Dah Ban inauma aisee! Nimempa rafiki yangu simu aperuzi JF akasababisha nipigwe ban

Dah Ban inauma aisee! Nimempa rafiki yangu simu aperuzi JF akasababisha nipigwe ban

Usimpe mtu simu yako mimi kuna siku mmasai wangu alidaka kwa bahati mbaya simu yangu nilikuwa kwenye PM natiririka na mtu. Ile nimeenda kuchungulia sufuria jikoni dakika tatu zilimtosha kumjibu vibaya sana mtu niliyekuwa na chat nae. Nilijisikia vibaya sana nikaambulia block kutoka kwa rafiki wangu wa PM[emoji22]

Tangu siku hiyo simu yangu ina password hadi kwenye charger nimeweka password hata akiishi nayo siku nzima hafanikiwi chochote kuanzia kupokea simu hazipokeleki wala haoni chochote. Amepandisha mori hadi ameshusha mwenyewe simpi nafasi kwenye simu yangu tena.
Wewe ni mwanamke wa shoka! Wait a minute, mmasai ni mume au boyfriend?
 
Usimpe mtu simu yako mimi kuna siku mmasai wangu alidaka kwa bahati mbaya simu yangu nilikuwa kwenye PM natiririka na mtu. Ile nimeenda kuchungulia sufuria jikoni dakika tatu zilimtosha kumjibu vibaya sana mtu niliyekuwa na chat nae. Nilijisikia vibaya sana nikaambulia block kutoka kwa rafiki wangu wa PM[emoji22]

Tangu siku hiyo simu yangu ina password hadi kwenye charger nimeweka password hata akiishi nayo siku nzima hafanikiwi chochote kuanzia kupokea simu hazipokeleki wala haoni chochote. Amepandisha mori hadi ameshusha mwenyewe simpi nafasi kwenye simu yangu tena.
hahaha wew kiboko
 
Poleni na majukumu jana bwana niko kazini akatokea rafiki yangu simu yake imeharibika akaniomba akasome yanayojiri jamii forum mm sikuwa mchoyo basi alivyomaliza akanirejeshea simu.

Imefika jion niko nyumban nataka nikajua na mimi yaliyojiri baada ya kazi nyingi duh kila nikiingia hamna kitu sijawahi pigwa ban so sijui hata ukipivwa inakuwaje.

Basi nikajua app inashida nikaiunstall kisha nika install upya bado ikawa hamna kitu ,,nikaiunstall kabisa nikasema niingie kwa website ile na log in lahaulaaahhhhh nina BAN ya 24 hrs aiseeeee iliniuma sana mana aliandika comment ya kipuuzi nikalambwa ban dah aisee ban inauma khaaaa

Ila viongozi why kwenye app inakuwa ban haionyeshi?? Mana ningeona nisingepata shida ya kufuta na kuinstall na kufuta tena app.

Mwisho ,tujiadhari na wanaoingia kwa kupitia simu zetu nimekoma
Baada ya ku unstall uliinstall tena app kwa kuitoa wapi?
Maana hii app ya jf haipo playstore ni muda sasa... ulitumia apk?
 
Kuna mijitu mingine ukiiazima simu inaingia moja kwa moja kwenye Profile kuangalia unatumia I'd gani.

Ila hata mimi haka kamtindo ninako sana teh teh teh nilishangaa kumkuta babu yangu wa kufikia mwenye miaka 74 yupo humu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] apo kwa babu sasa
Ukiwa unampa simu mtu unahakikisha una log out
 
Usimpe mtu simu yako mimi kuna siku mmasai wangu alidaka kwa bahati mbaya simu yangu nilikuwa kwenye PM natiririka na mtu. Ile nimeenda kuchungulia sufuria jikoni dakika tatu zilimtosha kumjibu vibaya sana mtu niliyekuwa na chat nae. Nilijisikia vibaya sana nikaambulia block kutoka kwa rafiki wangu wa PM[emoji22]

Tangu siku hiyo simu yangu ina password hadi kwenye charger nimeweka password hata akiishi nayo siku nzima hafanikiwi chochote kuanzia kupokea simu hazipokeleki wala haoni chochote. Amepandisha mori hadi ameshusha mwenyewe simpi nafasi kwenye simu yangu tena.
hahahaa mmasai aiseeee
 
Back
Top Bottom