Dah Ban inauma aisee! Nimempa rafiki yangu simu aperuzi JF akasababisha nipigwe ban

Dah Ban inauma aisee! Nimempa rafiki yangu simu aperuzi JF akasababisha nipigwe ban

Kwaiyo sahv rafik ako anakujua humu we ni nani ...kama anasoma apa mwambie neno moja
Sijawah weka id fake ,, hata ukipitia uzi zangu hazina kitu cha kunifanya nijifiche na kwa nn nifanye hivyo?....
 
Sijawah weka id fake ,, hata ukipitia uzi zangu hazina kitu cha kunifanya nijifiche na kwa nn nifanye hivyo?....
Bas Sawa kumbe haina shida, sis wa id feki tungepata kiwewe
 
Bas Sawa kumbe haina shida, sis wa id feki tungepata kiwewe
Pole mm hata mr. Huingia huku muda mwingine akitaka kupost tangazo lake na alishafanya hivyo ,,sina kibaya cha kuhide kabisa kama n mtu katuma pm ya kunitongoza wala haangaiki nazo kabisa kwa sababu ananijua vyema
 
Usimpe mtu simu yako mimi kuna siku mmasai wangu alidaka kwa bahati mbaya simu yangu nilikuwa kwenye PM natiririka na mtu. Ile nimeenda kuchungulia sufuria jikoni dakika tatu zilimtosha kumjibu vibaya sana mtu niliyekuwa na chat nae. Nilijisikia vibaya sana nikaambulia block kutoka kwa rafiki wangu wa PM[emoji22]

Tangu siku hiyo simu yangu ina password hadi kwenye charger nimeweka password hata akiishi nayo siku nzima hafanikiwi chochote kuanzia kupokea simu hazipokeleki wala haoni chochote. Amepandisha mori hadi ameshusha mwenyewe simpi nafasi kwenye simu yangu tena.
Ahahaa pole
 
Back
Top Bottom