Daimond Platnumz aonyesha muendelezo wa moja ya Nyumba zake

Daimond Platnumz aonyesha muendelezo wa moja ya Nyumba zake

Ana nyumba 10 kama hizo, na pale Sinza napo amejenga?
 
Hahahah wakati we unaonesha picha za KFC na nandoz wenzako wanaonesha swimming, Mchawi si lazma akuroge hata akikuchukia bila sababu. Dogo anastahili pongezi ana demu mkali, usafiri mkali nyumba kali we endelea kukimbizanaa ma Land lord na ukija kwenye kugombea daladala unakosa seat unapaka rangi kwenye bomba(kushika) basi hasira zote zinaishia kwa mwenzako wa form 2
 
Usidhani wanaopanga wote hawana nyumba... wapo wanaopanga huku wakiwa na nyumba za maana kuliko hizo walizopanga... wachumi wanacheza na opportunity cost! Ikiwa una nyumba unayoweza kupangisha kwa sh. 5 million wakato sokoni zinapatikana nyumba za kupanga zilizo standard kwa sh. 2 million, mchumi hawezi kuishi kwenye hiyo nyumba ya sh. 5 million badala yake ataipangisha, 3 million anaweka mfukoni, 2 million na yeye anaenda kuwa mpangaji wa nyumba ya mwenzake!

Usipolifahamu hili, hutakaa uje kuifahamu biashara... na hapo ndipo ilipo tofauti kati ya mfanyabiashara wa kawaida na mfanyiabiashara mchumi... SHITUKA JOMBAA!
Jombaa umeongea la maana mana watu wengi wanazani kupanga maana yake huna nyumba yako hawajui kuwa waliopanga wengi ndo wenye mijengo ya maana
 
Kwahiyo anawakaribisha panya road waende kutumia fulsa
 
mnh sijui ni kweli au uongo,ila Diamond careful kuna kesho,wengi tu maisha yanawabadilikia inabaki kukumbuka zamani...acha kufuru mkuu
 
Hoyaa, hatwendi hivyo, hatufuti kauli kwa ku-edit ama kufuta post wewe, nimekurudishia kauli yako hii hapa: Na habari rasmi ni hii hap


11049234_739250812860943_889065372_n.jpg
11032805_471149413038159_1971816115_n.jpg


10553976_344676122406204_146028709_n.jpg


10560909_886941844662497_213785529_n.jpg

11004977_818822108195876_2001313262_n.jpg


10665407_1634749916753561_756866458_n.jpg


11055690_1556759617923766_1691545944_n.jpg

[/QUOTE]

hahahahahahahahaaaaa me leo ni vicheko tu, manake watu wanahanya hanya jamani, hadi huruma, Dangote kagawa ndimu za kutosha huko IG hakuna mwenye hamu nae.
 
hapana, sina kesi na wewe.... try to put yourself in his shoes..unapofanikiwa ndo kila mtu anajiona anajua kushauri...

Lets just believe that he knows what he is doing, afterall, we only live ONCE.

you are right, naomba pia uwepo...when atakapoenda bankrupt ,.....jumapili njema......:yo:
 
alafu diamond alivyona makusudi jamani, toka mwanzo anaoneshaga hicho kisehemu cha nyuma hicho cha swimming pool tuu, waropokaji kama kawaida wao wakajishetua kijumba gani hicho? hiyo nyumba kibanda? kibaya kwanza kimebanana leo dadadadadeki zake si akaigeuza kwa upande wa pili, si akatuingiza mpaka ndani pipo chokesti, pipo nyanga nyanga, pipo aibuuuuuu! buuuu!! kumbukeni huu usemi jamani, OMBEA ADUI YAKO AISHI MIAKA MINGI ILI SIKU UKIJA KUMGEUZIA FRONT PAGE YAKO APATE DEGEDEGE.
 
alafu diamond alivyona makusudi jamani, toka mwanzo anaoneshaga hicho kisehemu cha nyuma hicho cha swimming pool tuu, waropokaji kama kawaida wao wakajishetua kijumba gani hicho? hiyo nyumba kibanda? kibaya kwanza kimebanana leo dadadadadeki zake si akaigeuza kwa upande wa pili, si akatuingiza mpaka ndani pipo chokesti, pipo nyanga nyanga, pipo aibuuuuuu! buuuu!! kumbukeni huu usemi jamani, OMBEA ADUI YAKO AISHI MIAKA MINGI ILI SIKU UKIJA KUMGEUZIA FRONT PAGE YAKO APATE DEGEDEGE.

kaah! hatariiii
 
Back
Top Bottom