Dah watangazaji wa clouds acheni hizo,duniani tunapita

Kumu wish?
Dunia inaenda kasi sana aisee!

Ok kwa matakwa ya fikra zako na kwa niaba ya mavunde namuwish bad lucky!

Kamwambie.
 
Ruge anatisha,akikumind kazi huna,ila kumtakia mtu heri sidhani kama ni tatizo
 
Ruge anaharibugi kuchanganya bifu binafsi na biashara.
 
Hata Mimi nisingemuwishi,huyo ssta sio kabisa,kuolewa sio tatizo lkniii kuachia zile clip za Ruge akimlilia alikusudia kuonyesha nini??au alitaka mume mpya ajue ana sukari so analiliwa???nisiongee sana nisijemtusi naogopa makosa ya mtandaoniiii
 
Hivi kwani bdo anafanya kzi Clauds ama ameshaacha?
 
Kuna mmoja huko, kavuliwa Nguo na mange kimambi mchana kweupe.
Uboya tu. Hawana lolote
 
Alie juu mngoje chini Zamaradi ndie aliesababisha Dina Marius kutoka Clouds sasa zamu yake na yeye.
Maisha hayana formula
Kweli lakini.
Karma is .....

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ingawa zama kafanya maamuzi sahihi ila kwa ishu za kinafiki wafanyakazi wote wa redio mawingu ndio zao. Mnakumbuka ishu ya Dina Marios pale mawingu chanzo ni uyu uyu tunayemuonea huruma leo.
 
Hata Mimi nisingemuwishi,huyo ssta sio kabisa,kuolewa sio tatizo lkniii kuachia zile clip za Ruge akimlilia alikusudia kuonyesha nini??au alitaka mume mpya ajue ana sukari so analiliwa???nisiongee sana nisijemtusi naogopa makosa ya mtandaoniiii
Ntumie hio clip mkuu
 
Ukisikia mengine anayowafanya Ruge si utazimia mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…