangu simu yake imeharibika akaniomba akasome yanayojiri jamii forum na huwa si log out mm sikuwa mchoyo basi alivyomaliza akanirejeshea simu.

Imefika jion niko nyumban nataka kujua na mimi yaliyojiri baada ya kazi nyingi duh kila nikiingia hamna kitu sijawahi pigwa ban so sijui hata ukipigwa inakuwaje.

Basi nikajua app inashida nikaiunstall kisha nika install upya bado ikawa hamna kitu ,,nikaiunstall kabisa nikasema niingie kwa website ile na log in lahaulaaahhhhh nina BAN ya 24 hrs aiseeeee iliniuma sana mana aliandika comment ya kipuuzi nikalambwa ban dah aisee ban inauma khaaaa

Ila viongozi why kwenye app inakuwa ban haionyeshi?? Mana ningeona nisingepata shida ya kufuta na kuinstall na kufuta tena app.

Mwisho ,tujiadhari na wanaoingia kwa kupitia simu zetu nimekoma
 
Usimpe mtu simu yako mimi kuna siku mmasai wangu alidaka kwa bahati mbaya simu yangu nilikuwa kwenye PM natiririka na mtu. Ile nimeenda kuchungulia sufuria jikoni dakika tatu zilimtosha kumjibu vibaya sana mtu niliyekuwa na chat nae. Nilijisikia vibaya sana nikaambulia block kutoka kwa rafiki wangu wa PM[emoji22]

Tangu siku hiyo simu yangu ina password hadi kwenye charger nimeweka password hata akiishi nayo siku nzima hafanikiwi chochote kuanzia kupokea simu hazipokeleki wala haoni chochote. Amepandisha mori hadi ameshusha mwenyewe simpi nafasi kwenye simu yangu tena.
 
Usimpe mtu simu yako mimi kuna siku mmasai wangu alidaka kwa bahati mbaya simu yangu nilikuwa kwenye PM natiririka na mtu. Ile nimeenda kuchungulia sufuria jikoni dakika tatu zilimtosha kumjibu vibaya sana mtu niliyekuwa na chat nae. Nilijisikia vibaya sana nikaambulia block kutoka kwa rafiki wangu wa PM[emoji22]

Tangu siku hiyo simu yangu ina password hadi kwenye charger nimeweka password hata akiishi nayo siku nzima hafanikiwi chochote kuanzia kupokea simu hazipokeleki wala haoni chochote. Amepandisha mori hadi ameshusha mwenyewe simpi nafasi kwenye simu yangu tena.
Ahaaa haa
 
Back
Top Bottom