Jombaa umeongea la maana mana watu wengi wanazani kupanga maana yake huna nyumba yako hawajui kuwa waliopanga wengi ndo wenye mijengo ya maanaUsidhani wanaopanga wote hawana nyumba... wapo wanaopanga huku wakiwa na nyumba za maana kuliko hizo walizopanga... wachumi wanacheza na opportunity cost! Ikiwa una nyumba unayoweza kupangisha kwa sh. 5 million wakato sokoni zinapatikana nyumba za kupanga zilizo standard kwa sh. 2 million, mchumi hawezi kuishi kwenye hiyo nyumba ya sh. 5 million badala yake ataipangisha, 3 million anaweka mfukoni, 2 million na yeye anaenda kuwa mpangaji wa nyumba ya mwenzake!
Usipolifahamu hili, hutakaa uje kuifahamu biashara... na hapo ndipo ilipo tofauti kati ya mfanyabiashara wa kawaida na mfanyiabiashara mchumi... SHITUKA JOMBAA!
mnh sijui ni kweli au uongo,ila Diamond careful kuna kesho,wengi tu maisha yanawabadilikia inabaki kukumbuka zamani...acha kufuru mkuu
Israfu hii MUUMBA haipendi
Kesho imekuwaje? asipokuwa nacho mnasema, akiwa nacho nayo kesi...
angesema choo cha laki mbili mgendiss pia..
[/QUOTE]Hoyaa, hatwendi hivyo, hatufuti kauli kwa ku-edit ama kufuta post wewe, nimekurudishia kauli yako hii hapa: Na habari rasmi ni hii hap
Tunakumbushana tu,kuna waliokuwa na leo baadae kesho zao zikawabadilikia......inaelekea una 'kesi' na mie...
hapana, sina kesi na wewe.... try to put yourself in his shoes..unapofanikiwa ndo kila mtu anajiona anajua kushauri...
Lets just believe that he knows what he is doing, afterall, we only live ONCE.
alafu diamond alivyona makusudi jamani, toka mwanzo anaoneshaga hicho kisehemu cha nyuma hicho cha swimming pool tuu, waropokaji kama kawaida wao wakajishetua kijumba gani hicho? hiyo nyumba kibanda? kibaya kwanza kimebanana leo dadadadadeki zake si akaigeuza kwa upande wa pili, si akatuingiza mpaka ndani pipo chokesti, pipo nyanga nyanga, pipo aibuuuuuu! buuuu!! kumbukeni huu usemi jamani, OMBEA ADUI YAKO AISHI MIAKA MINGI ILI SIKU UKIJA KUMGEUZIA FRONT PAGE YAKO APATE DEGEDEGE.