Dah, nahisi dunia imenielemea, nishikeni mkono

Dah, nahisi dunia imenielemea, nishikeni mkono

Life don't get easier. You get stronger.

Tokea januari mpaka leo kama bado anapumua, you will be there. Keep up.
 
Shem Kuna kazi nimewambia waanzr nazo Zanzibar za ulinzi. Wajichangr kila mtu apate walau laki 4 ili wakapige training ya mambo ya hotrli miezi 3 ada laki 3 baada ya hapo wanapata michongo mahotelini mana mm nilianza hivyo.

Kuna magiteli watu wa restaurant wanalipwa Hadi laki 5 hasa barman. Wao wanaona kuja kuanza na ulinzi ni kama kupotrxa mda, mm nilifabya hiyo na digrii yangu.. kazi iliyojaa darasa la saba
Ada wapii hela ya madalali hiyo
 
Shida ya kuigiza maisha mtandaoni ukifikwa na ya kukufika unaionea aibu ID yako. Nikushauri weka wazi hiyo ID yako maarufu humu pengine itakuwa rahisi kwako kufikiwq kiwepesi, trust me
Me sijawahi igiza humu na sitakuja maana najua ipo siku nitaomba msaada.Na kiukweli mimi si tajira,msomi walaaa,ni mpambanaji ninayehitaji kushikwa mkono kwa yeyote atakayewiwa na Mungu atambariki.
 
Ada wapii hela ya madalali hiyo
Ofkooz... Wengine 150k lakin unalipa tu. Kuna dogo alinifata inbox akaperesu peresu akaniambia nasikia Bure. Mm nikamwambia aliekwambia Bure akupeleke huko mana mm nililipa na ningekuubga kwa walionipeleka. Akaona namtapeli nikamuacha.

So mm kwa sasa nataka kupiga chef so, jamaa ikitokra nitawalipaga tu.
 
Back
Top Bottom