Dah, nahisi dunia imenielemea, nishikeni mkono

Ww huyu siku nikilewa anaweza kunibaka shem 🀣🀣🀣
Ww mtafutie kazi yoyote hapo ofisini kwako
Vijana michongo yangu hawaiwez.. kuna kadhaa walinitafuta na wametokomea mitini. Waache kwanza waendelee kusubiri kazi nzuri hapa jf
 
MUNGU AFANYE WEPESI
 
Shem kwani uliwapa mchongo gani hadi wakakimbia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Shem Kuna kazi nimewambia waanzr nazo Zanzibar za ulinzi. Wajichangr kila mtu apate walau laki 4 ili wakapige training ya mambo ya hotrli miezi 3 ada laki 3 baada ya hapo wanapata michongo mahotelini mana mm nilianza hivyo.

Kuna magiteli watu wa restaurant wanalipwa Hadi laki 5 hasa barman. Wao wanaona kuja kuanza na ulinzi ni kama kupotrxa mda, mm nilifabya hiyo na digrii yangu.. kazi iliyojaa darasa la saba
 
Id mkuu badili
Laki saba hiyo mkuu,
Usimlaumu direct,pata 1mn ya kufikir
 
Kwa undishi tu nimeshaijua id yako mkuu , Mungu akusimamie kwenye hilo upate hitaji la moyo wako.na kingine usifichue id yako mkuu naona watu wanakulia rada tu waanze kutoa ya moyoni.
Hahahaha ni ngumu sana ,maana ipo katikati ya maoni humuhumu ,
 
Kwa reaction niliyopata humid,nakushauri hata wewe ukiwa na shida ya serious . Tumia njia yangu Maana utaikimbia Id yako,utawakimbia hata wale unaowahisi marafiki zako,ila pia utagundua tabia nyingi zilizojificha lakini utagundua uwezo wako wa kuhimili changamoto
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Waliona jau katoka kupiga degree UD halafu unamwambia aende kozi ya hotel management aje kuwa barman!! 🀣🀣🀣
Shem nawe ulizingua hapo.!

Hiyo ya ulinzi atleast, sema wanasema uko zenji wazungu wanawageuza sana kaka zetu wenye tamaa!!
 
Zanzibar Kaz za kimaskini kuliko nyingine ni ulinzi ikifuatiwa na mfanya usafi. Barman wanapokea mpaka 500k, machef na maweita Wana hela mkuu.

Ulinzi saa za kazi ni 12 kwa siku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…