Dai mtazame Zari kwa jicho la 3

Dai mtazame Zari kwa jicho la 3

Wabongo mko shida sana...mna act kana kwamba Mwenyezi Mungu naye anafikiri na kutenda kama binaadamu.

Hakuna chochote Zari alichokosea.

Aliyekwambia kuwa kulia sana msibani ndio dalili kuu ya kuguswa na msiba ni nani? mnatekwa kirahisi sana na tabia za kinafiki na kudhani kuwa Mungu naye anadanganyika hivyo hivyo.

Hata aliyewahi kutamani kukuua siku moja anaweza akalia sana msibani na Watu wakadhani ameguswa kumbe ni ameumia kwa nini ameikosa hiyo chance.

Unapita uswahilini unakutana na Mtoto/Watoto wadogo wanacheza kwenye mfereji wa maji machafu...au wanacheza barabarani bila uangalizi mpaka unajiuliza kama hao Watoto wana Wazazi..sasa itokee Mtoto amefariki utamuona Mzazi anavyolia na kujigaragaza kama kichaa.
Mimi naona ndugu Fyatu hujaeleweka,mpangilio wako Wa maneno siyo sawa.Anza upya.
 
Tatizo lenu mmekremu maisha,Zari is living the life and watu mko veryyy jealous, poleni...wanawake wakiafrika bana ni Kasumba yenu kuvumilia bullshit ili kulinda ndoa ht km mume hakuthamini, mnamuona zari kaacha mapesa kw Ivan kamove on na mtt mdogo Dai povu linawatoka..
I see zari kafata penzi kwa Dai,mana kama ni hela tu Ivan ni kiboko kwny pesa,.
 
Ina maana picha za shuguli za mazishi ndizo unazosema picha zisizofaa au kuna picha zingine?!

Halafu huu unafiki watu mnaoutoa wapi?! Hivi ni kweli kabisa mnaamini mwanamke aliyeachika na mumuwe over 3 years ago lakini mwanaume huyo akifariki ndo basi tena huyo mwanamke anaubebea bango huo msiba utadhani ndo amekuwa dada wa marehemu!!! Yaani ndo mnataka kutuaminisha huko mitaani kwenu ndivyo inavyokua; au?!
Nadhani ujanielewa

Naongelea picha anazopost kashikwa tak.... picha anazopost kabinywa nyony.... angekua kajala mngemsema kuwa hana maadili anafanya vitu vya ajabu wakat ana binti mkubwa, ila kwa zari mnamsifia sijui watoto wake yeye wote wananyonya!! Huo ndiyo unafki ninaouzungumzia.

Kuhusu kupost picha za msiba mimi sioni tatizo maana hata kwenye misiba yetu watz hadi camera man tunamkodisha, so na hapo tuna unafki wa kumuona yeye kafanya vibaya wakati hata sisi tunayafanya.

Next time usome vizuri team mond mwenzangu maana hapo juu ulikurupuka.[emoji14]
 
daimond sijui kampendea nini yule bibi.


daimomd akifikisha 40 zari anamiaka 60 na upuuzi
 
DAIMA ADUI WA MWANAMKE NI MWANAMKE MWENZIE

KUNA WANAUME WANAFIWA NA WAKE ZAO NA KISHA WANAOA NDANI YA MWEZI MMOJA ILA WALA HAWASEMWI VIBAYA ZAIDI YA KUSIFIWA

KASHESHE AFANYE HIVYO MWANAMKE ALIYEFIWA NA MUMEWE NDANI YA MWAKA MMOJA ATATUKANWA MATUSI YOOTEE,MASIMANGO TELE VIONGOZI WA WANAFIKI HAO WATUKANAJI NI WANAWAKE WENZAKE AISEE
View attachment 517504
#amwithzari#
Umeongea vyema sana, halafu sijui kwa nini inaonekana Zari alimuacha Ivan na sio Ivan alisababsha ndoa yao kwisha? Yaani zari avumilie vituko ndani ya nyumba kwa sababu tu kuna hela? Mara ngapi Ivan alikuwa anatoa maneno ya shombo kuhusu Zari? Alifikia hata kuvujisha video ya Zari akijitia na dude la bandia?! A mesababisha ndoa kufa kwa ajili ya kuamini kwenye pesa Zari kuanza maisha mapya akaumia tena, yaani Ivan alitaka Zari aharibikiwe maisha ndio iwe furaha yake kwamba alimuweka mjini, halafu kwani Zari alijua Ivan atakufa lini yeye awe mrithi? Asilaumiwe kwa lolote.
 
Habari zenu wana jamvi...

Kabla ya kuanza kueleza ni kwa nini nimeamua kuandika uzi huu,natoa angalizo(Sina team so tusitukanane)Hoja hujibiwa kwa hoja.

Niende direct kwenye mada,Binafsi nieona watu wakimsifia Zari na kumuita mwanamke Shujaa ama shupavu,lakini nimekuja kugundua kuwa mwanamke wa kweli hapaswi kuwa na haiba kama ya Zari.Nasema hivi kwa sababu zifuatazo...

1) Amefiwa na mtu aliyeishi naye pika pakua kwa zaidi ya miaka 10 lakini alikuwa na nguvu ya kupost picha mtandaoni(Siyo moja)na captions juu wakati bado mazishi hayajafanyika

2) Jana kwenye kipindi cha Amplifier alihojiwa na Millard na alikuwa anaonge kwa kujiamini na sauti yake haikusikika kuwa na majonzi hata kidogo(Note:Angekuwa mwanamke mwingine angekuwa bado yuko down sana na pengine angeshindwa hata kuongea kwenye Interview)

3) Ni opportunist Mzuri sana,Kama aliweza kuzaa na Ivan watoto watatu na akapata ujasiri wa kumuacha na kwenda kwa wanaume wengine,,basi hata Dai anaweza kukuacha vile vile(Anachojua yeye ni kuwa once yo dating a rich guy,future yako na watotot wako ni ya uhakika)Mfano halisi ni sasa,aliitwa Zari the boss lady sababu ya jeuri ya fedha za Ivan,now ataitwa Zari the Don sababu ya jeuri ya fedha za Ivan pia

4) Siamini ndani ya moyo wangu kama Zari alimpenda Diamond kama Diamond,naamini ile fame ya Dai ndo iliyomvuta yeye kuwa na Dai(Na kwa hili amefariki,kwa sasa Zari ni moja ya wanawake maarufu sana Africa)So Dai watch out you never know siku fame ikiisha,je atastick up na wewe au atamove on huku akiendelea kupata child support?Ukitaka kuprove hili,jiulize ni kwa nini kipindi kile mna mgogoro mpaka mama Dai akampost Wema(Japo Maza alifanya uswahili kwa hili) Hujiulizi ni kwa nini Zari alikimbilia kushika mimba nyingine wakati Tifa alikuwa bado mdogo sana?

5) Katika malezi nimeona ana mazuri yake kama vile kuwafundisha watotot wake kujitegemea wakiwa bado wadogo lakini nimegundua pia siyo mama mzuri pia,Mama anayejisheshimu hasa wa KIAFRIKA hawezi kupiga picha anakulana denda au kashikwa ta*k*o kisha akapost mtandaoni wakati watoto wake n wakubwa,na kibay zaidi anayemshika hivyosiyo baba yao na ni mtu ambayee hawezi kuwa baba yao hata katika maisha halisi zaidi kuwa kaka yao.

Namalizia kwa kusema hivi,Japo Zari ana roho ngumu lakini ana mazuri yake pia,Huyu mwanamke ni msafi,unaweza ukathibitisha hili kuptia picha zake,Sebule yake ni safii,Wardrobe yake poa kabisaa lakini hata yeye anajipenda sana jao she's acting like an 18 girl wakati ni mama mtu mzima anayepaswa kukaa akibehave ili wanae wajifunze kutoka kwake.

Mchana mwema wapendwa
hakuna mwanaume ambaye hapendi kuwa na watoto wenye mbegu ya mwanamke kama Zari,hilo ndo la muhimu zaidi hayo mengine yana epukika...
 
daimond sijui kampendea nini yule bibi.


daimomd akifikisha 40 zari anamiaka 60 na upuuzi
Yule rais wa Ufaransa ana enjoy tu na bibi yake wala haoni umri ni tatizo na hana mtoto hata mmoja, iwe Dai wakati keshapata watoto 2 na hunda wakaongeza? Mahusiano ni maelewano na nafsi kuridhiana sio umri mdogo mbona kawapiga chini kina wema Jokate na wengine wengi katua kwa zari?
 
Yule rais wa Ufaransa ana enjoy tu na bibi yake wala haoni umri ni tatizo na hana mtoto hata mmoja, iwe Dai wakati keshapata watoto 2 na hunda wakaongeza? Mahusiano ni maelewano na nafsi kuridhiana sio umri mdogo mbona kawapiga chini kina wema Jokate na wengine wengi katua kwa zari?



kwa akili zako unaona yule raisi ni rijali?
 
mangekimambi_-1496383560913.jpg
 
Diamond arudie hesabu yake tena:-
1. Zari ni mfanyabiashara
2. Zari ndiye anayekuja kuja kiwa mmiliki mkuu wa mali za ivan
3. Zari ndiye mama wa watoto wa marehemu na watoto wa diamond
4. Zari ndiye sehemu ya "mentor" wa diamond katika ustaa wake
5. Zari ataandamwa na marafiki na ndugu wa Ivan upande mmoja, na mama diamond na washindani wake upande wa pili.
6. Zari anahitaji awe binti kama wengine.
Mngemshauri mapema haya labda ingesaidia lakini muda ndio hivyo tena umepita. Kuna yule 'rafiki yake mkuu' waliyekuwa wakitembeleana hadi mijengoni sijui naye hakuwahi kumshauri!
Kosa lilikuwa ni pale kijana mdogo anayetokea kwenye nchi ambayo takwimu zinaonyesha wasichana ni wengi kuliko wavulana lakini akashindwa kumpata binti wanayeshabihiana kiumri na 'kumuoa' mtu mzima tena mwenye watoto watatu na mme juu! Ulitegemea matokeo gani hapo kama sio kutoka kwenye uhuru na kujipeleka utumwani!? Waliomshauri akawaambia eti 'kuchapiwa ni siri ya ndani', sasa mbona hajaudhuria mazishi kama kweli mjanja!?
 
Wacha kijana aendelee kula ZARi pamoja na Mali nyingine za Marehemu, maana hata yeye Dai akifa akina Harmorappa watafanya hicho hicho kwa Mjane. So bora kula kabisa ukiwa hai.



watoto watahisi ni bibi yao.

umri mkubwa watoto anao watatu

kweli daimond na ujanja wake wote kanaswa na penzi la sugar mamy
 
mwenye macho haambiwi tazama. unashindwa kumwamini aliekuumba mimi ndo utaniamini sasa.
siwezi kukuamini hata kwa mtutu wa bunduki labda uthibitishe kwa vidhibiti ulikuwa nae chumbani akashindwa.. Muumba wangu namuamini na ndio maana sitaki kumshuhudia mtu uongo..
 
Nadhani ujanielewa

Naongelea picha anazopost kashikwa tak.... picha anazopost kabinywa nyony.... angekua kajala mngemsema kuwa hana maadili anafanya vitu vya ajabu wakat ana binti mkubwa, ila kwa zari mnamsifia sijui watoto wake yeye wote wananyonya!! Huo ndiyo unafki ninaouzungumzia.

Kuhusu kupost picha za msiba mimi sioni tatizo maana hata kwenye misiba yetu watz hadi camera man tunamkodisha, so na hapo tuna unafki wa kumuona yeye kafanya vibaya wakati hata sisi tunayafanya.

Next time usome vizuri team mond mwenzangu maana hapo juu ulikurupuka.[emoji14]
Picha zote za shughuli za mazishi alizo-post ni hizi hapa chini:
Zari01.png

Zari02.png

Zari03.png

Zari04.png

Zari05.png

Zari06.png


Haya nisaidie wewe sasa ili hatimae tuhitimishe ni nani kati yetu aliyekurupuka!!!

Ni ipi kati ya hizo picha ameshikwa makalio na kubinywa matiti?! Tena unadiriki kabisa kuandika icha "anazo-post" ameshikwa makalio, nyonyo... which means, ni zaidi ya moja!!! Yaani alikuwa ni full ku-post picha alizoshikwa makalio!!!

Na hapa usichanganye mambo... hakuna cha Team Mond wala Team nani hapa bali tunazungumzia haki ya mtu tena katika kipindi kigumu!!!

Hapa hata mtu kama Wema nishamtetea sana!!! Juzi tu hapa nilishasema kwanini watu wawe concerned na Linah kwa jambo lisilomuumiza yeyote na wala mtu sio ndugu yenu!!!
Moja ya mambo ambayo hayajawahi na wala hayatakuja wahi kuisumbua akili yangu ni yale yanayofanywa na mtu asiye na uhusiano wowote wa karibu na mimi!!!! Seuze tumbo... hata kama angekaa uchi; wala hainisumbui! Why should I?! Yaani kabisa mtu unatoa povu utadhani huyo Linah ni dadako kwamba anaiabisha familia yenu!!!

Poleni aisee manake kwa maisha ya hivi sasa; mtakuja kuumwa vidonda vya tumbo bila sababu za msingi!!!
Labda na huyo Linah nae anahusika na masuala ya Mond!!
 
Eti mwanao anaona mama ananyonywa kwapa aisee hapa ndo nilimdharau mond kabisa

Kingne mond akiyaangalia yale mazishi jinsi kufuru ilivofanyika pale anajiona ka bwege vle pesa yake anaiona ya madafu
 
Yule rais wa Ufaransa ana enjoy tu na bibi yake wala haoni umri ni tatizo na hana mtoto hata mmoja, iwe Dai wakati keshapata watoto 2 na hunda wakaongeza? Mahusiano ni maelewano na nafsi kuridhiana sio umri mdogo mbona kawapiga chini kina wema Jokate na wengine wengi katua kwa zari?
...na hujiulizi ni kwa nini rais huyo anakuwa subject ya dunia kimahusiano!? Umasikini ukichanganyikana na ujinga vinakuwa vibaya na hatari zaidi aisee!
 
Back
Top Bottom