We sema hunijui nilivyoSura ngumu wapi mzee ujaingia King
Umetembelewa na malaika katika umbo la mwanadamu! Ulikuwa umeingia hasara mazima. Pole.Hellow
Mimi siku zote nilikuwa nikiambiwa watu wanaibiwa simu Kariakoo siamini nasemaga uzembe
Leo sasa yamenikuta mimi na bila yule kijana simu ingesepa bila kujua dah
Mchezo ulikuwa hivi, kaja kijana akaanza nikanyaga kwenye mgu uku anasema kuwa ungekanyagwa wewe namna hii ungejisikiaje sasa nikawa namshangaa na kujiuliza kumbe kuna mwezie kasha ingiza mkono mfukon anachukua simu wala sijui
Katokea kijana akaniita njoo mzee uchukue simu yako nashangaa na kujiuliza haya yametokeaje napewa simu uku mwizi akipigwa makofi nikashukuru basi nikasepa jamaa nampa hela kagoma bado najiuliza yametokeaje haya.
Simu yangu bado mpya hata mwezi haijaisha
Mimi sikuwa na hasira muda uho nimebak nashangaa tu aseMtaa wa msimbazi pale enzi hizo jioni machinga wanajaa.
Jamaa katuwekea mguu tunamuona, simu ikaenda tukampiga tuliyemkanyaga kofi 1 tu simu ikaletwa tukaikagua tukamwachia.
Afu ubaya wa Kariakoo msaada unakuja ukianza mpiga mtu, ndiyo wengine wanaingilia
Acha dharau. Hata waliozaliwa kariakoo huibjwa. Ni issue ya timing tu.Pole wamekuona wa kuja
Mh labda kama na ww ni kaka jambaziWe sema hunijui nilivyo
Kama miaka ya juzi tu niliwahi kuvamiwa na vibaka wa Mwananyamala usiku wa saa saba natoka kununua malaya
Vibaka wakiwa saba na visu nilichowafanyia hawatokaa wasahau nilifanikiwa kumnyonga mmoja pale pale wengine wote walikimbia kutoka uchochoroni wakavuka barabara sikuwaona tena nahisi walirudi pale asubuhi kuchukua mwili wa mwenzao (kama kweli alikufa maana nlimnyonga mpaka niliposikia harufu ya nya nikamtupa mtaroni nikapita hivi)
Mi mara ya mwisho nimeibiwa simu nilikasirika sana, maana nilichomolewa kizembe sanaMimi sikuwa na hasira muda uho nimebak nashangaa tu ase
Acha kabisa lak nne ningepata wapi sasaiv nipo mkavuu mweupe ningeishi bila simuUmetembelewa na malaika katika umbo la mwanadamu! Ulikuwa umeingia hasara mazima. Pole.
Uliibiwa wapi aseMi mara ya mwisho nimeibiwa simu nilikasirika sana, maana nilichomolewa kizembe sana
Mpumbav tu usikute yupo kigoma au vikinduAcha dharau. Hata waliozaliwa kariakoo huibjwa. Ni issue ya timing tu.
Hellow
Mimi siku zote nilikuwa nikiambiwa watu wanaibiwa simu Kariakoo siamini nasemaga uzembe
Leo sasa yamenikuta mimi na bila yule kijana simu ingesepa bila kujua dah
Mchezo ulikuwa hivi, kaja kijana akaanza nikanyaga kwenye mgu uku anasema kuwa ungekanyagwa wewe namna hii ungejisikiaje sasa nikawa namshangaa na kujiuliza kumbe kuna mwezie kasha ingiza mkono mfukon anachukua simu wala sijui
Katokea kijana akaniita njoo mzee uchukue simu yako nashangaa na kujiuliza haya yametokeaje napewa simu uku mwizi akipigwa makofi nikashukuru basi nikasepa jamaa nampa hela kagoma bado najiuliza yametokeaje haya.
Simu yangu bado mpya hata mwezi haijaisha
Wewe hao ni wale wezi wanao kaa nje ya bank wanakula dili na wahudumu wa bankIla maisha jamani...tukio lako limenikumbusha niliwahi pigwa milioni 10 ya kampuni,, ile natoka benki nilikua na begi na bahasha sijui walikua wananifuatilia mbwa wale,, hadi nafika ofisini sielewi kinachoendelea najikuta niko na bahasha tu begi sina la hela...ile siku ilibidi wanipeleke mirembe tu kwakweli maana niliwehuka kabisa...yani boss asingekua anafahamiana na mzee nahisi mpaka leo ningekua nakatwa mshahara😃😃😃😃..ndomana mtu akiniambia ameibiwa nabaki nacheka tu kwasababu maumivu yake nayajua🤦♀️🤦♀️
Mbezi Stendi ya Daladala nilikuwa nashangaa wale jamaa wanaolisha nyoka unga.Uliibiwa wapi ase
Kbisa wengine wanasema wao watoto wa mujini sisi wakujaKwa trick hii watu 99% wangeibiwa, ila watakana hapa.
Pole! Hiyo ndo bongoHellow
Mimi siku zote nilikuwa nikiambiwa watu wanaibiwa simu Kariakoo siamini nasemaga uzembe
Leo sasa yamenikuta mimi na bila yule kijana simu ingesepa bila kujua dah
Mchezo ulikuwa hivi, kaja kijana akaanza nikanyaga kwenye mgu uku anasema kuwa ungekanyagwa wewe namna hii ungejisikiaje sasa nikawa namshangaa na kujiuliza kumbe kuna mwezie kasha ingiza mkono mfukon anachukua simu wala sijui
Katokea kijana akaniita njoo mzee uchukue simu yako nashangaa na kujiuliza haya yametokeaje napewa simu uku mwizi akipigwa makofi nikashukuru basi nikasepa jamaa nampa hela kagoma bado najiuliza yametokeaje haya.
Simu yangu bado mpya hata mwezi haijaisha
Ahahahh mbezi hapo napo pakuangalia san duh Pole nakumbuka nilikuwa naenda arusha wazee wakanipakiza garonne ya arusha one imechoka nilikuwa na hasira uku nagombana na dalai kumbe kuna mtu anataka nichomoa hela siwekagi kwenye walet hasira zika hamia kwake sema sina mkono mwepesMbezi Stendi ya Daladala nilikuwa nashangaa wale jamaa wanaolisha nyoka unga.
2018
Itakua,,,, niliumwa wiki nzima halafu nilichokua naumwa sikijui...sijui mzee alisolve vipi ile issue yani hadi kumuulizaga naogopa🙇♀️🙇♀️Wewe hao ni wale wezi wanao kaa nje ya bank wanakula dili na wahudumu wa bank
Pole af ukiangalia unajinsMimi ndo nilipigwa kwa stylr hii [emoji1787] Karume pale dah hiyo stylr unaweza ibiwa hata kama umezaliwa dar yani ilikua kama miujiza najicheki sina simu
AsantePole! Hiyo ndo bongo
Mkuu. 🤣🤣🤣Apo muonekano wako umekuangusha hasa kwenye dress code [emoji3]