Mbwa dume
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 5,934
- 10,206
We sema hunijui nilivyoSura ngumu wapi mzee ujaingia King
Kama miaka ya juzi tu niliwahi kuvamiwa na vibaka wa Mwananyamala usiku wa saa saba natoka kununua malaya
Vibaka wakiwa saba na visu nilichowafanyia hawatokaa wasahau nilifanikiwa kumnyonga mmoja pale pale wengine wote walikimbia kutoka uchochoroni wakavuka barabara sikuwaona tena nahisi walirudi pale asubuhi kuchukua mwili wa mwenzao (kama kweli alikufa maana nlimnyonga mpaka niliposikia harufu ya nya nikamtupa mtaroni nikapita hivi)