Dah Ban inauma aisee! Nimempa rafiki yangu simu aperuzi JF akasababisha nipigwe ban

Dah Ban inauma aisee! Nimempa rafiki yangu simu aperuzi JF akasababisha nipigwe ban

Kumbe ni wewe!!!? Story kama hii ilikuwepo MMU jamaa alikuja kulalamika humu. Kwa wanaokumbuka watasema
Usimpe mtu simu yako mimi kuna siku mmasai wangu alidaka kwa bahati mbaya simu yangu nilikuwa kwenye PM natiririka na mtu. Ile nimeenda kuchungulia sufuria jikoni dakika tatu zilimtosha kumjibu vibaya sana mtu niliyekuwa na chat nae. Nilijisikia vibaya sana nikaambulia block kutoka kwa rafiki wangu wa PM[emoji22]

Tangu siku hiyo simu yangu ina password hadi kwenye charger nimeweka password hata akiishi nayo siku nzima hafanikiwi chochote kuanzia kupokea simu hazipokeleki wala haoni chochote. Amepandisha mori hadi ameshusha mwenyewe simpi nafasi kwenye simu yangu tena.
 
Yaani ID yangu ya jf mpaka Mimi siijui, sa inakuaje MTU mwingine aijue?
Siku ikijulikana naachana nayo nafungua nyingine
 
Usimpe mtu simu yako mimi kuna siku mmasai wangu alidaka kwa bahati mbaya simu yangu nilikuwa kwenye PM natiririka na mtu. Ile nimeenda kuchungulia sufuria jikoni dakika tatu zilimtosha kumjibu vibaya sana mtu niliyekuwa na chat nae. Nilijisikia vibaya sana nikaambulia block kutoka kwa rafiki wangu wa PM[emoji22]

Tangu siku hiyo simu yangu ina password hadi kwenye charger nimeweka password hata akiishi nayo siku nzima hafanikiwi chochote kuanzia kupokea simu hazipokeleki wala haoni chochote. Amepandisha mori hadi ameshusha mwenyewe simpi nafasi kwenye simu yangu tena.
Hiyo pm ilikuwa ya hatari sana
 
Hiyo pm ilikuwa ya hatari sana

Yaani ilikuwa noma wee acha tu. Ila alinikera sana kujibu vibaya bora tungewekeana biti wenyewe sio kugusa ile PM ilikuwa muhimu sana kwangu. [emoji12][emoji12][emoji12]
 
Yaani ilikuwa noma wee acha tu. Ila alinikera sana kujibu vibaya bora tungewekeana biti wenyewe sio kugusa ile PM ilikuwa muhimu sana kwangu. [emoji12][emoji12][emoji12]

Hahahahahha

Ulikuwa unataka kuuza timu ww
 
Back
Top Bottom